Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari ya weekend wana jamvi anayeifahamu hii gari naomba maoni yenu nataka kuinunua
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nataka kwenda Jamaica wadau kama kuna anayejua naweza kununua biashara gani huko itakayorudisha angalau nusu ya gharama za safari yangu anisaidie .
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Kwenye makala ya jana tuliona kuna njia kuu mbili za kuendesha biashara yako. Tuliona kuna njia rahisi ya kuendesha biashara na kufikia mafanikio na pia tuliona kuna njia ngumu ya kuendesha...
2 Reactions
4 Replies
4K Views
Kwa Habari zaidi soma hapa kama ilivyo nukuliwa kutoka The Citizen Online. Friday, July 31, 2015 "Kenya Airways posts record loss...
0 Reactions
1 Replies
869 Views
Hawa jamaa wameamua kumkomboa mkulima na mfanyabiashara ndogondogo vijijini sasa wanatoa mikopo kwa wakulima sehemu mbalimbali tulioamua kujiingiza kwenye kilimo na hatuna mitaji tuchangamkie hili...
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Heshima mbele,wakuu naomba mnisaidie majina ya makampuni yanayouza vifaa vya kupima ardhi na mahali yanapopatikana au mawasiliano yake kwa hapa Dar...natanguliza shukrani
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wenye ufahamu naomba kujua viwango vya payee.Mimi ninakatwa zaidi ya 18%.hata hivyo tunaelezwa na wanasiasa kuwa imeshushwa hadi 11% ukweli ukoje?Nimecheki miaka yote haikuwahi kushuka. Kuna nini?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
INSIGHTS INTO THE MINDSET OF SUPER TRADERS – Part 10 “Negativity is real, but consistent loss is optional.” – A.M. Name: John Arnold Year of birth: 1974 Nationality: American Profession...
0 Reactions
0 Replies
812 Views
Ramani hyo.. Buuureeeee....!!!!:D:D:D. Mjenge..
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Habari Natafuta kampuni inayouza copper bright ambayo imeshafanya biashara na kampuni toka nchi za USA, Europe au Korea. Nna order kubwa kutoka USA
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau amani kwenu. Letter of credit imekuwa ikitumiwa na wafanya biashara wengi wanaojihusisha na uagizaji wa bidhaa mbalimbali kutoka nje ya nchi (international trade). Na huwa inatolewa na bank...
0 Reactions
28 Replies
7K Views
Habari wakuu, Nimekuwa nikisikia kila siku katika maswala ya biashara na uchumi kwa ujumla kuwa kuna mtaji wazo na mtaji fedha.Kwa yeyote Mmenye umilisi na ubobezi katika haya atujuze zaidi...
0 Reactions
2 Replies
970 Views
Jamani mara nyingi sisi vijana tumekua tukifikiria ni kivipi tunaweza kupata mtaji,mimi nahisi ni kutokana na kukosa taarifa,hivi karibuni nimejiunga na kampun ya kimarekani inajishughulisha na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba aliye na rate mpya za PAYE anipatie au link yenye hizo rate.
0 Reactions
10 Replies
4K Views
wadau inafahamika kuwa kufanya biashara yeyote ile inahitaji ujasiri lakini kabla ya kuanza lazima ufanye utafiti wa biashara unayotarajia kuifanya wakuu wa great thinkers naheshimu mchango wa...
1 Reactions
12 Replies
19K Views
HM CONSULTING SERVICES UNDER KIMI DEVELOPMENT CONSULT LIMITED We are the registered business to provide Project and Business Development Services to individuals and organizations who wish...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau hasa wajasiriamali wazoefu nina mtaji wa 1m madafu naombeni ideas za biashara nijikwamue kiuchumi. Ajira zenyewe ngumu na serikali ikishakufaga kitambo ujanja kujiongeza kivyako
0 Reactions
45 Replies
11K Views
Kuna regulation yoyote kuhusiana na utendaji wa Business Consultancy, kama ilivyo kwa Auditing na Engineering Firms? Au its just a free entry and exit occupation.?
0 Reactions
0 Replies
762 Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bearish Although the dominant bias is bearish, this pair made some commendable bullish attempts last week. Price moved upwards by...
0 Reactions
0 Replies
539 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…