Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Nafanya kazi sekta binafsi kwa miaka mitano sasa. Nimejitahidi kadiri ya uwezo wangu kwani kwa miaka hiyo nimeweza kujikamua na kujenga nyumbani(finishing bado) kijijini kwetu si mnajua life...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Habarini wanjukwaa na poleni na mihangaiko ya hapa na pale Mchana wa leo nonakuja kwenu kutaka kupata msaada wa mawazo hasa katika biashara ambayo mtu anaweza fanya na ikamsaidia kujikimu katika...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
SHILINGI bilioni 192.5 zimelipwa kwa wakulima wa zao la korosho wa Mkoa wa Lindi kutokana na mauzo ya kilo milioni 58.5 kati ya kilo milioni 59.3 za korosho gha , zilizohakikiwa na Benki ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za muda huu wanajukwaa, Naomba kama kuna mtu anayo pumba ya mahindi au anafahamu wapi inapatikana kwa wingi naomba anifahamishe Naitaji Pumba ya mahindi yenye sifa hizi [emoji666]Nyeupe...
1 Reactions
31 Replies
13K Views
Wadau, naomba kuuliza kuhusu hii mikopo ya vicoba ambayo unatakiwa utume laki ili upate mkopo wa millioni 1, au laki 2 upate millioni 2 etc etc. Naomba msaada kujua kama kweli ni mradi halali...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari ya asubuhi wakuu, Ni hivi, hakuna mtu anaweza kufanya kazi bila ya kupatiwa motisha itakayoamsha Ari au Morali itakayoongeza kujituma na kuleta matokeo chanya katika Eneo lake La Kazi...
0 Reactions
0 Replies
917 Views
Kwa ambao tumewahi au tunafanya kazi hii, kwakweli ni kazi yenye changamoto sana hasa kwenye taasisi hizi ndogo ndogo (Microfinance). Mara nyingi wateja wetu huwa ni wasumbufu na wakati mwingine...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Watu wengi hudhani Kujali mteja ni kumuhudumia anachohitaji na kuzungumza nae kwa staha peke yake. Kwa hizi biashara za kutoa huduma na uuzaji bidhaa kama biashara ya Bar, migahawa n.k unaweza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Swalaaamaa!! Nataka kuanza kuwa mjasiriamali wa kutengeneza keki kuziremba na kuziuza Sasa naomha mnifahamishe wapi naweza pata Yale mapambo ya kupambia keki kwa hapa Mwanza?? Niliangalia...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wanafamilia habari zenu. Matumaini yangu ni wazima wa afya na mnaendelea na shughuli zenu za kila siku. Nikiwa nakaribia kwenda shambani kwani kuvuna cashewnuts nikaona sio dhambi kujaribu ku...
7 Reactions
33 Replies
3K Views
Nina sungura zaidi ya 150 na bata 100. Natafuta wateja. Nipo Singida. 0752011156
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Heshima kwenu wadau wa JF, naomba mwenyewe connection ya kuni viwandani maana nimepata mahali pa kupata mzigo kutoka Sengerema ila sina pa kuziuza. Pia Nina uwezo wa kupata mabanzi na mbao reject...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za SAA hizi wanajamii forum ....nmekuja na hii mada lengo n ushaur coz nmekodi fremu kwa bei kidogo lengo n kufungua huduma y pesa kam airtelmoney, tigopesa, m pesa......msaad je niongezee...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hivi unadhani ni biashara gani ambayo baada ya miaka 5 au 10, ambayo ukiwekeza kwa wakati huu inaweza kuleta faida kubwa Maoni yako yanaomba yawe chanya kuhusiana na hili swala
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Wadau wana JF naomba kujua watu wa kupima maeneo walipima maeneo ya watu kwa ajili ya kuwamilikisha kwa hati. ila sasa kuna Mtu anauza bado lizi hazijaja lakini tayari ameumuuzia Mtu. swali...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
  • Closed
Alianza kama utani baada ya kurudi likizo ya semister ya mwisho huyu mshikaji wangu wa chuo sijui alikutana na nani huko kwao akamshauri kuhusu mambo ya forex, Alivyorudi akanisimulia kuhusu hiyo...
59 Reactions
1K Replies
106K Views
Nimefungua kamgahawa katikati ya mji. lengo langu ni kufanya free delivery ya chakula kwa watu wenye maduka na wakazi waliopo karibu na mji. Ni mbinu gani naweza kutumia kukuza soko?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamvi; Tafadhari kwa yeyote anayefahamu ni wapi/mkoa/wilaya gani hapa Tanzania ambapo kwa sasa ndio wanafanya mavuno ya mahindi yaani kunapatikana mahindi mapya ndani ya muda huu...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari wakuu, Nina project yangu ambayo naamini itaweza kuweza kuleta matokeo chanya kwa mwekezaji atakaye iona kama ni fursa. Naamini hii itakuja kuwa ni moja ya project kubwa kama ikipata mdau...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Education ndio nimesomea, nikiwa mwaka wa mwisho nimekisoma kitabu cha rich dad poor dad nikaja mbio mtaani Toka mwaka Jana Kuja kufanya biashara lakini inaonekana mfumo wa Sasa kujiajiri Labda...
0 Reactions
46 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…