Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Imekuwa ni kawaida kupata misamiati mipya kutoka kwa marais ofisini. Huu ni msamiati mpya kwa wale wapendao kuishi kwenye taabu: BAKITA wakae mkao wa kula. Haikosi msamiati huu unawahusu...
0 Reactions
2 Replies
312 Views
Inakuwaje wanajamvi! Huyu mwamba namsifu sana kwa kukitukuza na kukitangaza Kiswahili. Lakini badooo tena sana yani bado tu. Analazimisha. Yani levo yake ni shallow balaa chini kabisa...
4 Reactions
10 Replies
737 Views
Jamaa aliyeonekana anakuja kuokoa jahazi, upepo ukamshinda naye akazama mazima
12 Reactions
28 Replies
977 Views
maneno kama vile; magumashi miyeyusho shobo jau sanua (mfano; kimesanuka, imesanuka, 'mange kimambi kakisanua huko') haya maneno yanafahamika sana ila sidhani kama wengi tunafahamu namna ya...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Ahsanteni sana Kamusi ya TUKI ya Kiswahili kwa Kiswahili kwa kuja na hizi Istilahi mpya na sahihi za Lugha ya Kiswahili.
3 Reactions
5 Replies
368 Views
Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) ingilieni KIswahili cha kichaga wakiongea wanapotezea watu muda sana hawawezi ongea sentensi imenyooka hawana kazi au? Hebu ona hapa mifano michache katika...
9 Reactions
34 Replies
965 Views
Mwenye Kamusi mpya kabisa ya maneno mapya ya Kiswahili Fasaha ya TUKI aende katika Ukurasa wa 126 akamjue huyo Nyoka HATARI kabisa aitwa Fira. Nyoka Fira hatari acheni masihara.....!!
6 Reactions
40 Replies
2K Views
Kwa wasiojali kabisa suala la matumizi sahihi ya Lugha. Naombeni kuwajulisha rasmi kuwa neno sahihi ni TOFALI sio tofari.
6 Reactions
51 Replies
991 Views
Kusema Uwongo ni tendo kutoa taarifa zisizokuwa kweli kwa makusudi kabisa ili kuficha ukweli. Mtu anayesema uwongo ni mwongo, na akitoa ushahidi wa namna hiyo mahakamani anaweza kuhukumiwa kwa...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu, Naomba msaada wa hii status ya NSSF kwenye account yangu. Ni week ya 4 sasa tangu nifungue madai ya pesa zangu huko ila status inasoma bado lodged.
2 Reactions
9 Replies
935 Views
Utunzi huu (wa M. Mpoto) ni kielelezo cha ubora na uzuri wa lugha yetu ya Kiswahili. Kila neno na kifungu ndani yake kinaakisi utajiri wa tamaduni na maadili ambayo tumerithi. Ni jukumu letu kama...
0 Reactions
0 Replies
275 Views
Hello, ladies and gentlemen I'd like to welcome you all to this English language 101 Club. This club is for those who want to learn English language and excel. We are sometimes tirelessly...
4 Reactions
38 Replies
3K Views
Kumekuwa na wimbi kubwa la wanadamu kutekwa.. Ile neno kutekwa ni Gumu sana kujua maana yake na kutamkwa, lilikujaje, na lilikubaliwa vipi kutumika kwenye jamii, walitumia njia gani? Maana JF...
2 Reactions
10 Replies
550 Views
Nashika tena kalamu, kwa Jina lake Karimu, Naishika kitalaamu, nashika kiufahamu, Napanga tungo adhimu, kama gwiji na mwalimu, Kuaga kwa mwenye njaa, huaga na haondoki!! Yametokea nyumbani...
5 Reactions
7 Replies
416 Views
A woman was born in 1975 and died in 1975. She was 22 years old at the time of her death. How?
7 Reactions
33 Replies
2K Views
Wanabodi Kuna baadhi ya maneno hiku Bara yanatamkwa vingine na Zanzibar vingine mfano neno Shule kwa huku bara, kwa Zanzibar zinaitwa skuli. Sikuwahi kujiuliza Kwanini, ila leo ndio nimejua...
2 Reactions
4 Replies
552 Views
Wadau hamjamboni nyote? Nimeanza jifunza kuhesabu kwa kiarabu Nimeona niwe tofauti na Wakristo wenzangu wanaoamini kuwa kiingereza ndiyo lugha sahihi zaidi kwao kuliko lugha nyingine Kiarabu ni...
5 Reactions
28 Replies
1K Views
Kwa hatua tuliyofikia hakuna asiyejua maana ya haya maneno Mishangazi na Lishangazi. Lishangazi- Umoja. Mishangazi- Wingi.
1 Reactions
5 Replies
292 Views
Hii mimea kwa kiingereza 1.Unaitwa -chamomile 2.Unaitwa-nutmeg nimejaribu kutafuta maana yake kwa kiswahili mpaka sasa sijafanikiwa. Tafadhali yeyote unaye fahamu jina la mimea hii kwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Maduhuli ni bidhaa zinazo ingizwa ndani ya Nchi zinatoka nje zinaingizwa ndani kwa kingereza tunasema Import kwa kiswahili fasaha ni maduhuli. Kwahiyo kuna maduhuli bayana na maduhuli fiche...
0 Reactions
2 Replies
443 Views
Back
Top Bottom