Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Ni mmoja kati ya walioomba kudhaminiwa na mhasibu mkuu wa serikali kusoma PGD lakini mpaka sasa sijaona tangazo la waliochaguliwa yoyote mwenye taarifa anisaidie
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Oya wajomba mi natafuta laptop ya kuanzia laki 4,kwa hapa Udom kwa aliyenayo au mwenye namba za wakala anipe.isiwe mchina 0768596758
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamani wana jf anayeweza kuniangalizia DOTTO T. CHARLES niliomba certificate in clinical assistants kwa upande wa dar...nisaidieni jamani.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni majuzi tu walimu nchi nzima waligoma kwa madai ya msingi......Simaanishi kua naupenda mgomo,.....Bali kilio changu ni kua ilipobainika kua mgomo ni batili,hatua gani ambazo chama cha walimu...
0 Reactions
0 Replies
994 Views
Plz kwa wale mliopo Dar na yeyote anaeweza kunisaidia naomba mniangalizie DEVOTHA T WARIOBA niliomba diploma ya cnical officer na Nursing
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kutokana na kuamini kwangu kuwa wewe ni mmoja wa wanajamii wanaopenda kuperuzi katika jamvi hili, nimeona kabla siku hazija yoyoma nikukumbushe kuwa kati ya AHADI rukuki ulizo ahidi wakati wa...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
jana nilikuwa nakatiza mitaa flani hapa sua,daaah nilipofika sehemu flani nikakutana na watoto flani wanachuo wakiwa wametupia half dressing style maswali kibao yakaanza kunijaa akilini hivi...
1 Reactions
43 Replies
7K Views
Plz kwa wale mliopo Dar na yeyote anaeweza kunisaidia naomba mniangalizie DEVOTHA T WARIOBA niliomba diploma ya cnical officer na Nursing
0 Reactions
0 Replies
989 Views
Plz kwa wale mliopo Dar na yeyote anaeweza kunisaidia naomba mniangalizie DEVOTHA T WARIOBA niliomba diploma ya cnical officer na Nursing
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wana jf wa afya tulokosa, nini cha kufanya? Na wap tuelekee kutafuta masomo?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
hii wizara sijui ni vp? nanukuu hii kauli yao kwamba, Majibu ya maombi kwa waliochaguliwa yanapatikana pia kwenye kanda na vituo ambako waombaji wote walipeleka maombi yao. mimi nipo singida...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ndugu zangu nipo na wadau hapa wahanga weenzetu wa wizara hii katika matokeo haya tunayoyangojea ya clinical officers na mengine yaliyo chini ya wizara hii kwa hamu sana kutokana na kukaa muda...
0 Reactions
51 Replies
8K Views
kuna anefahamu kuhusiana na majibu ya wizara ya afya maana subira ss naona haivuti heri tena kwani dalili ya kukosa kote
0 Reactions
20 Replies
4K Views
WANANCHI mkoani Unguja Kaskazini wametofautiana juu ya suala la elimu katika Muungano kutokana na baadhi kutaka ushirikiano uanzie shule za awali hadi vyuo vikuu, huku wengine wakitaka liondolewe...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
kwanza naanza kwa kuwapongeza woote waliobahatika kuchaguliwa kujiunga vyuo vikuu nchini. Nawapongeza sana, lkn wengi bado wananung'unika kwa kuchaguliwa ama chuo asichokipenda ama kozi ambayo sio...
2 Reactions
31 Replies
4K Views
WANAFUNZI wanaosoma katika shule kongwe ya Msingi Itete, mwambao mwa Ziwa Tanganyika wilayani Nkasi mkoani Rukwa, wanakabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo wazazi wao kudaiwa kugoma kuchangia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
BOFYA HAPA
0 Reactions
1 Replies
3K Views
a.salaam...............swali langu ni kama linavyoonekana..............how computer benefited you inacademic and your future expectation...wekeni mapoint yenu hapa...asante
0 Reactions
0 Replies
889 Views
Kwanza kabisa nimshukuru Mungu kwa kunipa nafasi ya kuweza kuizunguka nchi yetu hii kwa takribani 99%. Nasema hivyo kutokana na kufanikiwa kwangu kufanya kazi katika mikoa karibu yote pamoja na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za mida wana taaluma wote, Natafuta chuo kinachofundisha course za project management kuanzia saa 11 jion(work days) pia ni vyema kikiwa affiliated na chuo cha nje ni vyema kikiwa mitaa ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom