Natanguliza Salamu Kwenu Wadau, Napenda kuuliza juu ya hii ya kuprint Tshirt kwa kutumia SCREEN, hua naona Nikienda kuprint kazi zangu. wanavoandaa ile screen ni kama wanapaka vitu vya BLUE kama...
najua humu kuna wataalamu wanaonesha mpira na mimi ndio nina anza biashara hii na nina anza na kifurushi cha dstv cha 82000/=je hapa nitaweza onesha epl na uefa? SuperSport Blitz
SuperSport...
Wakuu habari.
Kwanza nichukue fursa hii kuwapongeza wanawake wote walio kwenye ujasiriamali na biashara kwa ujumla. Uchapakazi wao umetukuka. Ila pia Ninaandika post hii nikiwa na masikitiko...
Habari wakuu!
Ni kwamba kati ya hizi fursa ni ipi ni rahisi kuendesha na inatengeneza faida nzuri.
i) uuzaji wa kitimoto
ii) uuzaji wa matunda
iii) kukopesha watu hela ( watumishi wa serikali...
Nyama ya samaki ni nyama nzuli kuliko nyama nyingine unazo zifahamu madactari wanatushauli kutumia samaki badala ya nyama yangombe kwa sababu kwenye samaki tunapata madini mengi sana ambayo...
Habari yenu wadau wa jamii forum..i hope kila mmoja anaendelea vizuri katika harakati zake za kila siku za kusaka mafanikio.Kuna jambo naomba kuuliza kwa yeyote ambaye atakuwa na mchango wa mawazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.