Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
  • Sticky
Mimi Mama wawili (naamini na wengine wengi) nina nia sana ya kujifunza na kuboresha uwezo wangu wa kutumia Lugha ya Kiingereza. Nimeomba ushauri na nimepata jibu kuwa kuna washiriki wengi hapa...
50 Reactions
2K Replies
220K Views
  • Sticky
Mambo vipi waungwana,naomba kama kuna mtu ana Dictionary ya kiingereza yaani English to Swahili au Swahili to English anisaidie nilikuwa nayo kwenye Computer yangu baada ya kui-format imekuwa kati...
10 Reactions
95 Replies
111K Views
  • Sticky
Nimeona kuna haja ya kuanzisha uzi huu ili kusaidia watu kujua virefu vya maneno mafupi tunayokutana nayo. Hii ni baada ya kusoma uzi mmoja na mtu kuuliza nini maana ya LED! LED - Light Emitting...
10 Reactions
710 Replies
271K Views
Watu wanaotamka ridhiki badala ya riziki wanakuwa na matatizo gani ya ulimi au ubongo?
1 Reactions
14 Replies
178 Views
Write something in English and let chat in English. Please like this thread as agreement with my hoja.
55 Reactions
951 Replies
7K Views
wakuu..nimesikia hili neno leo wakati nikiangalia taarifa ya habari ya TBC1...liliwekwa tangazo moja kutoka ofisi ya CAG likiwataka maafisa masuuli kuwasilisha financial statements za taasisi zao...
0 Reactions
10 Replies
21K Views
Angalia picha hapa chini, sijajua matumizi ya "has"na "have" yamekaaje.hapa. Mtoto alikuwa amejaza "have" akakosa na corrections ni kama unavyoona hapo. Je ni sahihi? Hawa walimu wetu ni...
5 Reactions
77 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu? Nimekuwa nikijifunza english kwa mwaka sasa. Hasa pronouncing and listening skills. Nimefanikiwa kwa kiwango kadhaa lakini changamoto kubwa ni kufanya mazoezi ya kutamka peke...
17 Reactions
95 Replies
1K Views
MSAADA anaejua neno chaw akwa kiingereza maana tunakorlekea hii ndio kazi inayoheshimikaa
3 Reactions
17 Replies
219 Views
Hivi ukiwa muislamu uliyesoma dini madrasa automatically unakuwa na uwezo wa kuzungumza Kiarabu kwa ufasaha na weledi? Unaweza kufika uarabuni mkazungumza na mwarabu mkaelewana vizuri au huwa cha...
19 Reactions
303 Replies
7K Views
Nawaamkia wana JF huku nikiwa na machungu makubwa kwa kuondokewa na mmoja wa magwiji wa Kiswahili hususan katika taaluma ya Ushairi Huyu si mwingine bali ni mzee Jumanne Mayoka. Hapa chini...
1 Reactions
20 Replies
10K Views
“A poem cannot stop a bullet. A novel can't defuse a bomb. But we are not helpless. We can sing the truth and name the liars.” ~Salman Rushdie. Huyu mdau amenisurika kuuliwa na utawala wa...
1 Reactions
0 Replies
84 Views
Wadau Kwema Naomba kuuuliza ni wapi wanatoa mafunzo ya lugha ya kifaransa ndani ya Jiji la Dar es Salaam
0 Reactions
1 Replies
218 Views
Kulikuwa na ubaya gani kama tungetohoa neno drone la kiingereza liwe droni kwenye kiswahili? Hii kuiita ndegenyuki ni direct translation ya kijinga. Mbona wale nyuki wanaoitwa drones kwa...
5 Reactions
9 Replies
296 Views
Habari zenu wana kiswahili... Kwa mara nyengine nimeamua kuibukia huku tena ili nieleze dukuduku langu juu ya maneno kama mawili matatu ambayo sijavutiwa nayo!. pia ningependa mabaraza ya...
13 Reactions
67 Replies
2K Views
Kiswahili kikikuzidi sana unaweza ukawa "Kiongozi wa Kitaifa" ila lugha ya Asili ni muhimu sana.. Kama mgeni ukisafiri utahitaji mahitaji mbalimbali ikiwamo Lodge, Manunuzi ya Vitus, na...
5 Reactions
80 Replies
2K Views
Neno "kuweza" limekuwa linatumiwa vibaya sana kwenye kiswahili cha siku hizi. Luna mifano mingiya matumizi hayo haramu kwa mfano kwenye sentensi hii ina makosa: "Mchezaji wa zamani wa timu A...
6 Reactions
16 Replies
728 Views
(1) Cherehan - Charan Singh. Inaarifiwa uyu ndo fundi nguo wa kwanza afrika mashariki na waswahili tukashindwa kutamka jina lake tukawa tuna litamka cherehani. (2) Kariakoo - Carrier Corps...
9 Reactions
45 Replies
1K Views
Kiswahili sahihi ni mboga ya matembeLe au matembere?
1 Reactions
15 Replies
884 Views
Zamani mimi nilikuwa najua neno tia linatumika bandarani tu(kutia nanga), baadaye nikaja kujua linatumika kama matusi pia, lakini kadri muda ulivyoenda nikaja kujua linatumika sana hasa na watu...
7 Reactions
34 Replies
815 Views
Aichi—Anajua iachikyia--Kujenga Ichele—Kichaga Ichondi- --- Kondoo Iikyelyia—Kuogelea Ikawilyia—Kupalilia Ilyingoi---Jogoo inyi—Mimi Ipalipali- --Bahari Ipore---Yai Irikoso—Taji...
17 Reactions
213 Replies
51K Views
Wadau kuna maneno yanatatiza , Ukifuatilia vyombo vya habari siku hizi kwenye mahojiano, au popote pale kwenye maisha ya kila siku, pindi mtu anapopewa fursa ajitambulishe utasikia anaanza kusema...
0 Reactions
4 Replies
213 Views
Habari za kushehereke Uhuru wetu Watanzania, na wale wasiokuwa watanzania habarini za kazi. Kuna neno limezuka hapa katikati na limekuwa maarufu sanaa hasa ktk nyanja za soka lkn mm binafsi...
1 Reactions
5 Replies
22K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…