Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Naona kuna watu wanaitwa Hassan wengine Hussein sasa sijajua ni watu wanakosea kutamka au ni majina tofauti.
1 Reactions
20 Replies
3K Views
1. President-elect; kwa Kiswahili tafsiri yake ni Rais mteule. Rais aliyechaguliwa anakuwaje rais mteule? Mteule si yule anayeteuliwa? President - rais. Elect-chagua/ chaguliwa. Kwa nini huyo...
6 Reactions
57 Replies
2K Views
Je, ni neno gani la kiingereza, Kiswahili au jina la mtu ambalo mtu wako wa karibu au mtu yeyote unayemfahamu aliwahi kutamka kimakosa mpaka ukaona aibu kwa niaba yake, Ukamshusha hadhi uliyokuwa...
0 Reactions
48 Replies
2K Views
Binafsi sio Mwalimu kwa taaluma lakini Huwa nafundisha wanafunzi Masomo ya ziada baadhi ya nyakati. Katika wanafunzi nilonao wengi hawajui matumizi sahihi ya herufi na matamshi yake. Mtu yupo...
6 Reactions
34 Replies
946 Views
Wadau, nifahamisheni watu hawa waweza kuwaita kwa jina gani kwa uhusiano huu. 1. Mwanaume ambaye tumeoa familia moja. (Yaani ameoa mdogo wa mke wangu), mimi namuitaje? 2. Mdogo wa kike wa...
0 Reactions
1 Replies
216 Views
Wapwa habarini za mchana. Kumradhi wenye kujua maana na tofauti ya maneno haya mawili ya kiingereza naomba anijuze. Ahsanteni
1 Reactions
1 Replies
200 Views
Habari zenu Nataka kusearch mtandaoni ile midoli inayovalishwa nguo katika maduka ya nguo Naomba kuuliza je kwa kiingereza inaitwaje? ili niweze kuisaka huko Alibaba Ahsanten
4 Reactions
7 Replies
335 Views
Asalam aleykum Kama kichwa hapo juu kinavyo jieleza makabila mengi ya kibantu katika utamkaji wao wa maneno huwa hawatamki r. na kiswahili kina msingi wa kibantu watu wengi hawaji hili na...
1 Reactions
4 Replies
347 Views
Wakuu wa JamiiCheck msaada tafadhali tupate uhalisia wa hii video kama imetengenezwa au ni ya kweli
2 Reactions
8 Replies
708 Views
Nianze na kabila langu kubwa la wasukuma "mwangaroka bhadugu bhane" "Yani habari zenu ndugu zangu" Tuendeleze Sasa makabila mengine kwa salamu....
5 Reactions
78 Replies
2K Views
Thread ya Kujifunza Kiingereza pole pole [Thread for Learning English bit by bit[
2 Reactions
60 Replies
5K Views
Nimekuwa nikishuhudia baadhi ya ndugu zetu wa nchi jirani wakitumia mofimu "kwa" katika namna ambayo siyo sahihi kwa mjibu wa Kiswahili sanifu na fasaha. Ninaelewa kuwa kuna utofauti wa kilahaja...
4 Reactions
3 Replies
841 Views
Naomba nipewe majina ya Kiswahili ya vitu vifuatavyo: 1. Computer 2. Keyboard ya computer 3. CPU (Central Processing Unit)
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Watu wanaposema "kama huna D mbili" utanielewa huwa wana maana gani? Zamani nilikuwa naona pia humu JF watu wanakomenti sana DD kwenye nyuzi pia.
3 Reactions
36 Replies
5K Views
Msomi mmoja amewahi kusema Lugha ya kiswahili inamisamiati michache hivyo inakuwa ngumu kutafsiri vitabu vya Lugha zingine. Huu Nauita ni upumbafu kwa sababu lugha inakua na kubadilika kila...
0 Reactions
0 Replies
270 Views
Nauliza tu ndugu Zangu maana nijuavyo Vyama vya Siasa ni Mali ya Umma siyo binafsi Aidha Kanisa ni la Yesu Kristo yaani Moja Takatifu La Mitume na Utukufu Ni wa Mungu Juu Mbinguni siyo Wanadamu...
0 Reactions
1 Replies
221 Views
Yaani nakutana na mfanyakazi wangu mmoja leo namuuliza ulikuwa wapi time niliyokuwa nakutafuta ananiambia boss nilitoka kuhemea nikamuuliza kuhemea ndio maana yake nini maana tayari kichwani...
14 Reactions
74 Replies
2K Views
Hua nasikia kwenye matangazo mbalimbali kama matamasha au maombi fulani au semina wakitangaza baadhi ya viongozi au waaalim fulani wa huchi kipindi wakati huohuo watasema pia kuna mwanazuoni au...
0 Reactions
9 Replies
16K Views
Husika na mada tajwa hapo juu nikiwa na elimu yangu kidato cha nne kati ya vitu vinavyonipa mawazo ni kutokuwa na uwezo wa kumudu kuongea lugha ya kiiingereza wengine najua wataanza kusema kwanini...
1 Reactions
34 Replies
4K Views
Back
Top Bottom