Chuo kikuu cha Waislam kilichoko Morogoro kimetangaza kozi mbali mbali kwa mwaka 2009-2010 kama Kozi za Sheria-Law,Business Administration,Education,Mass Communication n.k.
website ya chuo ni...
WanaJF, nimeona niwashirikishe kuhusu hili linalonisumbua muda kidogo kwani muda unaelekea ukingoni sasa. Mimi mwanaJF mwenzenu nimefanya application nyingi kwa ajili ya admission vyuo mbalimbali...
Wakubwa nina uhakika kwamba humu ndani kuna idadi kubwa mno ya wazumbe,Na wengi wao wapo kwenye vitengo muhimu ndani na nje ya nji hee(hehehe).
Sasa nina hii mission,Kwanini tusijiunge pamoja...
hello, jamani nimewamiss shycomists. japo tukumbushane mambo ya kisamurai, jogging, flavour juction na possesion. mpo.......?
haya jamani karibuni jamvini
Kwa mnaokumbuka,
wana-kagera na wote wenye mapenzi mema walikusanyika kwa jitihada zote kwenda diamond jubilee (kama sisahau) kwa ajili ya kuchangia mfuko wa kusaidiia maendeleo ya elimu mkoa wa...
Scholarships go beggingProf Jumanne MaghembeBy Flora Nzema, Tumaini University
Hundreds of foreign education scholarships meant for Tanzanian students expire every year without being granted to...
Hi,
Join the world recognized MBBS program in Ukraine.
You can now earn your MBBS degree at an expense less than 30% by doing it in one of the most reputed universities in Ukraine with...
Mimi sio mtaalamu wa masuala ya elimu , lakini kuna suala moja limenigusa nalo ni hili la shule za kata , katika miaka karibu 5 iliyopita shule za kati zimekuwa kwa wingi sana hapa nchini , watu...
Hi,
Join the world recognized MBBS program in Ukraine.
You can now earn your MBBS degree at an expense less than 30% by doing it in one of the most reputed universities in Ukraine with...
5 Minute Management Lesson
*Lesson 1:* *
A man is getting into the shower just as his wife is finishing up her
shower, when the doorbell rings.
The wife quickly wraps herself in a towel and...
"Deadlines are meant to be taken seriously," he says. "You are going to have to sit down at some point and do the work, so you might as well determine to do it at the first opportunity instead of...
Nina ndugu hapo st.matthews,A level.ameniacha hoi aliponieleza kuwa St.Mathews wanafunzi wanalazimika kulipia laki moja kwa mwezi kwa somo kwa walimu wao(kwa siri shule haijui-kweli??).
wanafanya...
Cocamidopropyl betaine (CAPB) or cocamidopropyl betaine chemical is made from coconut oil reacted
with chemicals and is a zwitterionic surfactant with a quaternary ammonium cation in its...
Jamani kama mnawezakunisaidia majibu ya vitu vifuatavyo nimeangaika kiasi cha kutosha na wenye navyo hawajibu
contribution of Banking sector to Tanzanian Economy in term of GDP percentage...
WanaHESABU kama mimi tunasema 2=1!
Tunasema:
Ikiwa x=y
Basi 2x-x=2y-y
Na 2x-2y=x-y
2(x-y)=x-y
2(x-y)/(x-y)=x-y/x-y
Hivyo basi:2=1
Ona unavyotoa macho!
Aliyekimbia hesabu utamjua tu!
Jenny Vaughan
Kampala
Makerere University has admitted 13,455 privately-sponsored undergraduate students for the 2009/2010 academic year, according to an official list released yesterday.
Of...
hello friends!!
kwa wale wengi wenu mliopita chuo kikuu cha dar hususan kitengo cha elimu. taarifa nilizozipata muda si mrefu ni kuwa Dr. Masudi ambaye kwa sasa alikuwa chuo kikuu cha Dodoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.