Mimi ni mjasiliamali ambaye baada ya kumaliza masomo ya elimu ya juu, niliamua kufungua kampunu ya kibiashara inayohusiana na masuala ya (BUSINESS TRAINING, PROMOTION AND ADVERTISEMENT). wazo hili...
Salaam, wana wa Jf. Katika kujiongezea kipato, ninataka kuanzisha kampuni ya ulinzi. Naomba mwenye ABC za kuniwezesha kuwa na kampuni hiyo, anielekeze. Wasalaam
Salaam
tafadhari naombwa kujuzwa je katika uandishi wa business plan ni lazima iwe
* kwa lugha ya kiingereza?
*ni lazima kwenye zile calculations jinsi ya kuproject future sales ziwe...
Hi Wanajamii, nafahamu humu tumesambaa Dunia nzima, sasa leo naomba kama kuna Mzalendo yupo UK au Japan , na anasafirisha mizigo or kufanya biashara UK/Japan -Tz aniinbox nataka kuagiza bidhaa...
Baadhi ya mawakala wa mpesa na maxmalipo wamesitisha kutoa huduma zao kutokana na hasara kubwa ambayo wameipata.
Hali hii imejitokeza toka juzi ambapo mteja akitoa hela haiyonyeshi salio kwa...
Habari wana jamii forum.
Teachers' Junction kupitia kitengo chetu cha Teachers Networking Centre kinachojihusisha na kuwaunganisha walimu na shule za watu binafsi (private) nchini, ambapo...
Tanzania ya viwanda tunayoitaka yenye kutengeneza fursa sawa za ajira kwa watanzania wenye vigezo sawa. ni lazima iwe ni matokeo ya watanzania wenyewe. Wasomi wa Taifa hili ni lazima...
Hivi ndugu zangu nimekuwa nikiwaza kila siku kuhusu hii taasisi ya kijambazi ya kukopesha pesa watumishi wa serikali ni ya nani na kwa nini inaendelea kuishi wakati inawanyonya wafanyakazi kwa...
Soko la hisa no sehemu ya uwekezaji NA zaidi soko hili liko zaidi dar es salaam,watu wamesambaa mpaka vijijini na hao soko la hisa wana mawakala wachache.....kwa nini wasitumie teknolojia?kwa nini...
inachukua mda gani kutuma T/T kwenda japan? Maana nilituma j4 mpaka sasa haijaenda nkicheck salio halijakatwa,nikifatilia bank wanasema branch nliotuma T/T sio branch yangu so mpaka wawasiliane na...
Habari wanajamvi
Kuna vijidola nilikua nataka nitumiwe but nimeshindwa namna ya kutumiwa kwa njia ya bank. Kuna sehemu imeandikwa enter credit card number, nikaingiza namba za card yangu ya bank...
Heshima wakuu. Mi nimtumishi ila pia ni mjasiliamali, pamoja na mambo mengine ninayofanya nimefikiria kufanya biashara ya fresh flowers kutoka Arusha kwa ajili ya kupamba maofisini na pia...
Ni jambo ambalo limenishangaza kidogo. Leo niliamua kutembele wavuti ya TRA ili kujua mabadiliko ya kodi mbalimbali.
Kilichonishangaza kwenye TAX COLLECTION STATISTICS , mkoa wa Kilimanjaro ambao...
Wadau naombeni pata ushauri na uzoefu juu ya kufungasha mchele toka morogoro kwenda mikoani.
..Mchele unapatkani vipi.mtaji,.bei ya mchele..usafiri, faida na changamoto.
..natanguliza shukrani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.