Habari wana jukwaa hili pendwa,
Nimekuja tushare mbinu mbalimbali za kupata mitaji ya kufanyia biashara mbalimbali
Wengi wetu tumekua tukihaha kutafuta mitaji ya kufanyia biashara na ujasiriamali...
geita gold mine
Geita greenstone belt has been the most productive in Tanzania with continuous history for both small and larger Gold exploration and mining since 1900 to the present. A German...
Habarini za asubuhi wanajamvi,
Ni matumaini yangu nyote mmeamka salama.
Bila kuwachosha ningependa kuomba msaada kwa mtu yoyote anayefahamu sehemu ambayo wananunua na kuuza vitu used vya...
Kutana na mjasiriamali kutoka Tanzania ambae ana andaa mbegu zake maabara na kuziuza kwa wakulima tofauti.
Kuna mengi ya kujifunza kupitia mjasiriamali huyu. Ni imani yangu kwamba tutajifunza...
Why Business Plans Fail
Investors have become even shrewder and are far more discerning in selecting only ventures with attainable revenue models, real competitive barriers to entry, and strong...
Nawaasa TRA kuwa kufungia biashara endelevu kwa kisa cha kukusanya malimbikizo yakodi ni mbinu ya kizamani. Badilikeni. Mna wahasibu wengi tu. Kama mnaidai kampuni na bado inaendelea na biashara...
Hili suala la ukaguzi wa maduka kubaini wasio na lesseni, vyeti vya afya, chombo cha kuwekea uchafu n.k. ni deal na maofisa wa serikali wananemeekea huko.
Anakuja mtu mmoja huyo huyo afisa...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bearish
The market consolidated last week, and made some bullish effort on Thursday and Friday (in the context of a downtrend)...
WanaJamii,
Kama mlivyosoma hapo juu,tunawaletea zygoInc website.
Zygo inc ni nini?
ZygoInc ni website ambayo itakuwezesha kutafuta pahala au sehemu yoyote ndani ya mkoa wa Dar na mikoa...
Wakuu poleni sana majukumu.
Mimi n kijana mwenye umri wa miaka 28, ninamika mi3 tangu nimemaliza masomo yangu ya elimu yajuu, nimehangaika sana kutafuta kazi bila mafanikio. Nimekutana nakina...
Wadau,
Nilifanya muamala wa kuhamisha pesa kwa njia ya simu, bahati mbaya pesa sikuipata. Nilianza kufuatilia kwa kupiga simu NBC baada ya siku moja. Majibu ni kuwa pesa yako itarudi ndani ya saa...
(Makala ifuatayo inapatikana pia kwenye tovuti ifuatayo ya : Uwekezaji Tanzania)
Kuanzisha biashara kunahitaji kupanga mipango,kufanya maamuzi ya kifedha na kutimiza taratibu kadhaa za...
Sijawahi kunyooka kama leo wakuu. Hali yangu si nzuri kabisa yaani nimeishiwa vibaya mno. Hapa nilipo sina hata senti mambo yameniendea kombo
Kila kitu kimeisha hapa wakuu
Naombeni mnisaidie hata...
Takwimu za kiuchumi zinaonesha kwamba 28.2% ya Watanzania ni maskini hasa wa vijijini ambao ni 75% ya hao (au 21.2% ya Watanzania). Ili kuendelea kupambana na changamoto hizo za kiuchumi, Ilani ya...
Hii JF,
Naombeni msaada wenu,
Nimeshindwa kulinda biashara yangu kutokana na kuugua hapo awali, nilikuwa na Duka lenye thamani ya sh.ml.5 nilikuwa nauza vinywaji baridi, biscuits, juice, bites...
Habari Wanajukwaa!
Natafuta namna ya kumtoa dogo. Mdogo wangu amehitimu udaktari ila hajapata ajira. Tunataka aanze duka la dawa, akijipanga kuelekea kuanzisha zahanati yake. Sehemu ya kufungua...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bearish
The market went sideways from Monday to Wednesday and moved further south on Friday (in the context of a downtrend). The...