Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wadau habari zenu. Niko Arusha, nataka kufanya biashara ya viwatilifu/pembejeo za kilimo. Naomba msaada kwa anayejua Suppliers na mbinu za hii biashara. Mtaji ni mdogo kwa hiyo sio biashara kubwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Inside a Moneymaking Machine Like No Other The Medallion Fund, an employees-only offering for the quants at Renaissance Technologies, is the blackest box in all of finance. Katherine Burton...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
4Corners Alliance Group Ni kampuni inayotokana na kampuni mama ya Cornerstone LLC iliyopo Las Vegas Marekani. Imeanzishwa mwaka 2012 na mwanzilishi wake akiwa ni David Harrison ambaye alikuwa ni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bearish Last week, this pair moved largely sideways in the context of a downtrend...
2 Reactions
0 Replies
354 Views
habari wajna jamii forum naomba msaada kwa wale wataalamu wa geology na petroleum engineering . katika eneo nililopo kwa sasa bondeni kidogo kuna chemchem na maji yanapotoka hutoka na kitu kama...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Mara zote hakuna barabara isiyo na kona hata iwe ya lami. Mimi ni sihitaji kujitambulisha ni mwanachama wa chama gani ila ukifuatilia michango yangu humu jamvini utajua nini msimamo wangu na...
0 Reactions
0 Replies
730 Views
Habar wana jamvi,tafadhalini naombeni msaada wenu wa namna barua ya kusimamisha kampuni kwa muda katika kuendelea kutoa huduma ili niepeleke TRA,kikubwa .nielezeeni vitu muhimu vinavyotakiwa...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Mnamo mwezi wa kwanza mwaka huu nilianzisha mada hapa jukwaani nikiomba ushauri wa kuagiza mashine toka China. Ishu ilikua niende China au niagize kwa mtandao kupitia Alibaba. Nilipata ushauri wa...
24 Reactions
101 Replies
20K Views
Kama mada inavyosema, ifike mahali tuwe na road Toll.Ikiwekwa Tsh elf30 kwa mwezi yaani Tsh 1000 kwa siku tutapata pesa nyingi. Hii iwe kwa kila gari na pikipiki iwe Tsh elf15 yaani Tsh 500 kwa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau nahitaji msaada wa hali na mali kujua namna hii biashara inavyofanyika katika soko la mabibo .ili nami nipate kujua namna ya kutupa karata yangu kwenye hilo game
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Nmesoma rich dad poor dad na cashflow quadrant. Huyu jamaa hataree. Shida ni kwenye kupata mtaji wa mwanzo ili kuapply knowledge kuwa bilionea. Anafundisha kuajiri na Sio kujiajiri au kuajiriwa...
7 Reactions
42 Replies
7K Views
Wakuu salaam, Nina maroba chakavu mengi sana ambayo yalitumika kuhifadhia mahindi,naomba kufahamishwa kama lipo soko lake kama ilivyo kwa makopo ya plastiki ambayo hua naona yakiokotwa mitaani. Na...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Im looking some one interested to establish toothpick manufacturing factory here in Tanzania,Capital needed is $ 50000 Interested person in box me please
2 Reactions
4 Replies
1K Views
1.Shingi 200 yazalisha mamilioni. Kijana wa kimaskini alieishi Dar-es-salaam, alipata hii fedha, hakuidharau. Aliifanyia kazi. Alifanyaje? 2. Alifikiri nini afanye. Mara akapata aidia ya kuenda...
3 Reactions
22 Replies
3K Views
naomba msaada nimekua nikijiuliza kunatofauti yeyote katika makadirio ya kodi endapo nitaiita biashara yangu COMPANY na nikaiita COMPANY LIMITED?
0 Reactions
1 Replies
925 Views
Poleni na majukumu ya kila siku ktk kulijenga taifa letu... Nijikite ktk kichwa cha habari... Wakuu mm ni mwanafunzi wa chuo flani hapa tz nachukua shahada ya uwalimu... Nimepata wazo lakusajili...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamniiii nisaidieni katika eneo langu kuna watu weng wanatumia luku na wakinunua umeme kwa simu smtyms unasumbua je naweza kupata mashine kama ile ya tanesco niweze fanya biashara? Na faida yake...
0 Reactions
26 Replies
19K Views
Wadau, Nipo kwenye mchakato wa kujenga kwa sasa. Nimekwisha paua tayari. Nimeuliza mafundi, ni nini kinafuata kati ya kupiga paster au ceiling structure (vile vimbao vidogo vidogo vya 2x2 inch...
3 Reactions
52 Replies
55K Views
Would Thanksgiving Rally Happen This Year? GOLD (XAUUSD) is currently weak, owing to another phase of a southward movement, which started a few months ago. The downtrend has been particularly...
0 Reactions
0 Replies
397 Views
Wakuu naomba mnijuze zilipo ofisi za DHL kwa hapa mjini
0 Reactions
6 Replies
17K Views
Back
Top Bottom