Wakuu mambo vipi?
Aisee kuna wazungu flani wanataka kusaidia Ujenzi wa kanisa letu hapa Mbezi Mwisho, sasa ishu ikaja ni kwamba wamenambia niandike Proposal ya ujenzi wa hilo kanisa na Gharama...
Natumaini umu nitapata wahusika wenyewe au mtu anayejua gharama za kuprint gazeti Kama mfano ijumaa,kiu au Nipashe na mengineyo,naomba anijulishe pia na hizo kampuni zinazoprint
Asanteni
Naamini penye wengi hapaaribiki neno. Nimepewa haki za kusambaza premium brand lubricants kutoka bara la Ulaya kwa soko la Tanzania na Afrika Mashariki na Kati. Hii brand ni kati ya zilizo bora...
Habari wakuu au wadau JF,
<br><br>Nashida ya proformer(2) kutoka kwenye makampun mbili tofauti za IT kwasababu ya kumpelekea niliyemuuzia software kwaajili ya price comparison(Kama Tenda iv...
Vip wadau,
Naomba mnieleweshe jinsi bureau de change zinavyofanya kazi,kama nikiwa nataka kuchange hela huwa naambiwa natakiwa niwe naangalia rate ila sijui hyo rate maana yake hasa katika...
Suala la Tanzania kuzuia mizigo ya Congo na magari bandarini kwa kudai walipe ushuru kwao ndio watoe magari yao bandarini, linatunufaisha vipi sisi watanzania tofauti na kujaza bandari yetu pia...
Kuna " promosheni" ya shinda PASSO na CRDB ukitumia SIMBANKING. Hivi kuna aliyewahi kushinda hii promosheni tangu ianze ? Kulikua na haja ya kuudanganya umma wa watanzania kwamba unaweka...
Kwa wanaojua kuhusiana na riba za mikopo benki naomba ufafanuz kama ni siri ya mabenk au sio sir inawezekan ikawekwa public kila raia awe anajua kuhusiana na riba ya mikopo ya benki..
Wasalaam!
Mimi ni mwajiriwa wa taasisi fulani binafsi. Nina mshahara take home zaidi ya millioni 2.5. Ninatafuta kiasi cha sh. Million 20-25 ili kununua uwanja.
Nimeshindwa kukopa benki za...
Kwa wenye mahitaji ya kusajili kampuni,kuandaa katiba ya kikundi,busness plan ,
- Kwa wanaohitaji msaada wa jinsi ya kusajili kampuni,kuandaa katiba,admission vyuo vya nje ya nchi
- Je...
Yan kwa jinsi ninavokujua wewe apo, ukipewa laki5 500,000 sahiv utaifanyia nin? utafungua biashara gan mda huu?
weng uwa tunamalengo lakin ukizkamataa tu yanaanza mambo ya bata ndefu hatari...
Wanajf, nawasalimia nyote kwa upendo wa hali ya juu.
Ninaulizia, ni maduka gani ya hardware ambayo yana utaratibu wa kukopesha vifaa vya ujenzi kama vile mabati, sementi, gypsum, nondo, tiles...
Nimekusanya mzigo mkubwa wa karatasi zilizotumika ambazo ni maboksi na karatasi za ofisini tani kadhaa. Je ni wapi naweza kuuza mzigo huu na bei yake ikoje?
Heres the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bearish
EURUSD is now a volatile pair, characterized by serious struggles between bear and bull in the context of a downtrend. The...
Kampuni ya Ursus ya Poland imesema ina mkakati wa kujenga kiwanda cha kutengeneza matrekta Tanzania kwa kushirikiana na kampuni ya Suma JKT.
Rais wa Bodi ya Ursus, Karol Zarajczyk alisema hayo...
Je, unahitaji kufanya research ya Gender? Basio wasiliana nami niweze kukufundisha Gender Analysis Tools itakayo kuwezesha kujifunza jinsi ya kufanya research yako. Nimesomea University of Ghana...