Habari za majukumu wakuu.
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu.
Nimepata wazo la haraka haraka kufanya hivyo baada ya kupiga stori mbili tatu na mtu ambae amenambia nitafute frem ya kuja...
Hapa duniani pesa ipo nyingi sanana inatafuta walaji ama watumiaji.
Ndani na nje ya nchi kuna wadau wengi sana (watu binafsi /NGOs /Makampuni /Foundations /Serikali) ambao wana hamu na chachu ya...
Wakati tunajipanga kuelekea uchumi Wa viwanda je hali yetu ikoje kwenye uwekezaji Wa kupata malighali ya kutosha viwanda tutakavyojenga?
Nijuavyo mimi malighafi iliyoko sasa ni ile ya mtindo wa...
Habari wanajamvi!
Mimi ni mkazi wa moshi mjini, nataka kianzisha biashara ya kuuza laptops & desktop for both new ones and refurbished ones.
Kutokana na ufinyu wa knowledge on how and where to...
Waungwana naomba msaada wa jinsi ya kuanza biashara ya viatu vya mtumba na upatikanaji wake pale mjini Karume(vile vya kupoint)
Changamoto za biashara hiyo na faida yake
Natanguliza shukrani...
Ndugu zangu poleni na majukumu ya hapa na pale.
Okay,To the point
Kutokana na hali ilivyo sasa ni wazi kuna umuhimu wa kuongeza vyanzo vipya vya mapato otherwise u kno how its like...
Baada ya...
BANCABC wametangaza riba za mikopo za asilimia 2%, kama nilivyosikia, kwa mikopo ya aina zote, kama ni kweli basi tuwasubiri @crdbbank na NMB Tanzania nawo wawathamini wateja wao...
Kazi kwenu...
Nimejaribu kuwekeza kwenye matumbo ya wapenda chips na kwa bahati 'goli' liko eneo poa kabisa. Sasa kali ya mwezi Mei ni pale kijana wangu na kwa ufuatiliaji wangu wa karibu, mauzo ya siku 6...
Habari wakuu
Samahani naombeni mwongozo kwa mwenye kufahamu ....
Nahitaji laini ya airtelmoney kutoka makao makuu ya airtel sasa sijajua natakiwa nifate njia zipi ili niweze kupata na kwa gharama...
Salaam wakuu,
Kama uzi unavyojieleza kwa wenye uzoefu na huu utaratibu mpya wa kusajili kampuni/jina la kampuni, nimefanikiwa kujaza details za mwanzo na kudownload consolidated form ambayo...
Wakuu mimi ni mfanya biashara mdogo. biashara ya simu nataka marekebisho ya duka langu.
Naitaji matengenezo ya duka 2
La kwanza hapakuwepo na duka ni mahali pembeni flani kama mita 3 kwa 8...
Napenda kujua ni mambo gani mtu anapaswa kufanya kabla ya kuacha kazi kutoka kwa mwajiri wake? Kwa mtu anayetegemea kujiingiza katika ujasiriamali au biashara, afanye nini?
Hebu tusaidieni watu wa TRA na ofisi za afya kuwadhibiti wafanya biashara wasio walipa kodi.Utakuta mathalani nimefungua biashara yangu let say ya ka baa.Na nimeamua kuwa mlipa kodi japo makadirio...
Kuna hizo nafasi mbili za juu kabisa ziko wazi nchini. Naona vijana wawili robust ambao they could fit katika yoyote.
1. Nehemia Mchechu
2. Lawrence Mafuru
Nawasilisha
Wakuu salama..
Naomba msaada: ninahitaji kwa anayejua utaratibu wa kubadilisha jina la biashara aweze kunisaidia maana nahitaji kubadili sha jina la biashara yangu.
Na je, ipi ni rahisi au bora...
Mwezi August mwaka huu Air Tanzania inatarajia kuanzisha safari za moja kwa moja kuelekea Viwanja vya Entebbe na Bujumbura.
Hatimaye Wings of Kilimanjaro a.k.a Twiga anayepaa amerejea angani...
Wadau ,
Nimepata fremu maeneo ya kariakoo katika eneo ambalo ni la vitu vya electronics. Sasa niko katika utafiti kujua kipi kinafaa Zaidi kwa biashara kati ya vitu vifuatavyo;
a. Biashara...