Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Mifupa ya kijana yenye umri wa miaka 31,000 iliyofukuliwa kwenye pango nchini Indonesia inatoa ushahidi wa zamani zaidi wa kukatwa kwa kiungo (kwa upasuaji), kulingana na utafiti mpya. Hapo...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Ni mpenzi wa sanaa au watu mashuhuri waliowahi kuishi na kufanya mambo makubwa hapo zamani? kama ndivyo jina la Leonardo Da Vinci na Michelangelo si mageni kwako. Sikumoja Leonardo alikuwa na...
5 Reactions
8 Replies
4K Views
BILALI REHANI WAIKELA (1932 – 2022) Maneno hayo hapo chini yapo katika utangulizi wa kitabu cha Abdul Sykes: ‘’Napenda kutoa shukrani maalum kwa Bilal Rehani Waikela, muungwana wa Kimanyema na...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Tanzania ipo mikoa, wilaya na sehemu tofauti tofauti na majina yake. Lakini huwa najiuliza haya majina yametokana na nini au ni kwa sababu gani waliita hivyo? Kwa mfano Msasani nasikia ilitokana...
1 Reactions
78 Replies
22K Views
USO KWA MACHO NA BINGWA WA KUTAFSIRI QUR'AN SHEIKH MSELEM BIN ALI Leo katika uzinduzi wa kitabu cha Sheikh Ponda Issa Ponda, ''Juhudi na Changamoto,'' Peacock Hotel nilibahatika kukutana na...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Mfahamu Theddy Ladislaus, aliyekuwa Mshauri wa Raisi wa Zambia kwenye Mawasiliano ya Kimkakati lakini kafanya kazi kwenye chaguzi za Ufilipino(2015), Nigeria (2015), Serikali ya Ghana, Dominican...
6 Reactions
28 Replies
3K Views
TAA, GAVANA EDWARD TWINING NA SERIKALI YA MALKIA ELIZABETH 1953 Baada ya kupata taarifa ya kifo cha Malkia Elizabeth nimekifungua kitabu cha Abdul Sykes (1998) kumtafuta Malkia. Nimekuta...
3 Reactions
1 Replies
727 Views
Ilitokana na nini? Cabinet ministers lined up for execution after a coup d'état in Liberia, 1980 A Liberian army soldier stands ready to execute a former cabinet minister following the 1980 coup...
7 Reactions
78 Replies
8K Views
TAA, GAVANA EDWARD TWINING NA SERIKALI YA MALKIA ELIZABETH 1953 Baada ya kupata taarifa ya kifo cha Malkia Elizabeth nimekifungua kitabu cha Abdul Sykes (1998) kumtafuta Malkia. Nimekuta...
0 Reactions
0 Replies
819 Views
JULIUS NYERERE, JULIUS CAESAR, SAHIB NA VITABU VIJAVYO VYA SHEIKH PONDA Kuna rafiki yangu kaniambia kuwa wakati alipokuwa anafanyakazi katika shirika moja kubwa la kimataifa linaloshughulika na...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
KITABU CHA SHEIKH PONDA KATIKA MADUKA YA KUUZA VITABU Kitabu cha Sheikh Ponda ''Juhudi na Changamoto Kinapatikana Ibn Hazm Media Centre katika maduka yao ya kuuza vitabu yaliyopo katika Misikiti...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wandugu, salam za mida hii. Natafuta hotuba ya "SABABU TUNAYO, NIA TUNAYO NA UWEZO TUNAO." Nataka kusikia hizo "sababu tunazo" na hoja ya Rais ya kwenda vitani kwa mapana na urefu, badala ya...
5 Reactions
557 Replies
100K Views
Swali hili linahitaji jibu; jibu lake linaweza kuwa rahisi au gumu. Lakini ni jibu linalotegemea ujuzi wa historia. Ni jibu linalojaribu kuangalia kama uamuzi wa serikali ya Tanzania kutekeleza...
15 Reactions
409 Replies
30K Views
Vijana ni nguzo ya taifa, hivyo taifa lolote halina budi kua na vijana wenye weledi wa mambo pamoja na utashi katika kufanya Mambo Jambo ambalo linaweza kuwapa historia kubwa hata baada ya mwisho...
0 Reactions
1 Replies
983 Views
Katika maziko ya Mzee Kitwana Kondo niliombwa nizungumze. Sikiliza video hii kuna historia muhimu sana kueleza kuundwa kwa TANU. Nilizungumza kuhusu kikao cha watu watatu nyumbani kwa Hamza...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
The Bombay Africans in the 19th century, Waafrika waliookolewa na wanamaji Waingereza kutoka jahazi zilizobeba watumwa kwenye Bahari ya Hindi; wengi walikuwa vijana, watoto au wanawake...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
BURIANI HASSAN CHIKUSA MSOMI MKIMYA Naamini si wengi wanamfahamu Hassan Chikusa na yote yaliyomsibu katika maisha yake. Mimi nilimjua Hassan Chikusa kwa kuwa alikua jirani yangu akiishi kwa...
34 Reactions
278 Replies
13K Views
Wanasema kuishi na watu kuona mengi. Kuna mzee wangu ambaye nilinunua shamba kanda ya ziwa kwa wasukuma. Kupiga stori naye na mda mrefu kunieleza kuwa babu yake alikuwa mtawala wa mwisho wa...
3 Reactions
12 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…