Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Moja ya dollar alizopewa na Americans baada ya kuteka ndege 1971 na kupotelea kusiko julikana wala dollar hazijawahi onekana kwene system since then
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nilikuwa naangalia kipindi maalum cha mashujaa kwenye television ya ITV. Wameonyesha vita ya Uganda na siku ya mashujaa baada ya vita hiyo. Nimekuwa nikifuatilia sana vita hii, kujua sababu yake...
2 Reactions
21 Replies
6K Views
Shajara ya Mwana-Mzizima No. 3 iko njiani inakuja. Cover ya kitabu hiki kwa hakika inavutia kwani inamwonyesha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ameshika bango lisemalo, ''Uhuru...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wengi wenu mlikuwa hamjazaliwa wengine ndiyo tulikuwa tunaanza kutumia bidhaa za Tanzania Elimu Supply. Mkienda Saba Saba Grounds ni sehemu ya shopping ya shule hasa kwa dada na kaka zetu.
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Kwa sasa Tanzania mikogo na madaha ya wanasiasa na hata viongozi mbali mbali wanatumia ununuzi wa ndege kama mafanikio ya Rais Magufuli. Je, ni kweli kuwa serikali zilizopita hususani ya nne...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KARIBUNI TANZANIA WAGENI WETU KUTOKA SADC. Leo 13:15pm,04/08/2019. Karibuni Tanzania,ardhi ya Kilimanjaro,Zanzibar na Serengeti, ardhi yenye mbuga kubwa barani Afrika,Mbuga ya Selous,Taifa la...
0 Reactions
1 Replies
891 Views
Utangulizi Nimesoma makala iliyonifanya niamue kueleza baadhi ya mambo ili tuijue historia ya TANU na harakati ya kupigania uhuru wa Tanganyika. Naweka hapo chini niyajuayo katika historia hii...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
HATUNA ZAIDI YA NYERERE? _______________________________ Na #Mwenda ND, Raiis John Pombe Magufuli (JPM) IJUMAA alinzudua mradi wa umeme katika Bonde la Mto Rufiji (Stigler's Gorge), katika...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
MFAHAMU BIBI CHRISTINA MGAYA WA NYANG'OMBE Ameandika Francis Daudi Hayati Bibi Christina Mgaya wa Nyang'ombe alikuwa mke wa tano(Kati ya wake 22) wa chifu Nyerere Burito. Hayati Bi. Mgaya ndiye...
6 Reactions
14 Replies
7K Views
The word "Africa " is an evocative one that conjures up different images for different people. For some, it's an ivory-tusked elephant standing before the snow-capped peaks of Mount Kilimanjaro...
1 Reactions
0 Replies
668 Views
Naweka hapa chini maelezo ya ziada kuhusu historia ya Khanga za Boimanda kama alivyoniandikia dada yangu Ummie Alley Hamid kutoka Zanzibar. Katika maelezo yake kanikumbusha mambo ambayo nilikuwa...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Je, waifahamu nchi ya Bhutan iliyopo kati ya China na India? Nchi hii ya kipekee kabisa ilipiga zuio la utalii mpaka ilipofika mwaka 1974. Ni nchi pekee Duniani iliyoweza kupima National...
52 Reactions
137 Replies
18K Views
Ilikuwa mwaka 1984, majira ya asubuhi nilimshuhudia mwalimu wetu katika shule ya sekondari ya bweni iliyoko kijijini kwenye baridi na huku akiwa amekumbatia redio yake ya mkononi, ukali wake...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Shajara ya Mwana Mzizima Rashidi Mfaume Kawawa Mtetezi Wanyonge aliyekuja kuwa Waziri Mkuu Na Alhaji Abdallah Tambaza Raia Mwema Aprili 30 - May 1, 2018 UTAWALA dhalimu wa Kikoloni wa Ulaya...
4 Reactions
13 Replies
6K Views
* Moja ya Maajabu Makubwa waliyoyafanya ni kujenga Great Pyramid hiyo kitu ina sifa sifuatazo. A. Ilijengwa kama Kaburi la Pharao ya kipindi hicho aliyeitwa 'KHUFU' Pia inajulikana kama ni...
8 Reactions
73 Replies
17K Views
Mwandishi wa vitabu hivi haitaji kuelezwa sana kwa wasomaji wa makala zake chini ya anuani: "Shajara ya Mwana-Mzizima," katika gazeti la Raia Mwema. Makala zake zimeeleza historia ya Dar es...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Ananielezea Mzee wangu kwamba mnamo mwaka 1974, Mwalimu Nyerere alienda kukaa Chamwino Dodoma kwa muda mrefu kusimamia ujenzi wa Ikulu ya Chamwino. Ndugu Moses Nnauye, wakati huo akiwa Mkuu wa...
4 Reactions
10 Replies
3K Views
Hiki ni chumba chenye kompyuta kilichotumika kujumlishia matokeo mwaka 2015, chumba hiki maalumu cha IT kipo MASAKI JIJINI DSM, Kwa hakika hawa ndio walio msaidia kuhakikisha Rais Magufuli...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
TBC imekuwa ikirusha kipindi, ''Kutoka Maktaba,'' kipindi hicho kikionyesha mahojiano aliyofanya Ally Sykes na TBC 1 wakati wa uhai wake kuhusu maisha yake akiwa Burma wakati wa WWII hadi kwisha...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama mambo yata enda kwa desturi, uwezekano wa kupata Rais mprotestanti Tanzania ni kati ya miaka 20-30 kutoka 2015. Miaka 10 - 20 kwa awamu ya sasa, na miaka 10 kwa awamu inayofuatia ambayo...
3 Reactions
63 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…