Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

mtu asiyejua historia yake ni sawa na mtu aendaye katika giza maana yake unajua historia ya watu ila ya kwako hujui. mfano watu wengi wanajua sana historia ya ulaya kuliko historia ya africa na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Katika Tanzania tumezoea kusema Mwalimu Julius Nyerere ndiye Baba wa Taifa. Hii ni kweli kwa kwa taifa la kisasa la Tanzania. Maana Nyerere pamoja na Abeid Amani Karume wa Zanzibar waliamua...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kifo cha Makweta,kimenifikirisha na hakika nimekumbuka kuwa yeye ndiye mtu maarufu kuliko wanasiasa wengi waliopata kutawala katika mkoa wa Iringa na Njombe ikiwamo.Ni huyu Makweta ambaye aliwahi...
0 Reactions
8 Replies
8K Views
Historia ya Abbas Kleist Sykes na Julius Kambarage Nyerere (1952 – 1999) ABBAS SYKES NA MSIBA WA BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE, 1999 SEHEMU YA TANO NA YA MWISHO Kulia ni...
7 Reactions
78 Replies
12K Views
Mstari wa nyuma kuanzia kushoto nimemtambua Obote, Nyerere, na Kaunda Mstari wa mbele kutoka kushoto Bokhasa, Haile Selassie , Kenyatta na Mobutu Wengine ninaomba msaada. Ninafahamu hapo yupo...
13 Reactions
91 Replies
17K Views
https://scholar.harvard.edu/files/shleifer/files/privatizing_russia.pdf Nilikuwa ninatafuta umbea nikakutana na hii document. Inaeleza jinsi wajanja walivyo ibinafsisha Urusi. Ni page 54...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndani ya Pyramid kuna vyumba (vyemba) vilivyo jengwa juu, chini ya pyramid, kuna milango kama huo hapo kwenye picha ambao haujulikani unafunguliwaje na ndani ya chumba hicho kuna nini? Maduara...
4 Reactions
25 Replies
5K Views
Ibn Hazim Media Centre imechapa vitabu vinne vidogo vidogo kwa usomaji wa haraka na kufanya jumla ya vitabu vinne kuhusu historia ya uhuru wa Tanganyika. Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Hii harusi inaelekea ilikua classic kwa enzi hizo. Mpaka walimudu gharama za picha ya kumbukumbu.
7 Reactions
32 Replies
7K Views
Shajara ya Mwana Mzizima Sheikh Yahya Hussein: ‘Mjawiid’, Mnajimu, Tabibu na Mtabiri Bingwa Afrika Mashariki Sehemu ya Kwanza Na Alhaji Abdallah Tambaza Sheikh Yahya Hussein NIANZE kwa...
9 Reactions
47 Replies
18K Views
Hivi kuna yeyote amewahi kujiuliza Shekilango ni nani mpaka barabara kubwa jijini DSM ikapewa jina lake? Naomba mwenye historia na wasifu wa Shekilango atuwekee. Naamini siko peke yangu ambaye...
12 Reactions
168 Replies
56K Views
Nimeletewa barua ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kujiuzu kazi ya ualimu, aliyeniletea bila shaka akidhani siijui barua hii. Nimeamua kumwandikia kumpa fikra zangu na kumweleza...
6 Reactions
87 Replies
15K Views
NADHIRI ISIYO TAKATIFU |Umuhimu wa kutunza kumbukumbu na umuhimu wa teknolojia katika uchunguzi wa matukio ya uhalifu. Kitabu: Istilahi Za Uhalifu Na Usalama: Sura ya 4: uk. 77 Na. Dr. Chris...
5 Reactions
4 Replies
2K Views
HII NDIYO SHULE YA KWANZA KABISA KUJENGWA TANZANIA. Mwaka 1848, Mmishonari wa Kijerumani Dk Johan Ludwig Krapf, alitembelea kijiji cha Magila kilichopo Muheza mkoani Tanga akiwa katika safari...
3 Reactions
26 Replies
14K Views
Hello wadau, Kwa yeyote anaejua historia ya mji wa iringa naomba atushirikishe, na majina mbalimbali na namna ilivyokuwa; kuna sehemu panaitwa kitanzini ilikuwaje na kina nani walinyongwa? Vita...
1 Reactions
3 Replies
5K Views
Egypt kuna maandishi mengi kuhusu piramidi kubwa la Gaza tutafute kama tutapata chochote kitu kuhusu kazi hizi za maajabu halafu tutarudi Peru kwenye haya mapiramidi matatu kabla hatujatoka nje ya...
5 Reactions
18 Replies
5K Views
Mnamo tarehe 15 Novemba 1884 hadi Februari 26 mwaka 1885 kwa siku 104 viongozi wa Mataifa ya Ulaya wakaa na kugawa bara la Afrika Mkutano huo ambao maamuzi yake yalipelekea kubadilishwa kwa...
2 Reactions
8 Replies
6K Views
Ukweli ni kuwa Mtaa wa Mshute Kiyate haupo kwa sababu wahusika wamekataa kubadili kibao cha jina sasa yapata zaidi ya miaka 20. Kitwana Kondo alipokuwa Meya wa Jiji la Dar es Salaam ndiye...
0 Reactions
35 Replies
6K Views
Katika historia ya waisraeli sidhani kama watakaa wasahau kibano walichokipata kwa Hitler. Majuzi walikua wanaadhimisha miaka 70 ya kuuliwa kwa wenzao wapatao millioni 6 na zaidi Mauaji hayo...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Francis Daudi, Leo Septemba 12, Dunia inamkumbuka Stephen Bantu Biko ambaye alikuwa mwanaharakati mashuhuri wa Afrika aliyefariki mikononi mwa polisi wa kikaburu huko Afrika Kusini miaka 42...
3 Reactions
8 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…