Nafanya kazi sekta binafsi kwa miaka mitano sasa.
Nimejitahidi kadiri ya uwezo wangu kwani kwa miaka hiyo nimeweza kujikamua na kujenga nyumbani(finishing bado) kijijini kwetu si mnajua life...
Habarini wanjukwaa na poleni na mihangaiko ya hapa na pale
Mchana wa leo nonakuja kwenu kutaka kupata msaada wa mawazo hasa katika biashara ambayo mtu anaweza fanya na ikamsaidia kujikimu katika...
SHILINGI bilioni 192.5 zimelipwa kwa wakulima wa zao la korosho wa Mkoa wa Lindi kutokana na mauzo ya kilo milioni 58.5 kati ya kilo milioni 59.3 za korosho gha , zilizohakikiwa na Benki ya...
Habari za muda huu wanajukwaa,
Naomba kama kuna mtu anayo pumba ya mahindi au anafahamu wapi inapatikana kwa wingi naomba anifahamishe
Naitaji Pumba ya mahindi yenye sifa hizi
[emoji666]Nyeupe...
Wadau, naomba kuuliza kuhusu hii mikopo ya vicoba ambayo unatakiwa utume laki ili upate mkopo wa millioni 1, au laki 2 upate millioni 2 etc etc. Naomba msaada kujua kama kweli ni mradi halali...
Habari ya asubuhi wakuu,
Ni hivi, hakuna mtu anaweza kufanya kazi bila ya kupatiwa motisha itakayoamsha Ari au Morali itakayoongeza kujituma na kuleta matokeo chanya katika Eneo lake La Kazi...
Kwa ambao tumewahi au tunafanya kazi hii, kwakweli ni kazi yenye changamoto sana hasa kwenye taasisi hizi ndogo ndogo (Microfinance). Mara nyingi wateja wetu huwa ni wasumbufu na wakati mwingine...
Watu wengi hudhani Kujali mteja ni kumuhudumia anachohitaji na kuzungumza nae kwa staha peke yake.
Kwa hizi biashara za kutoa huduma na uuzaji bidhaa kama biashara ya Bar, migahawa n.k unaweza...
Swalaaamaa!!
Nataka kuanza kuwa mjasiriamali wa kutengeneza keki kuziremba na kuziuza
Sasa naomha mnifahamishe wapi naweza pata Yale mapambo ya kupambia keki kwa hapa Mwanza??
Niliangalia...
Wanafamilia habari zenu. Matumaini yangu ni wazima wa afya na mnaendelea na shughuli zenu za kila siku.
Nikiwa nakaribia kwenda shambani kwani kuvuna cashewnuts nikaona sio dhambi kujaribu ku...
Heshima kwenu wadau wa JF, naomba mwenyewe connection ya kuni viwandani maana nimepata mahali pa kupata mzigo kutoka Sengerema ila sina pa kuziuza. Pia Nina uwezo wa kupata mabanzi na mbao reject...
Habari za SAA hizi wanajamii forum ....nmekuja na hii mada lengo n ushaur coz nmekodi fremu kwa bei kidogo lengo n kufungua huduma y pesa kam airtelmoney, tigopesa, m pesa......msaad je niongezee...
Hivi unadhani ni biashara gani ambayo baada ya miaka 5 au 10, ambayo ukiwekeza kwa wakati huu inaweza kuleta faida kubwa
Maoni yako yanaomba yawe chanya kuhusiana na hili swala
Wadau wana JF
naomba kujua watu wa kupima maeneo walipima maeneo ya watu kwa ajili ya kuwamilikisha kwa hati. ila sasa kuna Mtu anauza bado lizi hazijaja
lakini tayari ameumuuzia Mtu.
swali...
Alianza kama utani baada ya kurudi likizo ya semister ya mwisho huyu mshikaji wangu wa chuo sijui alikutana na nani huko kwao akamshauri kuhusu mambo ya forex,
Alivyorudi akanisimulia kuhusu hiyo...
Nimefungua kamgahawa katikati ya mji. lengo langu ni kufanya free delivery ya chakula kwa watu wenye maduka na wakazi waliopo karibu na mji. Ni mbinu gani naweza kutumia kukuza soko?
Habari zenu wanajamvi;
Tafadhari kwa yeyote anayefahamu ni wapi/mkoa/wilaya gani hapa Tanzania ambapo kwa sasa ndio wanafanya mavuno ya mahindi yaani kunapatikana mahindi mapya ndani ya muda huu...
Habari wakuu,
Nina project yangu ambayo naamini itaweza kuweza kuleta matokeo chanya kwa mwekezaji atakaye iona kama ni fursa.
Naamini hii itakuja kuwa ni moja ya project kubwa kama ikipata mdau...
Education ndio nimesomea, nikiwa mwaka wa mwisho nimekisoma kitabu cha rich dad poor dad nikaja mbio mtaani Toka mwaka Jana Kuja kufanya biashara lakini inaonekana mfumo wa Sasa kujiajiri Labda...