Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Syria miaka ya 1970s kabla wapuuzi hawajachukua nchi. πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
4 Reactions
42 Replies
1K Views
Uwepo wa wewe na mimi ni ushahidi tosha kuwa dunia imekaliwa na binadam kwa MUDA WOTE tokea alipoumbwa binadam wa kwanza. Kama dunia imekuwa na watu muda wote maana yake watu hao walikuwa...
11 Reactions
74 Replies
2K Views
Najua nitakachoandika hapa kitaleta ukakasi kwa watu wengi, lakini ukweli lazima usemwe. Wakoloni kutoka Magharibi walitumia nguvu zao za kijeshi na kiuchumi kutanua himaya zao, wakitafuta...
1 Reactions
0 Replies
226 Views
Mnaemuita firauni ni babu yenu, wa asili! alikuwa ni Mweusi tii!! jina lake aliitwa Mkuu Ramesses wa II au Sese! Nimekuwa nikiona habari kutoka kwa watu, kuwa mwili wa Ramesses ll huwa ukizikwa...
26 Reactions
803 Replies
151K Views
Hapo zamani za Kale – Hadithi kuhusu Afrika. Yaaminika bara la Afrika ndilo chimbuko la mwanadamu. Bara hili limekuwa makaazi ya falme nyingi na pia lililopoteza watu wake wengi kupitia biashara...
0 Reactions
0 Replies
292 Views
Hii ina ukweli gani wakuu? ZIWA VICTORIA LIMEWAHI KUKAUKA MAJI YOTE MARA TATU Ziwa Victoria ni ziwa la pili kwa ukubwa duniani baada ya Ziwa kuu la Kaskazini nchini Marekani. Ziwa hili ambalo...
7 Reactions
70 Replies
3K Views
Wakati naanza kuandika makala ya huyu Mzee aliyejaaliwa miaka mingi na heri hapa Duniani nikakumbuka yule dogo aliyemzaba kibao sijui yuko wapi. Kweli maisha ya mwanadamu ni hadithi tu ndiyo maana...
24 Reactions
56 Replies
13K Views
Habari zenu ndugu wana jukwaa letu pendwa. Kama mada inavyojieleza ukiangalia mambo yanavyoendelea nchini unaona kabisa kuna kila sababu ya chama cha mapinduzi kuwekwa likizo maana hawana mbinu...
0 Reactions
2 Replies
242 Views
1. Kabla ya taifa la kisasa la Israeli (lililoanzishwa 1948), kulikuwa na Mamlaka ya Uingereza (1920-1948), sio taifa la Palestina. 2. Kabla ya Mamlaka ya Uingereza, kulikuwa na Ufalme wa Ottoman...
3 Reactions
8 Replies
367 Views
MIAKA 29 iliyopita, Januari 1984, Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM), iliyoketi mjini Dodoma kwa dharura, ilimvua (ilimpindua?) nafasi zote za uongozi, Rais wa Awamu ya Pili wa...
4 Reactions
12 Replies
10K Views
Jenerali mstaafu David Bugozi Waryoba Musuguri alizaliwa Januari 4, β€Œ1920 katika Kijiji cha Kumuruti, Masabha. Sasa sehemu hiyo inajulikana kama Nyasirori, akiwa mtoto wa tatu katika familia ya...
21 Reactions
38 Replies
16K Views
Akitoa taarifa kujibu uzushi wa jarida mojawapo hapa Tanzania,Mtendaji Mkuu wa TanRoads Mha.Mohammed Besta amesema Awamu ya 6 inatejeleza Jumla ya miradi 77 ya Barabara za Lami na madaraja yenye...
2 Reactions
15 Replies
320 Views
Ndugu wanajamvi, katika pita pita yangu nimekutana na majina fulani fulani maarufu ambayo taasisi mbalimbali zimepewa, ambayo kusema kweli sijajua asili ya majina hayo, na nahisi huenda ni ya watu...
3 Reactions
27 Replies
18K Views
Habarini wana jamvi, leo ningependa kujua historia ya nchi ya Botswana kabla na baada ya uhuru, utawala wao upoje kabla na baada ya uhuru, na mpaka sasa hali ya yao kiuchumi, kisiasa na...
2 Reactions
12 Replies
7K Views
BULAWAYO, ZIMBABWE 1993 Angalia picha hapo chini niko Bulawayo chini ya kibao na nyingine kipo kibao kitupu. Hiyo ambayo nipo chini ya kibao nilipiga Bulawayo mwaka wa 1993 na hiyo nyingine...
11 Reactions
31 Replies
3K Views
Nawashukuru ndugu zangu kupita kiasi. Kila siku wananikumbuka na kuniletea vitabu ama wavitume au kuja wenyewe maktaba kwa miguu yao. Abdulaziz Ali Khamis yeye anatoka Mombasa. Mara kwa mara...
8 Reactions
43 Replies
902 Views
https://youtu.be/Po9jm6R1pTU?si=9ASSkOOiXUmLbSHe
0 Reactions
0 Replies
118 Views
Tarehe 7.7. 1954 kilizaliwa chama cha Ukombozi wa Tanganyika. Kiliitwa Tanganyika African Nation Union (TANU). Maazimisho ya sabasaba yalikuwa na historia ya kuanzishwa kwa Chama (TANU). Mnamo...
0 Reactions
0 Replies
109 Views
Mwezi ulipita yaani September,ilitimia miaka 34 tangu kiongozi wa kanisa katoliki kwa wakati huo Papa John Paul II afanye ziara yake nchini. Hakuna ubishi ya kuwa Papa John Paul II ndio Papa...
5 Reactions
34 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…