WANAFUNZI CHUO CHA UHASIBU ARUSHA WALIOPATA UDHAMINI WA LOAN BOARD WAKIWA MWAKA WA PILI HAWAJAWEKEWA TUITION FEES NA BODI HIYO HADI LEO AMBAPO IMEBAKI WIKI MOJA WAFANYE MITIHANI NA WAMETAKIWA...
Education system set for major overhaul
By Polycarp Machira
THE CITIZEN
The education system is set for a major overhaul following the appointment by the Government of a team of 11...
Katika pitapita kwenye webu nimekutana na somo la historia ambalo linaweza kukupa sura na kuelewa baadhi ya mambo mila na utamaduni na kwa nini shuka nyeupe ilikuwa inatumika hapo zamani kwa...
Nia hasa ni kuwataarifu waTanzania wenzangu hasa wanaomaliza chuo mwaka huu au waliomaliza mwaka jana kuhusu nafasi za Scholarships. Kwa wale wanaotaka kusoma MSc ama PhD
katika Engineering au...
Emirates shirika bora la ndege Tanzania
Mwandishi Wetu
Daily News; Wednesday,May 31, 2008 @07:39
EMIRATES imechaguliwa kuwa Shirika Bora la Ndege la Mwaka nchini wakati wa sherehe za...
Hii ni habari ya kusikitisha na kuhuzunisha kwa kila mtanzania ambae anapenda amani na nchi yake..huko pemba mkuu wa wilaya ya wete ameamua kuyafungia maduka sita ya kijiji cha kigongoni baada ya...
Leo tutazungumzia ndege nyingine iitwayo C-5 Galaxy.
C-5 Galaxy ni ndege iliyoko katika hazina ya zana za kijeshi la jeshi la marekani. Ndege hii ilitengenezwa kwa ajili ya kusaidia kusafirisha...
Welcome to an interactive and engaging seminar on Free Software and ITIL
How can you achieve better control of your own IT systems?
Good control is based on two factors...
Getting the right Computer Software
Submitted by helen
Computer software is a vast term used to describe a collection of computer programmes, procedures and documentation that all...
Salamu,
mimi ni mwanafunzi wa degree ya kwanza ya biochemistry (mwaka wa 3) na ningepende kuomba kuwasiliana na mTanzania yeyote ambaye anasoma ktk field hii popote duniani at MSc, PhD, or...
mwanachuo atoa mimba ya miezi saba CBE DODOMA CAMPUS na kutupa kitoto kichanga chooni CBE DODOMA CAMPUS kikiwa tayari kimekufa
wanafunzi wa chuo cha biashara dodoma wameokota kitoto...
B2-Bomber ni mojawapo ya ndege zenye majukumu makubwa muhimu katika sekta ya ulinzi ya Jeshi la Marekani. Ndege hii ina uwezo wa kubeba mizinga ya kawaida na hata ile ya kinyuklia kama...
Huyu Patrick Lumumba ni jamaa kule Kenya anapenda sana ku-twist methali na misemo ya kiingereza yet at the same time securing the message.Following are examples of some of his intelligent twists...
Ningependa kujua kama kuna waTanzania wowote, nyumbani au nje ya Tanzania wanaotumia CAD packages kama za ProE, Solidworks etc.
Je, mnatumia hizo package katika shughuli gani?
Je, zinakusaidia...
Commonwealth
Distance Learning
Scholarships
For more information
please contact:
Aga Khan Foundation
East Africa Regional
Office
P.O. Box 40898-00100
ICEA Building (8th Floor)
Kenyatta...
Leo hii vijana wa SOKOINE UNIVERSITY Wameapply for the preliminary objection dhidi ya kuhapishwa kwa rais wao mteule baada ya mchakato mzima wa kampeini na uchaguzi kujaa dosali.
mahakama...
Hello Colleagues,
Please a flyer attached on the IT Leadership Institute
to be held by the world's renowned IT expert, Mike
Sisco, for the first time in Tanzania and East Africa.
The...
Goodmong everbody!,
ACSEE-2008 results are out
But u have to know center number or registration number of the candidates,
for center number you can get it here...
The date: May 3, 1978. The culprit: Gary Thuerk, a marketer for the old Digital Equipment Corporation. His crime: Sending a sales e-mail to 393 users on Arpanet (then a U.S. government computer...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.