Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Nipo ndani ya jukwaa la lugha na pia napenda kutumia fursa hii kuwashukuru members wote wa jamii forums. Lengo langu nikutaka kukuletea fursa mbalmbali za kujifunza lugha wakati unapokua KWENYE...
42 Reactions
95 Replies
7K Views
Huu msemo wa Waswahili "hujafa hujaumbika" huwa una maana gani?
5 Reactions
38 Replies
2K Views
"X" and "y" are both favored to "z" on the right wing.
1 Reactions
6 Replies
361 Views
January 22, 2013 RIWAYA: MBALI NA NYUMBANI mwandishi Shafi Adam Shafi Kwa Mukhtasari Tunachangamkia kuchapishwa kwa Mbali na Nyumbani, tawasifu ya mwandishi maarufu wa Zanzibar Adam Shafi...
0 Reactions
5 Replies
18K Views
Hi guys my name is Jackson enos ....my needs I want to improve on English language so I want u support
2 Reactions
30 Replies
4K Views
Wadau kuna mtu ananitukana kila muda eti, We basha tu. What is the meaning?
1 Reactions
9 Replies
10K Views
1. Kudanga = kufanya ukahaba. 2. Body count = idadi ya watu uliofanya nao mapenzi. 3. One night stand = kufanya mapenzi mara moja na mtu asiyekuwa mpenzi wako ili kukidhi tamaa za kimwili. 4...
2 Reactions
4 Replies
334 Views
Wasaalam wajuvi wa lugha anaejua Visawe vya maneno naomba kusaidiwa -Paka -Dawati Visawe ni maneno yenye maana sawa Neno=Kisawe 1. Ardhi=Dunia 2.Ari=Nia 3.Aibu=Soni
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Nijibuni haraka upesi tafadhali kwani kuna Mwanafunzi wa Lugha ya Kiswahili Mgeni anataka kujua na Mimi wala sijui.
5 Reactions
39 Replies
2K Views
Moja ya sifa ya lugha yoyote duniani ni pamoja na lugha hiyo kukua.Hujitokeza misamiati,nahau mpya au hata baadhi ya maneno kuchepushwa kutoka kwenye maana take ya asili.Sina utafiti rasmi ila...
0 Reactions
1 Replies
238 Views
Ndugu Wanajamii, kuna ndugu zetu Wamarekani wenye Asili ya Afrika wanakuja Tanzania kutafuta mizizi (roots) yao katika programu ya African Diaspora Heritage Trail (ADHT) <...
0 Reactions
3 Replies
13K Views
I'm not God, not yet
0 Reactions
1 Replies
396 Views
Nijuzeni jina la Mwanamke mlevi kwa kiswahili fasaha anaitwaje Tupo na mke wangu hapa tunabishana ananitajia majina ya ajabu ajabu Na jee mwanamke mlevi kwa kimombo anaitwaje?[emoji23] My...
3 Reactions
24 Replies
811 Views
Jaman Wana jamii forums Nina swali. Je, ni lugha gan ambayo hutumika wakati wa interview yako pale ubalozi wa marekani ni Kiswahili au ni English? Na pia, je interview unafanyia ndani kwenye...
3 Reactions
2 Replies
456 Views
Leo tuna Hadith mpya DONDA LA WIVU 👇 LEO MCHANA. “Ni lazima niitishe kikao cha wazee wa Mila, ni lazima nipange siku moja maalumu kuwakomoa firauni hawa, wajinga na wapuuzi wanao...
0 Reactions
0 Replies
459 Views
WAMEZIDI.(Wamekua too much) Mtunzi:Elaija-Elia. (Sms) +255744225388. KAMPANI. "Waziri Beni unahitaji KAMPANI huwezi kwenda pekee Ulaya." Secretary Rose aliongea kwa madaha mbele ya...
0 Reactions
0 Replies
296 Views
neno maana yake Shimboni Shikamoo (Habari yako?) Shimboni mae/mbe Shikamoo mama/baba? Nasicha Nzuri Aika...
4 Reactions
12 Replies
21K Views
Salaam; Wana jukwaa Wataalamu wa kiswahili, Katika harakati za kutafuta maisha, wahenga kwanini walitunga huu msemo na nini haswa maana yake ? Nawasilisha
3 Reactions
13 Replies
3K Views
Lugha yetuuu vipi unajua?
0 Reactions
2 Replies
171 Views
TATIZO LA KUTAMKA "R" NA "L" Hili tatizo la shida ya kushindwa kutofautisha kati ya "R" na "L" ni tatizo jipya. Nyakati zetu tunasoma shule ya msingi katika miaka ya 1950 tatizo hili halikuwapo...
13 Reactions
28 Replies
848 Views
Back
Top Bottom