Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Shariff Abdalla Attas (Picha kwa hisani ya Bwana Shomari) Sie wengine tumekuja kumjua Shariff Abdallah Attas katika utu uzima wake akikaa Mtaa wa Twiga na Sikukuu nyumba yake mkabala na Msikiti...
22 Reactions
218 Replies
33K Views
Chief Michael Lukumbuzya wa Ukerewe Nilikuwa naitafuta picha ya hayati Chief Michael Lukumbuzya kwa miaka mingi bila mafanikio. Sababu ya kuitafuta picha ya Chief Lukumbuzya ni kisa...
26 Reactions
713 Replies
84K Views
KWA NINI BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE HAKUNYANYUA KALAMU KUANDIKA MAISHA YAKE? Naikumbuka siku hii kama jana vile. Niko nje ya mipaka ya Tanzania ni nyakati za usiku niko kwa...
11 Reactions
82 Replies
8K Views
Habari wanaJF, Naangalia Tanzania Safari Channel, msimulizi anasemaje Wandali na Wanyakyusa walitokea Kongo. Walipita Morogoro na milima ya Livingstone mpaka Rungwe, wajuzi wa historia hii...
2 Reactions
29 Replies
9K Views
MOHAMED SHEBE CAMERA YAKE NDIYO ILIYOTUHIFADHIA HISTORIA YA TANU, MWALIMU NYERERE NA UHURU WA TANGANYIKA Picha hiyo hapo chini inamuonyesha Mohamed Shebe kushoto na anaefuatia ni John Rupia na...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
WAZULU WA IMHAMBANE, MOZAMBIQUE KATIKA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA Kisa hiki nimekitoa hapa hapa barzani nikizungumza na ndugu yangu Abdulkarim. "Abdulkarim, jina hasa ni Saudtz Thomas...
8 Reactions
54 Replies
5K Views
MTO KONGO Afrika ni moja kati ya mabara ambalo limebarikiwa sana kuwa na vivutio vya aina mbalimbali. Moja kati ya vivutio hivyo ni Mto Kongo. Mto Kongo ni mto wa pili kwa urefu barani Afrika...
23 Reactions
127 Replies
33K Views
THE PIONEER OF THE EAST AFRICAN SOUND Franz Yosef Humplick 1927 2007 Frank Humplick with his guitar at his residence in Lushoto 2005 Frank Humplink in His Hey Days in Nairobi Very few people...
10 Reactions
45 Replies
16K Views
KITABU CHA KHAMIS ABDULLA AMEIR KIPO TAYARI Rafiki yangu mmoja katika uongozi wa juu Zanzibar na aliyeshuhudia yote yaliyotokea kabla na baada ya mapinduzi alipata kuniambia kuwa ili kuielewa...
2 Reactions
10 Replies
37K Views
WASWAHILI KATIKA KUPINGA UKOLONI BURUNDI Historia ya Sheikh Hassan bin Ameir na Waislam wa Burundi inashangaza. Hakuna Sheikh katika Afrika ya Mashariki aliyeweza kuingia Belgian Congo, Rwanda...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Siku kama ya leo mwaka 1971, jitu la Miraba minne Idd Amin alijitangaza kuwa Rais wa nchi ya Uganda na hii ni baada ya kugutuka kwamba Milton Obote alikuwa akipanga kumkamata kwa matumizi mabaya...
6 Reactions
10 Replies
2K Views
MJUE FREDERICK DE KLERK 1936-2021 Mkombozi wa Afrika Kusini Najua wajua lakini acha wanaojua kidogo wajue zaidi. Ninataka umjue rafiki wa Waafrika weusi kwenye kundi la weupe wachache, watawala...
7 Reactions
12 Replies
2K Views
IFAHAMU HISTORIA YA ZIWA NYASA Ziwa Nyasa (katika Malawi: Lake Malawi; katika Msumbiji: Niassa) ni kati ya maziwa makubwa ya Afrika ya Mashariki ikiwa na nafasi ya tatu baada ya Viktoria Nyanza...
7 Reactions
17 Replies
57K Views
Wakati huo kuvuta cigar ilikua ni kitendo cha kawaida hasa kwa viongozi. Churchill anatoa cigar kwenye kifuko cha ngozi. Lugha ya picha inaonyesha wote ni wenye furaha na hakuna wasiwasi.
5 Reactions
13 Replies
1K Views
Kanisa hili lilijengwa na wamissionari wa kanisa la Anglikana katika barabara ya Mkunazini mwaka 1903. Uwanja uliojengewa kanisa ndipo shughuli nyingi za uuzaji wa watumwa zilipofanyika. Kujengwa...
9 Reactions
21 Replies
4K Views
LAITI WATU HAWA WANGEANDIKA KUMBUKUMBU ZAO Wengine tayari wameshatangulia mbele ya haki miaka mingi na wengine hivi karibuni na wengine bado wanaishi na nawaombe dua Allah awape umri mrefu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KIVULI CHA KWAME NKRUMAH KATIKA TANU Hayo maneno hapo chini yaliyoandikwa na Kwame Nkrumah nimeyaona hapa jamvini na yamenikumbusha ushawishi wake kwa wanasiasa wa Tanganyika wakati wa kudai...
7 Reactions
83 Replies
5K Views
RAJAB MATIMBWA MWANACHAMA NA MWANA KWAYA YA TANU 1954 NA MWANACHAMA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) 1977 Sijui kwanini siku zote ninapowataja wanachaa wa TANU ile ya mwaka wa 1954 huwa namsahau Rajab...
3 Reactions
1 Replies
769 Views
Mugabe Scary UN Speech Warning the World About NATO Address by His Excellency Robert Mugabe, President of the Republic of Zimbabwe at the General debate of the 67th Session of the General...
0 Reactions
0 Replies
837 Views
KUMBUKUMBUKU ZA ''THEORETICIAN'' KHAMIS ABDULLAH AMEIR ZIKO UWANJANI Haya ndiyo maajabu makubwa katika historia za Afrika kuwa wanaostahili kupewa sifa hawasifiwi wala hawapewi medali sifa...
0 Reactions
1 Replies
554 Views
Back
Top Bottom