Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

nilipita mahala nikakutana na muelimishaji wa kampuni hiyo,akichombeza eti ana mwaka tangu ajiunge na Rifaro africa ila kujiunga unatozwa tsh 128500,hofu yangu je kampuni ipo kihalali?au ndio...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kwa jinsi ya hali ya uchumi na biashara inavyoendelea katika nchi yetu biashara nyingi zitayumba kutokana na mabadiliko yanayoendelea, hivyo kutokana na hali hiyo ushindani utazidi kuongezeka mara...
1 Reactions
4 Replies
862 Views
Naombeni kuelezwa utofauti wa Company Ltd na Company ya kawaida tu. Na je kuna vigezo gani vinahitajika kuanzisha Company ltd na Company ya kawaida
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Wana forum, naomba ushauri wa biashara ntakayo weza kufanya kwa mtaji wa laki tano.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hivi euro na usd ipi ina thamani kubwa maana Euro 1 = 2475Tzs Usd 1 = 2199 Tzs Inamaana usd inathamani ndogo kuliko Euro au nimekosea/ sijaelewa
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mtaji wa milion 1 na laki 7 unaweza fanya haya katika kilimo cha viazi mviringo.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
"........Mwaka 2015, Tanzania ilikadiriwa kuwa na idadi ya watu 47,351,275 na Pato la Taifa lilikuwa shilingi bilioni 90,863.68. Aidha, wastani wa Pato la kila mtu lilikuwa shilingi 1,918,928...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
wakuu habari za muda. Naomba kuuliza kitu kuhusiana na mkopo kwenye benki ya equity. Nahitaji nikakope laki tano tu niongezee kwenye mtaji wangu. je kwa kiasi hicho marejesho yao yakoje na...
0 Reactions
19 Replies
9K Views
NAMNA MOJAWAPO WAJASIRIAMALI WANAVYOPATIKANA Palikuwapo na nchi tajiri pia na mfalme wake tajiri sana na alikuwa mzee sana kwa bahati mbaya hakujaliwa kupata mtoto wa kiume...
7 Reactions
22 Replies
6K Views
salamu ni mda mrefu sana zao letu la biashara tunalolitegemea linaitwa UFUTA limekua mkombazi wa kiuchumi kwa wilaya yetu na tanzania kwa ujumla tangu miaka ya nyuma zao hili la biashara limekua...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari Wakuu Naomba msaada wa kujua sababu zipi zimepelekea bei ya ufuta kushuka.....kwa mfano mkoa wa Pwani hususani wilaya ya Rufiji wanunuzi ama walaguzi(waachuuzi ) walianza kununu ufuta kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Neutral For the most part of May 2016, EURUSD was in a downtrend. On June 3, a strong bullish breakout led to a bullish...
0 Reactions
0 Replies
539 Views
mwasaliano: simu: 0715032262 Email: lilbomani200@gmail.com Je wafahamu una weza wekeza 50000 kwa kitu au opportunity ambayo haina hasara hata uki amua kuacha uku ume ingia? Ndio, una weza na uki...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
WAKUU salamu mimi katika pita pita yangu hapa kwenye jamvi na kwenye website nyingi za wafanya biashara maelezo ya biashara au matangazo yana maswali mengi kuliko msaada kwa mteja, mambo kama...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kama nilivyowahi kuwaelezeni,nimehamia Mbeya ambapo nimefanikiwa kupata kazi ya ulinzi,ambapo pamoja na kujibana ninaweza kujiwekea akiba tsh.120000/=.Naombeni ushauri nifanye biashara gani,kwa...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wanajamvi kama kichwa cha habari kinavyoonyesha ningependa kwa yoyote ufahamu wa hili jambo ktk nukta zifuatazo 1. ni kwa vipi pesa ya nchi inaweza kushuka thamani ama kupanda thamani. 2...
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Nimeanzisha kameza ka kuuza parachichi lakini yote yameoza na kamtaji kamekufa,zilizo oza ni zile parachichi kijani. Naombeni ushauri.
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Habarini wana JF, Napenda kumshukuru mungu kwa kunipatia uzima mpaka wakati huu ambao nimeamua kukaa na kuandika machache yanayohusu suala la faida za upimaji na usajiri wa ardhi au viwanja kwa...
0 Reactions
60 Replies
19K Views
Dear friends My project "Software that people will pay online for bus fare" was nominated for the Youth Citizen Entrepreneurship Competition in the Best Project 2016 category in africa. You...
2 Reactions
0 Replies
617 Views
WHAT YOU NEED TO KNOW ABOUT MASTER TRADERS – PART 10 “There’s no way to start a business without being bad at those things. People who are good, are good because they spent ten years being...
0 Reactions
0 Replies
629 Views
Back
Top Bottom