Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Huu msemo Waliosoma Cuba una maana gani kiutani coz nausikia tu na sielewi!!!
3 Reactions
21 Replies
3K Views
i love you =i want to use you
0 Reactions
0 Replies
201 Views
Tukumbuke kuwa lugha yoyote imebeba utamaduni wa wazawa wa lugha husika. Na matusi hutofautiana kutoka lugha moja hadi nyingine. Neno ambalo ni tusi katika lugha ya Kiswahili huenda lisiwe tusi...
13 Reactions
49 Replies
16K Views
NDUGU ZANGU, SIO “COME DOWN”, NI “CALM DOWN”. Katika post hii naomba niwakumbushe kuwa unapokuwa ukimtuliza mtu aliyepaniki au mwenye hasira, huwa hatusemi “come down”. Huwa tunasema “calm down”...
6 Reactions
15 Replies
462 Views
Wadau nisaidieni kwa kweli
1 Reactions
46 Replies
95K Views
Watangazaji wa redio hii wanaharibu matamshi ya lugha ya kiswahili,"aya" wao wanatamka "haya","Redio Maria",wao wanatamka ledio malia,hebu jirekebishe
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Wahusika wametoa onyo Kwa mamba wenye tabia za kuogelea ovyo wajitathmini upya.
17 Reactions
51 Replies
2K Views
Wanaosema hii lugha ilikuja na meli hawakukosea. Kuna maneno ya Kiingereza nilikuwa nayatamka visivyo kwa kipindi kireeefu. Nimekuja gundua baadaye nikajiona kilaza sana. Haya baadhi ya maneno...
4 Reactions
355 Replies
34K Views
IPI TOFAUTI KATI YA “COME BACK” NA “GO BACK”? Kwenye post hii, naenda kukupa tofauti kati ya “come back” na “go back”. Maneno yote mawili “Come back” na “go back” humaanisha “rudi” au “kurudi”...
2 Reactions
4 Replies
479 Views
TUJIFUNZE KIHAYA SANIFU KATIKA MUKTADHA WA WAZIBA: 1. USISEME: Mjwahuzi yagya aruwanja rwe ndege. SEMA: Mjwahuzi yagya aituriro lye ebiarazi. 2. USISEME: Ompe omwanvuli. SEMA: Ompe ekiziba...
0 Reactions
1 Replies
527 Views
Moyo - Cardiologist (kadiolojist) Mfumo wa mkojo - Urologist (yurolojist) Ngozi - Dermatologist (dematolojist) Mifupa - Orthopedic (aw-thopidik) Ubongo - Neurologist (nyurolojist) Watoto -...
6 Reactions
13 Replies
538 Views
Naomba ufafanuzi hivi huyu mkuu wa majeshi ni mkuu wa majeshi yote kwa maana ya jeshi la police, jeshi la magereza au ni mkuu wa jeshi la wananchi Tanzania
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hata kama ni haraka unawezaje kuandika Press release ya ajabu namna ile tena inatoka Ofisi kuu ya Nchi , Nanukuu baadhi ya maneno Para ya Kwanza, " Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe...
1 Reactions
4 Replies
554 Views
Nielezeeni kwa kina hapa haya maandishi yanamaanisha nini
0 Reactions
8 Replies
502 Views
KAMA HUWA ANAKUSALITI, SEMA "HE/SHE CHEATS ON ME". Tunapozungumzia suala la usaliti katika mapenzi, yaani fulani anakusaliti, huwa tunatumia preposition "on". Ambao wamesoma nasi kwenye mada ya...
1 Reactions
0 Replies
254 Views
JE TUNATUMIA “WHEN” AU “WHILE”? IPI TOFAUTI KATI YA “WHILE” NA “WHEN”? JIFUNZE HAPA. Katika post hii tunaenda kujifunza matumizi ya maneno “when” na “while” ambayo yanatumika kuelezea matukio...
9 Reactions
12 Replies
919 Views
KAMA HUWA ANAKUSALITI, SEMA "HE/SHE CHEATS ON ME". Tunapozungumzia suala la usaliti katika mapenzi, yaani fulani anakusaliti, huwa tunatumia preposition "on". Ambao wamesoma nasi kwenye mada ya...
0 Reactions
0 Replies
193 Views
MSAMIATI UNAOTUMIKA KUMAANISHA ‘KUJAMBA’ AU ‘KUTOA USHUZI’ NI: 1. Fart: Hili ndio neno linalotumika sana. Huweza kutumika kwenye mazingira rasmi na yasiyo rasmi (Formal and Informal settings)...
3 Reactions
10 Replies
794 Views
Kichina kinachukuliwa kuwa moja ya lugha ngumu zaidi ulimwenguni kujifunza. Tumeorodhesha Kichina kama lugha ya pili kwa ugumu kujifunza kwa wazungumzaji wa Kiingereza, nyuma ya Kiarabu kwa sababu...
2 Reactions
3 Replies
595 Views
Jamani napenda mno kujifunza Kingereza na ukizingatia sasa hivi kila sehemu ni ENGLISH sasa wale tulosoma kayumba njooni tujifunze kuandika na kuongea hapa. Najua wengi wetu humu watakuwa...
12 Reactions
497 Replies
36K Views
Back
Top Bottom