wale wote mliocaguliwa udom kitengo cha science na hamkupata mikopo leteni mawazo yenu hapa mtueleze sisi wanajamii kwamba mna mpango gani juu ya elimu yenu mtaendelea kubaki nyumbani au harakati...
Hivi kwa nn usingekuwepo utaratibu wa kureseat hz paper online hili hawa ndugu zetu wa Makazini wapunguziwe mzigo!
me nahisi wabongo tukishirikiana inawezekana km jamiiforum, michuzi, jigambeads...
Kwa kawaida tumezoea kutafuta anwani za shule, vyuo na vitu vinginevyo vya muhimu kwa mda mrefu, na unaweza hata ukakosa habari husika uitakayo!
Ila kutumia TanzaniaKwetu utapata habari na link za...
Elimu ya tz inachosha. Wanafunzi wa vyuoni huwa wanafanya project, mara baada ya kumaliza wanaziacha na kuchukua marks zao.
Hawapati support juu ya hilo. Je, km wangepewa mtaji waendeleze project...
Ila tanzania tuko nyuma sana hata provision ya Degree of Online marketing badoo..! kwa mfano wabongo wanajitahidi kutangeneza
system za online marketing lakini vyuoni hiyo course haipo ona...
Kwa kawaida hapa nchini kwetu tumezoea kusema mimi nafanya kazi huku napiga shule. Na hapo hapo tunaambiwa kuwa mshika mawili moja humponyoka.
Kwa upande wangu mimi naona sio sahihi sababu ili...
President Paul Kagame, on Friday evening, commended the decision by the US-based Carnegie Mellon University (CMU) to establish a campus in Rwanda, observing that it will not only boost the...
Wapendwa ningependa kujua hawa watu wa CPA wataniadmit vipi couse nimemaliza ordinary diploma ya account pale IFM sasa sijui kama ntaanzia kwenye ATEC au kwenye modules.
Seven out of 10 standard three pupils in the country can not read. The shocking revelation was made on Thursday during the launch of Uwezo Tanzanias 2011 Annual Learning Assessment report. The...
Wakuu habari yenu kwa ujumla?
Tafadhali nisaidieni, nataka kurudi darasani kwa training ya materials management ili kujiweka vizuri kikazi. Mi nafanya kazi kwenye field ya materals management...
hii kitu niliipost kwenye jukwaa la sheria lakini nimeshauriwa na mtu ni post huku kwenye jukwaa la elimu... Wadau naomba mawazo yenu..mtu anamaliza LLB mwaka huu, uamuzi mzuri zaidi ni upi...
Wadau naombeni kuuliza kama kuna mtu yeyote aliyeomba bodi kupitia equivalent na jina lake limetolewa kua amepata au amekosa make mwenzenu jina langu halionekani kotekote.
Sijui kama ntapata au...
Wakuu,nimechaguliwa chuo hiko,mnisaidie nipate jua gharama zake,nimepata BED- arts mkopo 3,262,500 nawasilisha wakuu cz nimetry kuangalia web yao hamna ki2..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.