Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Hii kitu inanifikirisha sana. Katika maisha yangu nimeishi katika mapito ya kuhustle sana kwa mbinde mpaka nimetoka kimaisha. Mara nyingi nimeishi maisha ya kujitegemea tangu utotoni. Sasa...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
habari za jumapili wadau, naomba kufahamishwa matumizi ya mayyonise katika chakula. - inatumikaje? - ina faida gani? - inawekwa katika vyakula vya aina gani n.k.
0 Reactions
46 Replies
33K Views
Ninapenda kula bamia kwa style hii, huweza kuliwa na wali, ugali au mihogo ya kuchemsha. Kwa kubadili ladha huwa ninaweka nyama ndani au minofu ya samaki hasa vibua. Ninaakaanga vitungu na...
5 Reactions
8 Replies
4K Views
Wakuu leo nimebahatika kula msosi wa maana sanaaa. Mayai mchemsho+ maharage yaliyoungwa. Mara baada ya msosi huo nikashushia maziwa fresh kikombe cha nusu Lita hivi. Kuna watu walionikuta...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mapishi ya cake kwa watu wenye ugonjwa wa kisukari inaandaliwje bila ngano nyeupe na sukari? Nisaidieni mwenzenu napenda bites na cake sana lakini nashindwa kutengeneza maana nina sukari ya juu...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mwenzenu kila nikipika njegere haziivi je nakosea wapi au nazo zinatofautiana na nyingine huwa haziivi?
0 Reactions
26 Replies
10K Views
Mimi ni Mkristo! Katika kusafiri safiri kwangu mikoani, nimegundua migahawa mingi iliyopo kanda ambazo zina wakristo wengi kama Mwanza, Arusha, Mbeya, Kilimanjaro, Iringa n.k. huwa na chakula...
29 Reactions
315 Replies
42K Views
Habari wana JF naomba kujuzwa jinsi ya kutengeneza popcorn tam(sukari)..nko na mashine ya kutengenezea ila naishia tu kupika za chumvi sa napenda kuwabadilishia wateja wang flavour il...
0 Reactions
6 Replies
11K Views
Ndugu, nimewaza mpaka kichwa kinauma sijui nipike Chakula gani mchana Nile. Naombeni msaada, shauri chochote bila kujali kitapatikanaje Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
30 Replies
9K Views
Nimechukua maziwa fresh from the bush(broken)maziwa hayajachakachuliwa kabisa. Kisha nikayaweka kwenye friji yakapata baridii kiasi yale maziwa. Alafu nikizima friji langu na maziwa yapo mule...
5 Reactions
50 Replies
10K Views
Naamini wanajukwaa mko wazima. Naomba kufahamu jinsi ya kutengeneza wine ya ndizi kwa wataalamu wanaofahamu. Shukran
0 Reactions
12 Replies
9K Views
Wakuu habari za jumapili. Naomba kuuliza. Juzi ijumaa nilikua mjini kati Dar es salaam, nikakutana na jamaa yangu mmoja mwenye asili ya kiarabu niliesoma nae elimu ya sekondari ya juu ambae...
4 Reactions
23 Replies
20K Views
Mapishi ni ufundi unaokua kila kukicha ila wengi wetu tunachemsha hasa kwenye swala la kufanya msosi uwe na ladha murua na kapendeza... Ningependa hasa nijue hivi viungo vinatumika kwenye vyakula...
2 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari za kazi wanajukwaa,naomba mtu yeyote mwenye utaalamu wa kuandaa nundu kwa ajili ya msosi kwa pishi lolote lile anisaidie.
0 Reactions
8 Replies
9K Views
Habari za saizi wapendwa.. Naombeni mnielekeze jinsi ya kupika ubuyu wa rangi.. Asanteni
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Napenda sana kumtazama huyu jamaa siku hizi Chef Fred Uisso. Jamaa anapika vyakula mbalimbali vya makabila Tanzania,kupitia yeye najifunza kuacha mapishi ya kuiga iga na ya mazoea. Jamaa...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu heri ya mwaka mpya naombeni msaada mwenye utaalamu wa kuhifadhi njegere muda mrefu kama mwezi au wiki mbili bila kutumia fridge anipe maujanja maana fridge uchumi haurusu kwa sasa nimechoka...
0 Reactions
26 Replies
11K Views
Jamani ubachela unanisumbua naombeni msaada jins ya kupika kabej plz Nahitaji kujua hatua zake zile mwanzo mwisho plz ladies help me
2 Reactions
19 Replies
19K Views
Habari wakuu, Wakuu naomba ushauri wa vitabu vya kusoma kuhusu African wildlife. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
0 Replies
729 Views
Mahitaji ya kutengeneza Chai Masala 100gram hiliki/cardamoms 50gram mdalasini/ cinnamon 2 tsp pilpili manga/whole black pepper ( 1 tsp mnanaa/ dried mint (optional) 1tsp karafuu/whole cloves...
3 Reactions
8 Replies
12K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…