Hello JF,
Katika threads zangu za nyuma,niliuliza mtu aliyeishia standard seven ama form four anaweza kufanya shughuli gani ya kipato
Jibu ambalo lilikua common ni Kilimo na kazi za vibarua…...
Fursa ipo. Location ni nzuri na inavutia biashara, nakwama kwenye huduma ya uhakika tu ili kukamata soko kikamilifu.
Uhitaji wa mtaji ndio kipaumbele changu kwa sasa. Ni milion kumi tu ndo...
baada ya kupata mda kidogo leo, nkaona nipitie taarifa kuhusu uchumi wa dunia unavoenenda kila siku na nkakutana na hii taarifa, hii imenipa hamasa ya kuja kuuliza apa forum:
Je ni kweli serikali...
Habari wanajamvi..leo nimependa kuangazia biashara ya maziwa ya mgando..mm ni msakatonge ninaejipatia rizki kwenye biashara ndogondogo ila ningependa kupata maarifa zaidi juu ya masoko ya...
Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha hapa nchini bei za mahindi na unga wa mahindi kupanda sana, zawa kati ya Tshs 1600-1800. Wafanyabiashara wamesema malori hukwama sana nakusababisha kutumia...
Wakuu salama ? kwa wale wazoefu wa biashara hii ya tipper za mchanga, udongo n.k.
kwa dar mapato yake yakoje ? utataribu wa kazi ? na ni aina gani ya gari iliyo bora kuliko ? na size...
Samahani wadau...nauliza utaratibu wa kodi ukiagiza magari ya kazi (trucks) mapya au used kutoka China ukoje? ...maana kwenye mtandao wa TRA unaonesha magari used tu na tena mengi ni kutoka...
Hapa Kazi tu.
Meat factory full production early next year
FULL production of the 10 million US dollars (over 23bn/-) TanChoice meat processing factory with capacity to slaughter 1,000 cattle...
Kwa wale wenye mitazamo na ndoto za kufanya biashara ya kuuza vyakula hasa waliopo kwenye miji ya mikubwa ya kibiashara, unaweza pitia wazo hili pengine linaweza kukufaa.
Ni kwamba kwenye miji...
Najua pesa imekuwa ngumu sana mtaani. Inapatikana kwa shida sana, so chunga usije kuitoa kwa urahisi.
Kuna jamaa mmoja huko IG anajiita "big sales" akijinadi kuwa ni official samsung na LG seller...
Habari ndugu zangu, mimi mwaka juzi nilienda Manispaa kwa ajili ya kukata leseni ya biashara kwa mara yangu ya kwanza ila kwa bahati mbaya sikulipia waliponipa lile karatasi ili nikalipie nikawa...
Wakuu heshima yenu,
Nimeanza biashara ya kukopesha!! Nimeandaa daftari la kuandikishana ila kuna watu wengi tunashindana kwa sababu kila wakija nawaambia waniachie kitu ndo nimpe pesa wengine...
Kwema humu ndani?
Ningependa kupata ushauri/ namna ya kufanikiwa maishani kama kijana. Kwa ufupi mimi nina miaka 21, ni mwajiriwa sehemu fulani. Pia, nina mpango wa kuanzisha miradi yangu kufikia...
Mambo vipi?
Una idea ya biashara unayotaka kuifanyia mtandaoni lakini hufahamu utaanzaje? Hufahamu utapata vipi Wateja watakaonunua bidhaa/product au huduma/service yako? Hufahamu utawezaje...
Habarini wandugu,
Karibu tuwekeze kwa pamoja katika uwekezaji wa muda mrefu ambao una manufaa makubwa kwa miaka ijayo.
Uwekezaji huu unachukua kuanzia miaka 2-5-10
Uwekezaji huu sio pasua kichwa...