Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bearish
This pair moved upwards 150 pips last week, testing the resistance line at 1.1150, in the context of a downtrend. The...
1. Hawana mazungumzo marefu sana. Hii hutokana na kuwa watu hawa huamini kuwa wakisikiliza ndio watapata maarifa mapya na ujuzi zaidi kuliko kuongea, ni mara chache sana kuwakuta wakifanya...
Ujue baadhi ya matajiri waliofanikiwa kutoka kimaisha ni wajanja sana Wanaficha FORMULAR walizotumia ilikufanikiwa .
Kuna wengine ukiwauliza ulitokaje kimaisha wanasema FANYA KAZI KWA BIDII...
1. Aliko Dangote (USD 21.6 Bn). anatoka Nigeria. Ni Mwafrika pekee aliyeingia ktk top 50 ya dunia
2. Johann Rupert (7.3 Bn) anatoka Afrika Kusini
3. Nicky Oppenheimer (6.8 bn) anatoka Afrika...
Katika maisha yeyote Yale dunia lazima ujitoe sadaka ili uweze kufanikiwa katika maisha wapo waliopoteza pesa,nyumba,watoto,,mke,magari,,viungo vya mwili na uhai yote kwa ajili ya pesa.hakika ni...
Habari wapendwa, ni ukweli, ni uhakika na ni muhimu. mimi mwenyewe nimefaidika na nataka na wewe ufaidike kama mimi. ebu bonyeza hapa na utaona faida yake
we ingia utakuja kunambia...
Wakuu habari
Kwanza poleeni kwa mahangaiko ya juma lililopita na MUNGU awapatie nguvu kwenye juma hili jipya.
Naomba kujua bei ya viazi vitamu kwa gunia, bei ya kununulia kwa dsm na pia bei ya...
Habari zenu wakuu.
Nlikuwa nataka kujua utaratibu wa kufanya biashara mitandaoni kama vile online shopping ama any business ambayo itaconduct transactions online. Nlikuwa nafikiria kufanya...
Leo ndiyo mwanzo wa utekelezaji wa Sheria Fedha (Finance Act, 2016) iliyopitishwa katika Bajeti ya 2016/17 ambapo Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) itatozwa katika huduma za mitandao ya simu...
Nimepata vyumba vikubwa 15 katika maeneo tofauti dar es salaam mjini kati na mwanza pia, na sikupenda kufanya biashara nyingine mfano kua na restaurant au storage, clothing etc.. kila mtu anafanya...
Wakuu salaam
Naomba kufahamu kama vifaa vya ujenzi vumeongezewa kodi kwenye hii bajeti iliyosomwa Leo, mimi sikupata nafasi ya kusikiliza kutokana pilikapilika za kimajukumu
Ahsanteni
There is exciting potential to transform the forestry sector – promoting its sustainable growth, ensuring large and small-scale growers can exploit compelling opportunities in commercial timber...
Natumai hamjambo waungwana,mimi ni mwajiriwa serikalini,sijathibitishwa kazini bado,hoja yangu ni kutaka kuchukua mkopo kupitia bayport kiasi cha sh miliion tano na nusu,na nataka kuurejesha ndani...
Wakuu rejea kichwa cha habari hapo juu...
Natafuta mshirika wa kibiashara... Ni ufugaji wa kuku, nguruwe na kilimo cha green house..
Mimi natoa eneo lililopo Tegeta. Mshirika aje na investmemt...
Tanzania is well known natural gas hotspot. With government estimates over 57 trillion cubic feet of natural gas deposits. International individual and companies are moving in to tap business...
Kwanza napenda ijulikane kabla serikali haijaingiza vat kwenye utalii tayari mgeni/mtalii analipa vat kwa kuzunguka (indirect); kila mtalii anayekuja Tanzania analipa vat, analipaje? akilala...
Wana uchumi wenye uzoefu naomba ushauri nina deni Bayport wa sh milioni 9.9 lililotokana na mkopo wa sh, milioni 5.2 kiukweli riba zao ni kali,,,, nimekopa kwa miezi 36,,,,,,, bado miezi 3 niwe...