Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Kuna baadhi ya maneno ni lile lile ki maana ila tunarudia sababu ya lugha ni tofauti. Mfano Sahara Desert...Sahara ni desert kiarabu. Ukisema jangwa la Sahara, manake jangwa la jangwa - desert...
11 Reactions
34 Replies
5K Views
Hongera kwa watunzi wa vitabu, hongera kwa wahakiki . Vitabu vile vya Lugha ya Kiswahili darasa la pili mpaka darasa la nne vinatosha kabisa kufanya kumfanya mtu ajue kuzungumza na kuandika...
5 Reactions
8 Replies
686 Views
Google na chatGTP naona hazinipi majibu yanayoridhisha.
1 Reactions
5 Replies
261 Views
Hili neno "kushenyeta" naliona kwenye muktadha tofauti tofauti sana na inanipa ugumu kujua maana yake halisi ni nini. Wataalam wa lugha hebu tuambieni maana halisi ya hili neno
7 Reactions
10 Replies
2K Views
Nimepata jirani mkongo ameni inspire LINGALA. Ozali malamu- mambo vp? Nazali kobela- naumwa Kombo na yo- jina lako nani? Bolingo na ngai- mpenzi wangu Posa ya mayi- kiu ya maji Muzina di tata...
6 Reactions
40 Replies
1K Views
A - a -a prep. of. -a baridi adj. cold. abiria n. passenger. -abudu v. worship; adore. -a bure adj. free. -acha v. cease; allow; leave; let go; abandon. -achana v. leave each other...
8 Reactions
48 Replies
51K Views
Naomba kujua tofauti ya maneno haya mawili ya kiswahili
0 Reactions
5 Replies
4K Views
1. Aanguaye huanguliwa. 2. Asiye sikia la mkuu, huvunjika guu. 3. Abebwaye hujikaza. 4. Adhabu ya kaburi aijuae maiti. 5. Adui aangukapo, mnyanyue. 6. Adui mpende. 7. Adui wa mtu ni mtu. 8...
2 Reactions
9 Replies
6K Views
Mungu alijitambulisha kwa MUSA kwamba yeye anaitwa " MIMI NIKO" Kutoka 3:14 MINI MAANA "MIMI NIKO"? Haya maneno asili yake ni lugha ya kiEbrania "Ehyeh Asher Ehyeh" Nini maana ya Ehyeh Asher...
0 Reactions
5 Replies
394 Views
Wandugu, Napenda kujua hili neno ambalo kwa Kinyakyusa maana yake ni mama liligeukaje kuwa tusi?
0 Reactions
30 Replies
24K Views
Habarini wadau, Hakuna ubishi kuwa Tanzania ndiko asili ya Lugha ya Kiswahili sanifu na fasaha na siyo Kenya. Wakenya wamekuwa ta tabia ya kuzungumza Kiswahili kwa kukitafasiri moja kwa moja...
4 Reactions
16 Replies
508 Views
Alligator pepper na bay leaves kwa Kiswahili fasaha zinaitwaje? Thanks.
2 Reactions
24 Replies
11K Views
1. Nipomaliza la saba, litorokea mjini, Mguuni nina raba, na kibegi mgongoni, Nauli ninayo haba, nimeweka mfukoni, Penzi la mwana wa bosi, menitia matatani. 2. Gari zuri tukapanda, kuelekea...
1 Reactions
0 Replies
225 Views
BARUA KUTOKA JELA Kuna mbaba mmoja, mwanae lifungwa jela, Jina lake sitotaja, nakataliwa na mila, Machozi yakamvuja, mfukoni hana hela, Barua kutoka jela, ilimkomboa baba. Aliandika barua, kwa...
1 Reactions
0 Replies
132 Views
NIMEVUA PENDO LANGU Sitokuja penda tena, katika maisha yangu, Nilimpenda Amina, kipenzi cha moyo wangu, Tukaja tukaoana, kutimiza lengo langu, Nimevua pendo langu, sitokuja oa tena. Binti kutoka...
1 Reactions
0 Replies
123 Views
Jakaya =Za Nyumbani Kikwete = Asiyejali Namnani Havae = Vipi Aisee Uitwanga nani? = Unaitwa Nani? Watonga wapi = Unaenda wapi Nigavie Havae = Nigawie Aisee(Jamaa) Nienda kukodhoa kidogo =...
0 Reactions
93 Replies
82K Views
Mfumo wa Serikali upo kwa Kingereza. Documents za Serikali zipo kwa lugha ya kingereza. mimi kwa mtazamo wangu ni Bora tutumie Lugha ya kingereza ndiyo iwe Lugha ya Taifa. Tuachane na...
0 Reactions
2 Replies
267 Views
WYNE LOTTER 1)Majonzi makubwa sana,kwa haya yalotokea Hadharanu kuuana,wale wanaotetea Wanyama wazuri sana wasije kuangamia Ni nani alomuua,apingae ujangili. 2)Aliyapita masafa,kuingia Tanzania...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama ilivyojadi kwa manguli wa tasnia ya lugha mbalimbali ulimwenguni, ni kawaida kila mwisho wa mwaka kuingiza misamiati mipya katika lugha zao ili kuendelea kukuza na kuhuisha lugha zao asilia...
0 Reactions
6 Replies
368 Views
Mchongo...... Koneksheni..... Kumsagia kunguni...... Upwiru... Mduwanzi...... Kudanga.... Msambwanda...... Kubeti...... Kwa Mpalange.... Papuchi....... Mshua..... Bi Mkubwa...... Mdingi...
2 Reactions
22 Replies
992 Views
Back
Top Bottom