Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Nitapata wapi kitabu kiitwacho "MASIMULIZI JUU YA WASUKUMA" kilichoandikwa na JOHN M. MASUHA mwaka 1963
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu zanguni, Najua hapa kuna wataalam wa kiswahili hivyo nataka nijue tu kabla sijamkosea mtu kama nikimuita mtu -------- nakuwa nimemtukana au nimetaja upeo wake? Hili neno halipo kwenye...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu wanajamvi, Kuna neno linanichanganya sana: CHEMBA YA MOYO au wengine wanaita CHEMBA CHA MOYO. Hivi hii ni sehemu fulani ya moyo au ni eneo au kiungo ktk mwili wa binadamu? Au ni aina...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Afrika ya Kusini ni nchi yenye historia ya ajabu ambapo ubaguzi wa rangi ndiyo ulichukua nafasi kubwa katika maisha ya kila siku. Historia hiyo inakwenda mbali hadi mwaka 1852 wakati ambao...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
wakuu, Heshima kwenu! Kuna msemo unasema "Mungu si Athmani" Naomba kujua na kufahamishwa huyu Athmani alifanya nn hasa? na kwanini awe Athmani na asiwe Josefu ama Asha? Kisa kilikuwa...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Hey dears, Honestly, It is the right time for us to expand our English language competence and performance on our own time by visiting different eng-language course webs. Here is one amongst...
2 Reactions
49 Replies
4K Views
Jamani naombeni tafisiri ya maneno haya Rituals- Rites-Traditional rites
0 Reactions
2 Replies
1K Views
samahani wanajukwaa naomba kufahamu kiswahili fasaha kati ya haya maneno, hivi mtu huwa anajikinga na mvua au anajificha mvua?, nahitaji msaada wenu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Alinizani bandia,ndani ya maisha yake Wala sikufikiria ,kma ntarudi kwake Sitorudi abadani,sitorudi abadan ni kheri niazirike Lakini leo karudi,kama jambo halikua Na macho yake shahidi,kaja...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
wadau naomben wenye kufaam...vigezo gani vinatumika kuweka majina haya mfano congolese,japanese,kenyan,zambian,brazilian?5????..kwenye nn naweka ESE na kwenye nn naweka IAN...plz
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Msaada jamani, eti 1. saa ya mshale 2. mshale wa saa 3. mshale wa dakika na 4. mshale wa sekunde, vinaitwaje kwa lugha ya kiingereza? Naomba msaada
0 Reactions
0 Replies
1K Views
1. Kukengeuka 2. Kikutakona 3. King'ong'ose 4. Kubebeta 5. Futuhi 6. Kukushi
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Eti ni kweli bandugu?
0 Reactions
0 Replies
976 Views
Jamani wataalam nimerudi tena kwa msaada wenu nini maana ya maneno haya Rites-traditionalrites Spotlight- Rituals-
0 Reactions
0 Replies
651 Views
Ni machungwa ya Muheza, yenye sifa kemkem Yamejaa kila muji, hakuna asoyajua Yanauzwa bei chee, na fukara anamudu Ni machungwa tamanika, bali ndani yameoza Yanazidi ya handeni, yamenea nchi...
5 Reactions
15 Replies
3K Views
Yaani hii nchi inakera sana, yani tovuti ya muhimu kama ya takwimu za nchi (NBS) taarifa zote zimeandikwa kwa kiingereza...Hivi wanategemea kwamba kila atayetembelea tovuti hiyo anaelewa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo asubuhi nimejikuta nasakiliza kipindi cha watoto kwenye radio. Nimeshangaa watoto wanavyoulizana mafumbo, methali, nahau na hata jinsi wanavyosimulia hadithi zao. Kuna nahau moja ilitolewa na...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba msaada kwa yeyote yule mwenye kufahamu historia ya kabila la WATATURU
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Majina ya Kijerumani kwa miji ya Tanzania wakati wa utawala wa Kijerumani 'DeutschOstAfrika' Bismarckburg (Kasanga) Kilimandscharo (Kilimanjaro) Wilhelmstal (Lushoto) Weidmannsheil (Tabora)...
1 Reactions
28 Replies
6K Views
Ndugu zanguni wadau wa jukwaa hili naombeni mnisaidie uhusiano uliopo kati ya lugha na masilugha
0 Reactions
0 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…