Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari za majukumu wakuu. Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu. Nimepata wazo la haraka haraka kufanya hivyo baada ya kupiga stori mbili tatu na mtu ambae amenambia nitafute frem ya kuja...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Hapa duniani pesa ipo nyingi sanana inatafuta walaji ama watumiaji. Ndani na nje ya nchi kuna wadau wengi sana (watu binafsi /NGOs /Makampuni /Foundations /Serikali) ambao wana hamu na chachu ya...
7 Reactions
29 Replies
5K Views
Wakati tunajipanga kuelekea uchumi Wa viwanda je hali yetu ikoje kwenye uwekezaji Wa kupata malighali ya kutosha viwanda tutakavyojenga? Nijuavyo mimi malighafi iliyoko sasa ni ile ya mtindo wa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wanajamvi! Mimi ni mkazi wa moshi mjini, nataka kianzisha biashara ya kuuza laptops & desktop for both new ones and refurbished ones. Kutokana na ufinyu wa knowledge on how and where to...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Waungwana naomba msaada wa jinsi ya kuanza biashara ya viatu vya mtumba na upatikanaji wake pale mjini Karume(vile vya kupoint) Changamoto za biashara hiyo na faida yake Natanguliza shukrani...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Ndugu zangu poleni na majukumu ya hapa na pale. Okay,To the point Kutokana na hali ilivyo sasa ni wazi kuna umuhimu wa kuongeza vyanzo vipya vya mapato otherwise u kno how its like... Baada ya...
2 Reactions
15 Replies
9K Views
BANCABC wametangaza riba za mikopo za asilimia 2%, kama nilivyosikia, kwa mikopo ya aina zote, kama ni kweli basi tuwasubiri @crdbbank na NMB Tanzania nawo wawathamini wateja wao... Kazi kwenu...
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Nimejaribu kuwekeza kwenye matumbo ya wapenda chips na kwa bahati 'goli' liko eneo poa kabisa. Sasa kali ya mwezi Mei ni pale kijana wangu na kwa ufuatiliaji wangu wa karibu, mauzo ya siku 6...
4 Reactions
58 Replies
9K Views
Ngorongoro authority to set up a meat processing plant plant for local communities Monday, 10 January 2011 22:16 Some of the communities living in...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu Samahani naombeni mwongozo kwa mwenye kufahamu .... Nahitaji laini ya airtelmoney kutoka makao makuu ya airtel sasa sijajua natakiwa nifate njia zipi ili niweze kupata na kwa gharama...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Salaam wakuu, Kama uzi unavyojieleza kwa wenye uzoefu na huu utaratibu mpya wa kusajili kampuni/jina la kampuni, nimefanikiwa kujaza details za mwanzo na kudownload consolidated form ambayo...
3 Reactions
19 Replies
6K Views
Wakuu mimi ni mfanya biashara mdogo. biashara ya simu nataka marekebisho ya duka langu. Naitaji matengenezo ya duka 2 La kwanza hapakuwepo na duka ni mahali pembeni flani kama mita 3 kwa 8...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Napenda kujua ni mambo gani mtu anapaswa kufanya kabla ya kuacha kazi kutoka kwa mwajiri wake? Kwa mtu anayetegemea kujiingiza katika ujasiriamali au biashara, afanye nini?
0 Reactions
47 Replies
9K Views
Hebu tusaidieni watu wa TRA na ofisi za afya kuwadhibiti wafanya biashara wasio walipa kodi.Utakuta mathalani nimefungua biashara yangu let say ya ka baa.Na nimeamua kuwa mlipa kodi japo makadirio...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba mnieleweshe kuhusu kodi ya ongezeko la thamani (value added tax) na inavyofanya kazi
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Kuna hizo nafasi mbili za juu kabisa ziko wazi nchini. Naona vijana wawili robust ambao they could fit katika yoyote. 1. Nehemia Mchechu 2. Lawrence Mafuru Nawasilisha
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Wakuu salama.. Naomba msaada: ninahitaji kwa anayejua utaratibu wa kubadilisha jina la biashara aweze kunisaidia maana nahitaji kubadili sha jina la biashara yangu. Na je, ipi ni rahisi au bora...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Mwezi August mwaka huu Air Tanzania inatarajia kuanzisha safari za moja kwa moja kuelekea Viwanja vya Entebbe na Bujumbura. Hatimaye Wings of Kilimanjaro a.k.a Twiga anayepaa amerejea angani...
5 Reactions
47 Replies
4K Views
Wadau , Nimepata fremu maeneo ya kariakoo katika eneo ambalo ni la vitu vya electronics. Sasa niko katika utafiti kujua kipi kinafaa Zaidi kwa biashara kati ya vitu vifuatavyo; a. Biashara...
0 Reactions
11 Replies
8K Views
Wadau, Naombeni ushauri wa biashara ya kuchinja ng'ombe na kufungua Butcher Dodoma. Changamoto zake kwa mwenye uzoefu. Ushauri tafadhali
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…