Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Umofia kwenu wana JF, Miaka ya 1972 Mwalimu alianzisha vijiji vya ujamaa katika mikoa yote ya Tanzania,kwa upande wa Mzizima (DSM) kulikuwa na vijiji vya Kibugumo,Kimbiji,Mwanaliwato na...
1 Reactions
9 Replies
11K Views
Kwaheli kamanda.kwaheli komba,ijapo tulitofautiana kisiasa.mungu ndiye anaejua umeifanyia nini tanzania.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama kungelikuwa n Wakati huu wakati wa vita Kati Ya mkwawa na wajerumani,na Kwa kuwa alikuwa n muislamu je angelionekana pia anapiga jihadi na dunia na watanganyika tungewaona ni magaidi alazwe...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
kwan mwsho wa escrow wap wadau
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Eduardo Mondlane (mwanzilishi wa chama cha kupigania uhuru Msumbiji cha FRELIMO akiwa na Ernasto Che Guevara katika ofisi za FRELIMO jijini Dar es salaam mwaka 1966. Che Guevara alikuwepo Dar es...
8 Reactions
32 Replies
9K Views
Kwanini hii historia haifundishwi shuleni? Nimekutana na hii nikapenda kushare nanyi wanasiasa. kunajambo la kujifunza hapa. Kuna watu wanasema kuwa uhuru ulianza kudaiwa na watu wapwani especial...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Huyu shekh Mussa Al Bique alikuwa mmoja katika machifu au viongozi katika eneo la Kilwa Kisiwani mkoani Lindi kabla ya kuondolewa na Sultan Ali Hasan bin Suleiman na kukimbilia...
1 Reactions
35 Replies
6K Views
Salaaaaam kwenu wote jukwaaani" Ninapotafakari hili suala kwa kweli huwa nakosa majibu maridhawa Waarabu`wajerumani na waingereza hawa wote kwa nyakati tofauti walikuja kuchukua mali na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
anaetaka kuja shinyanga kutoka kilimanjaro arusha Paine morogoro na tanga mawasiliano ni 0764 149464
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hivi vitabu viwili vimenitoa tongo tongo
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Katika maktaba leo tuna picha ya kumbukumbu ya uzinduzi wa soko kuu la Kariakoo la jijini Dar es salaam kulikofanywa na aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Baba wa Taifa Mwl...
5 Reactions
12 Replies
8K Views
Wanaukumbi, Naweka hapa vipande kutoka Dictionary of African Biography (DAB) ambao ni mkusanyo kwa njia ya maandishi ya Waafrika walioacha alama katika maendeleo ya bara hili. Huu ulikuwa mradi wa...
3 Reactions
9 Replies
3K Views
Mwaka 1896 serikali ya Zanzibar iliingia vitani na ile ya Uingereza. Vita hii iliisha baada ya dakika 38. Waliokufa au kujeruhiwa vibaya kwa Wazenj walikuwa 500 huku Waingereza wakijeruhiwa askari...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
kwanza heshima kwenu wakubwa na vijana wenzangu, kuna habari za kihistoria niwewahi kuzisikia lakini sikupata historia hiyo kwa kina na nimeona hapa kuna wenye uelewa mpana wa mambo yetu ya...
0 Reactions
25 Replies
9K Views
Nadhani kila mwanaJF anaifaham historia ya nguli wa siasa nchini tanzania,baba wa taifa,hayati mwalimu Nyerere.Ndugu ulishawahi kusikia kuwa hayati mwalimu alishawahi kuishi na wake wawili tu...
2 Reactions
36 Replies
9K Views
https://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=HhhuTRuX5Bg&x-yt-ts=1421914688&x-yt-cl=84503534 KUMBUKUMBU YA MAPINDUZI - AZAM TV - Mohamed Said
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari Wakuu? Kwanza kabla ya yote napenda kutoa chuki zangu za dhati kwa Raisi Kikwete kutokana na hotuba yake mbovu mbovu aliyoitoa juu ya Sakata la Escrow. Binafsi nimeona matundu mengi "...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
1). Mtwa Mkwawa hakuwa mhehe na wala hakuwa mtoto wa Mnyigumba (kama historia iliyoandikwa na Wajerumani inavyopotosha); bali Mkwawa alikuwa ni mtoto wa dada wa Mnyigumba aliyeolewa na mtemi wa...
5 Reactions
53 Replies
18K Views
Mimi ni mwanachama wa CDM mwenye kadi no. CDM 0545314 iliyotolewa tawi la chuo kikuu cha Tumaini(SMMUCo) moshi-2011. Toka mwaka huo mpaka leo nimeshindwa kulipia ada ya uanachama kwa kuwa nakosa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba mwenye kujua aniambie ni sehemu gani hapa Tanzania (Dar es Salaam) wanafundisha lugha ya kichina??
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…