Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Naomba mtu mwenye nafasi ya kunifundisha French, ninawiwa sana kujifunza hii lugha.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
kama mnavyojua kuwa miaka ya karibuni kumeibuka suala zima la utandawazi,hivyo basi fasihi kama fasihi ktk kipindi hicha cha utandawazi ina umuhimu gan??tafadhar msibeze majibu yenu yana umuhim...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wahenga naja nimetatizwa: Mbuzi dume anaitwa beberu, je ng'ombe dume anaitwaje ? natanguliza shukurani.
0 Reactions
1 Replies
22K Views
Jamani msaada wa msemo huu "Take things for granted" eg Don't take others for granted
0 Reactions
16 Replies
2K Views
maana halisi ya neno MWANAUME. Sababu jana katika kijiwe fulani cha kahawa hapa mtaani kwetu karibia watu watoane macho.:confused3:
0 Reactions
20 Replies
4K Views
WanaJF, naomba msaada wa maneno haya: 1. LIBENEKE 2. MSAADA KATIKA TUTA/TUTANI Natanguliza shukurani - Asanteni
0 Reactions
4 Replies
11K Views
Tanzania tuna makabila mbalimbali na yana utajiri mkubwa wa methali zenye mafunzo tofauti... sasa basi anaezijua aweke hapa tuweze faidika na wengine unaweka kama ilivyo,halafu tafsiri yake na...
3 Reactions
35 Replies
23K Views
Wadau....msaada tafadhari. Nahitaji kupata sehem ambayo nitasoma chinese na kuweza kuongea na kuandika vizuri. Natanguliza Shukrani zangu kwenu.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Vituo vingi vya televisheni katika wiki hii ya maadhimisho ya kumbukumbu ya Mwalimu,vingi vimejikita katika kuonesha hotuba mbali mbali za Mwalimu Nyerere.Licha ya hotuba hizo kuwa na maudhui...
3 Reactions
35 Replies
6K Views
Why some languages are refered as vernacular while It's linguistically argued that " No superior language"
0 Reactions
0 Replies
870 Views
Ngudu wadau wa Lugha ya kiswahili,ninaomba kupata maoni yenu kuhusu mada tajwa hapo juuu, Ninasikitishwa na kitendo cha Baadhi ya vyuo vikuu hapa nchini kufundisha lugha ya kiswahili kwa kutumia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wasalamu wakuu. Tunaweza kuitafsirije hii sentensi:- "Farm Radio Weekly" kwa kiswahili? Asante.
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Habari ya leo waungwana wa jukwaa hili la lugha yetu adhimu ya kiswahili! Ninaomba msaada wa kuelekezwa wapi nitapata mtaalam wa kufundisha kiswahili kwa wageni/wahamiaji halali. Nadhani...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Ancient language not heard for 4,000 years is recorded for the first time as linguists work out how English came about using ancient texts Proto-Indo-European, or PIE, was spoken across Europe...
0 Reactions
2 Replies
869 Views
Anaitwa Sauda Mwilima na anaendesha kipindi cha Bongo Beats. Kila atangazapo lazima atumie maneno haya, hata tarehe 21/9/2013 alipotangaza Red Carpet ya Redd's Miss Tanzania aling'ang'ania hayo...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Telecommunications na Technology. Msaada kwa Anayejua tasfiri kwa kiswahili maneno haya Tunayahitaje?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hili linathibitika kwa Uwepo wa Idadi kubwa ya Manen ya Kiswahili amby yanatokana na Kiarabu tofaut na Lugha nyingine,Mfano:- LAFUDHI,RADHA,FAHAMU,FALSAFA, JAMAA,BARIDI,SWAHILI, ABUDU.SAWIA,Na...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
maonyeso au maonesho mtazamo au mtizamo singizia au zingishia zungurusha au zungusha?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NENO kongano limekuwa likisikika masikioni mwa baadhi ya Watanzania, ingawa huenda limekuwa likikanganya na kuacha maswali mengi kuhusu maana yake halisi. Huenda kuna ambao wanalichanganya...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Huwa nasikiliza sana vipindi vya mapishi kwenye tv na redio. Kinachonishangaza ni wingi wa matumizi ya maneno ya kumiliki (possessives) eg yangu, yako yetu etc . Mathlani mpishi atasema hivi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…