Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Hivi maana ya neno "danga" lina maana gani nasikia Asley anatumia hilo neno.
0 Reactions
7 Replies
26K Views
Tujivunze kiswahili fasaha vinginevyo tutapotosha maana halisi ya ulicho kusudia. wenye matatizo ya kushindwa kutofautisha herufi "l" na "r" mnatukere.
2 Reactions
7 Replies
526 Views
Ukienda police unapewa RB JAPO sijuagi kirefu chake
2 Reactions
41 Replies
40K Views
Habari zenu wana JF! Hii makala imebidi niiandike kwaniaba maana nimeona baadhi ya watu hawaijui hii sheria ya T T zinapokutana katika lugha ya kingereza T zinapokutana basi T moja haitamkwi na T...
3 Reactions
13 Replies
730 Views
Wanajamvi naomba mnishauri sehemu ambapo ninaweza kufanya kozi ya lugha ya kingereza, ili niweze kuwa mzungumzaji mzuri, na kuboresha matamashi, uwezo wangu ni "intermediate". Nipo mkoani Dodoma...
1 Reactions
2 Replies
329 Views
METHALI NA MISEMO YA KIPARE. (VISOMA VYA CHASU) 1. Kiruke cha ibwe kimanywa ni igondwa. 2. Kitambi cha muimi ni kiumbi. 3. Ekwira ima si iti anakulie. 4. Ngoma mbiri nyika ni kintu na mlamue. 5...
2 Reactions
24 Replies
14K Views
Habarini wataalaam wa Lugha, naombeni mwenye course outline za MA Linguistics UDSM anitumie. Nipate ABCs. Shukrani.
0 Reactions
0 Replies
272 Views
Baada ya kuisoma asili ya lugha ya kingereza katika makala ya kwanza leo tutatoa jawabu la swali ambalo wapenzi wengi wa lugha ya kingereza wamekua wakijiuliza, KWANINI WAZUNGU HATUWAELEWI...
4 Reactions
13 Replies
871 Views
Hii misamiati yenu huwa mnaibuni kutoka wapi aisee 1. Charger – kimemeshi 2. Appetizers –vihamuzi 3. Simcard – kadiwia/mkamimo 4. Memory card –kadi sakima 5. Business card – kadikazi 6. Microwave...
23 Reactions
132 Replies
5K Views
Mlonganzila ni jina la Hospitali ambayo ni sehemu ya hosipitali kuu ya taifa muhimbili, inasikitisha kuona jina hili la hosipitali limepata maana nyingine ambapo ina maanisha makalio makubwa na...
7 Reactions
30 Replies
897 Views
French Learning From a Linguist Expert. Experienced in Teaching higher learning students,Professionals: Lawyers, Advocates,East African parliament Members,Businessmen, travellers, Primary pupils...
1 Reactions
1 Replies
712 Views
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane! Nimekuwa nikishangazwa na maneno haya mawili (2) ambayo yamekuwa yakitumika sana na jamii mbalimbali ya watanzania!. Maneno hayo ni :- 1.Uzuri 2.Urembo...
0 Reactions
3 Replies
358 Views
Kuanzia nafanya utafiti jinsi Lugha ya Kiswahili inavyaondikwa kimakosa katika mtandao wa bbc swahili Mfano leo wameandika Mamilioni ya watuwenye umri wa makamo wameongozwa kimakosa kuamini kuwa...
0 Reactions
27 Replies
996 Views
Utamkaji wa maneno ya kingereza unatofautiana sana katika dunia, na hii yote inatokana na kuenea kwa lugha ya kingereza duniani. Duniani ambapo watu wake wanatofautiana tamaduni, desturi na hata...
1 Reactions
6 Replies
551 Views
Mada hii itakuwa ni mada maalum ya kujulishana usahihi wa maneno yakiswahili,sanasana uandishi wa maneno hayo au maana n.k Yapo maneno yanayotutatiza ama katika uandishi au matumizi yake,hapa...
5 Reactions
84 Replies
2K Views
Sitafuti kuwa mkamilifu kwenye Kiingereza, ila nimekataa kuwa chini ya "level" 5. Kuhitimu Chuo Kikuu si tiketi ya kuongea lugha kwa ufasaha. Hata wazawa wa "English" kuna ambao bado...
3 Reactions
38 Replies
1K Views
Download series fuatilia ukizingatia kuna maneno utayajua kupitia movie Kwa mfano mimi neno concubine (mke mwenza) sikuwahi kuliona popote isipokuwa kwenye tamthilia ya jumong. Kwa sasa namalizia...
1 Reactions
5 Replies
471 Views
Ndiyo kusema Kiswahili kimekua? Hiki Kiswahili gani cha barabara kumogoka? Wataalam wa Kiswahili mnisaidie!
0 Reactions
10 Replies
578 Views
Siku ya Lugha ya Kiingereza Duniani (World English Language Day) ni siku ambayo ilianzishwa na UNESCO kwa lengo la kusherehekea umuhimu wa lugha ya Kiingereza kama mojawapo ya lugha za kimataifa...
3 Reactions
20 Replies
1K Views
Back
Top Bottom