Habari wana jamiii,Mimi ni mhitimu wa shahada ya kwanza katika chuo Fulani nchini,,Pia ni muhanga wa janga la ukosefu wa ajira rasmi kwa wasomi linaloendelea nchini.
Katika hangaika hangaika...
Najua humu kuna watu wenye uelewa wa vitu mbalimbali.Sasa basi mi nna jambo nataka kuuliza je kuna mtu anajua ni kuhusu hii biashara ya shilingi za zamani na kwanini watu wanasema huuzwa kwa bei...
Kama unaswali lolote kuhusu water quality niwakati wako wakuuliza chochote,na wenye viwanda vya maji,kama inahitaji "water quality technicians wenye experience tuwasiliane,wapo wanaofanya kazi km...
Wakati Serikali ikifanya jitihada kulifanya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kushindana na kampuni binafsi, biashara ya usafiri wa anga nchini inazidi kuporomoka, ikiathiri kampuni, ajira na...
Jamani wana jamii naombeni kuuliza kw wenye uzoefu na utaalamu w mambo y saloon z kike ili iwe stable n muonekano mzuri w kuvutia wateja inahitaji km Tsh/=..?
wadau kwa maelezo ya msajili wa hazina kama nipo wrong nisahihishwe kasema kuna bank ina Non performing Loan kama ya billion mia nne,je ni bank gan na kama kuna mtu ana orodha ya bank zote...
ningependa tuweke record sawa, ili kujua viwanda vipi vilikuepo na vipi vimeongezeka.
Tukiacha dar es salaam napenda kujua ivi mbeya, Iringa na morogoro kuna viwanda vyovyote vikubwa?
weka...
nahitaji kufahamu kuhusu corporate tax policies in tz, kuna tofauti gan kat ya corporate tax, na tax anayolipishwa mtu binafsi katika shughuli zake za kimaendeleo na mamlaka husika? Je ipi iko na...
AUS200
Dominant bias: Bullish
On November 9, AUS200 dipped massively, reaching a low of 5042.00. Since then price has climbed numerous resistance lines (now support lines) gaining roughly 4500...
In Nairobi, there was a Samosa vendor. His shop was in front of a Big company. His Samosa were so tasty. Most of the employees use to eat those samosa at lunch time.One day, a Manager came to tha...
Aisee acheni tu zile hisa za DSE zilizokuwa zinauzwa 500 mwezi uliopita kuanzia wiki hii zimeanza ku trade kwenye secondary market kwa bei ya mpaka 1100. Yaani roho inaniuma sana maana hii...
MFANO WA NGEDERE
Mzungu mmoja alikua na mtaji wa shilingi Milioni moja na akataka kufanya biashara itakayompa faida kubwa (super normal profit) kwa kipindi kifupi.
Akaenda kwenye kijiji kimoja...
Mauzo soko la hisa Dar yaporomoka tena
Mauzo katika Soko la Hisa la Dar es Salaam ( DSE) yameendelea kushuka kwa wiki ya tatu mfululizo baada ya wiki iliyopita kuporomoka kwa asilimia 87...
Bank Stocks Have Gained $300 Billion in 25 Days Thanks to Trump
Lu Wang luwangnyc
Felice Maranz
November 28, 2016 — 1:00 PM AST Updated on November 29, 2016 — 12:07 AM AST
Optimism is...
Waziri Mpango na Rais wanabisha kwamba hali ya kiuchumi ni mbaya, wanaodai kuna ukata ni wapiga dili waziri profesa anasema, lakini hajasema kwa utaalam wake hali nzuri iliyopo ameipima vipi au...
Kufuatia kukamilika kwa mradi wa daraja la kigamboni na kutaarifiwa huenda ukawa unaliingizia shirika la NSSF milion 23 kwa siku (23m × siku 30 = 690m, nami nimewaza kuanzisha daraja la kutoka...