Viongozi tusaidiane hapa
Nimepiga hii course pale Kilimanjaro ,Moshi cooperative University (MOCU )
Nimemaliza mwaka huu then nasubiri final results hapa.
Ila kuja hapa ni kutaka kupata mawanda...
habari wana Jf karibu uulize chochote kuhusu mwaka wa kwanza watarajiwa songea uulize jambo lolote linalohusu bodi ya mkopo , kujiunga chuo chochote. sana sana
SUA...
Naulizia chuo gani kizuri kwa mashimo ya computer kwa mwenye elimu ya kidato cha nne.Diploma ya computer sciance .ada nafuu.upatikanaji wa hostel na gharama za maisha.naomba na contact zao.
Ukijalibu kuchunguza hata kwa hizi International School utagundua kwamba Boarding wako watoto wa Kiafrica pekee hata na Watoto wa Wahindi na Wazungu wako Day yaani wanaenda na kurudi.
Niliwahi...
Habari wakuuu,
Ninaomba majibu ya maswali yafuatayoooo,
1.how does xylem adapted to water transportation?give six points
2.explain how capillarity force governs upward mvt of water and mineral...
Naomba kujua faida za kusoma nje ya Nchi (Bachelor of Science In Agricultural Engineering).
Habari ndugu zangu,
Mimi ni kijana, nimezaliwa na kukulia katika kijiji kimoja kilichopo Mkoani...
Wadau habari za leo, naomba mwenye upeo wa kuelewa zaidi anipe ujasiri wa kuendelea na adhma yangu ya kwenda kusoma kozi tajwa hapo juu.
Mimi nipo kwenye system kama CO sasa mwaka huu wa masomo...
Watu wengi mara nyingi huuliza swali jinsi ya kushinda kutojiamini. Ikiwa unaweza kujiambia moja ya maneno haya: aibu, kutengwa, aibu, kujiamini, na zaidi ya hayo, unafikiria kila wakati juu ya...
Habari zenu.
Natumaini kuwa hamjambo na gurudumu la elimu mnazidi kuliendesha vema.
Mimi pia sijambo. Namshukuru Mungu.
Moja kwa moja kwenye Mada.
Tanzania ni kati ya nchi za Africa zenye...
Hellow kwenye hizi selection za diploma mdogo wangu kachaguliwa dar es salaam police academy medical lab hiki chuo kiko waaap kwa dar mwenye kukifahamu vip mazingira yake yanafana?
Habarini wana jamvi,
Nilikua naomba msaada nataka ku apply tena kupitia CAS NACTE ila nimechaguliwa chuo kingine na uhitaji wangu ni chuo cu serikalii na apply vp sababu kiLa nikitaka kutuma...
Nashindwa kuelewa nini kimetokea hadi karne hii ya sayansi hakuna University Teaching hospital, je hatuyaoni magonjwa sugu yaliyopo? Wizara ina mpango gani?
Ni matumaini yangu kuwa mpo salama kabisa...niwape pole nyingi kwa kumpoteza mwanaharakati nguli, mwandamizi wa Marehemu warumi mwenyezi Mungu ampe pumziko zuri nina imani warumi ametangulia...
Habari zenu,
Kama kichwa kinavyo jieleza, mimi nilihitimu kidato cha nne 2015. Cheti changu kina makosa kwenye jina kuna herufi imeongezeka kimakosa.
Je, nawezaje kurekebisha? Maana sihitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.