Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Hi, Nipo hapa DSM, ninatafuta firm/institution inayoweza kutoa mafunzo (tailor made training) ya Desktop Publishing na Digital Editing and Graphics kwa watu kama kumi hivi.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nakupongeza sana Mwl Pendo Matonange(Mrs Manoni,NJ) kuteuliwa kuwa Mkuu wa shule-Tinde Girls High School,MUNGU akubariki na akupe hekima,busara na maarifa ya kuongoza maana umekabiriwa changamoto...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
As one of the Alumni of the University of Dar es salaam, the President of the Republic of Uganda His Excellency Yoweri Kaguta Museveni, will host a fundraising dinner in Kampala on 3rd July 2011...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau, Kuna NGO moja ambayo inasaidia vitabu mashuleni TZ, kwasasa wana vitabu pia kwa ajili ya Medical schools kwa level ya university. Kama kuna university iliyo na courses za medicine ambayo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tangu tuingie kwenye utandawazi na siasa za vyama vingi hapa Tanzania kila mtu anataka kuonekana msomi. Siku hizi kuna vyuo vikuu vingi sana hapa nyumbani (vingine uchwara) ambavyo watanzania...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Spectacular New Species Discovered in New Guinea A frog with fangs, a blind snake and a round-headed dolphin are among more than 1,000 new species recently found on the incredible Melanesian...
1 Reactions
1 Replies
942 Views
Baada ya kutafakari sana nimeona hapa ndio sehemu pekee ya kupata msaada wa kuelewa elimu yangu ipo wapi, Kwa kifupi nilifali Form 4, baada ya hapo nikaona nianze tu na kitu kingine Ndio nikaanza...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Heshima mbele wakuu!naomba kuulza,hivi ile tume iliyoundwa na rais jk kufuatilia na kutoa mapendekezo ya jinsi ya kutoa mikopo ya elimu ya juu chini prof maboko haijamaliza 2 kazi yake?maana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Umoja wa wanataaluma chuo kikuu cha Dodoma(UDOMASA)umetoa tamko na msimamo wake juu ya migomo mfululizo inayoendelea hapa chuoni.Ikumbukwe kuwa mpaka sasa chuo cha sayansi ya jamii na humanitia...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
wadau wenye data kuhusu elimu ya huyu mh. mwageni hapa, napata wasiwasi wa elimu yake pale anapochangia hoja bungeni.
0 Reactions
57 Replies
9K Views
Tazama facts hizi zinaweza kukuburudisha na kukupa ufahamu wa mambo mbalimbali pia. No piece of paper can be folded in half more than 7 times.S Achicken with red ear lobes will produce brown eggs...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wana JF? Naomba msaada wa jinsi ya kupata kitabu cha Satanic Verses cha Salman Rushdie. Kama kuna mtu mwenye link ya kuniwezesha kupata kitabu hiki tafadhali!!
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wapendwa watanzania wenzangu napenda kuchukua fursa hii kuwajulisha ya kuwa, Chuo kikuu cha Dodoma kimempata Raisi ambaye ni jembe(chadema) kukiongoza tena kwa kipindi kingine cha mwaka mmoja...
1 Reactions
72 Replies
7K Views
Hebu wadau tuliosoma Kilimanjaro boyz tukumbushane mambo mazuri yaliyofanyika au jambo lililokufurahisha/kukumbuka. Kwa upande wangu namkumbuka sana Baba mchafu, Kichekiche na ile supa market...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
hello plz naoma mnisaidie links ambazo kuna kuna scholarship za overseas for masters in environmental studies 2012
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Vip wadau! eti ni kweli fomati ya mtihani form 6 imetoka?
0 Reactions
1 Replies
924 Views
Jamani hali ni tete udom more info zinakuja asubuhi kulikuwa na taarifa wamegoma kitivo cha collage of information and virtual study sasa mgomo wao umepelekea wanafunzi kumi kufukuzwa bila hatia...
0 Reactions
117 Replies
11K Views
Tanzania is seeking science and math teachers from kenya and uganda to bridge a shortfall of 85000 teachers.Source the East African.Karibu wana EA a friend in need is a friend indeed.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kuna taarifa kuwa uongozi wa chuo kikuu cha dodoma umewafukuza wale ambao unawaita vinara wa mgomo ambao ulianza juzi chuoni hapo na kuwataka waondoke chuoni hapo kabla ya sa kumi na moja jioni...
1 Reactions
109 Replies
16K Views
Back
Top Bottom