Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Habari za sa hizi wakuu , kuna mdau mmoja kanitonya kuwa high court wamebandika majina ya watu watakao mface CJ siku za karibuni , mwenye uhakika na hii habari tunaomba atu habarishe zaidi
Msaada hapa, nina bosi wangu kazni ambaya kwa siku anaweza piga simu hmu hata mara 6 kumwambia tu housegirl afanye hiki au kile, pia humtukana na kusema kuwa ni mchawi, hana akili, mchafu, na...
2. JURISDICTION OF THE HIGH COURT
OF TANZANIA.
"The Court has unlimited Jurisdiction on
both Civil and Criminal matters within
Tanzania. In addition to the said original
and jurisdiction, the...
Kwa wadau na manguli wa sheria za bongo tuu.
Je ni kweli kisheria za tanzania ukiwa ni mtumishi kiongozi wa (ngo) non government organization huruhusiwi kugombea nafasi yeyote ya kisiasa...
Naomba kujua haki za dereva anapokamatwa na askari wa usalama barabarani, pia nataka kujua kama suala la bima ya gari linamhusu sana traffic kiasi cha kukulima faini.:bange:
Wadau nadhani wengi mtakuwa mnashitushwa na hili,lakini ninamdogo wangu ambae alishwahi kufanya kazi katika taasisi fulani kwa mda wa miaka takribani miwili,na kisha akaenda masomoni.
Akiwa...
habar. nimesimamishwa kazi ila kila siku huwa tunapewa pesa ya chakula kazin pamoja na mshahara mwisho wa mwez. je bado nina haki ya kupata malipo niliyokuwanikipata hapo awali kwa sasa siko...
Jamani hili langu mimi mwenyewe
nimekuwa nikifanya kazi kwa takribani miaka 5 sasa na shirika moja la kimataifa hapa nchini, na position yangu ni ya juu tu.
1. Mshahara wangu umekuwa haulidhishi...
lawyers tujuzane juu ya hizi departments mbili DPP-director of Public Prosecution & DCI-director of Criminal Investigation...juu ya tofauti ya kazi zao, je zinatofautiana au zinafanana na kama...
Katika vitabu vitakatifu vya neno la Mungu vinatuasa kukiri dhambi ili tupate kusamehewa dhambi zetu. Lakini hili ni tofauti na sheria za nchi nyingi duniani hapa hasa zinazotumia sheria za...
baba yangu alikuwa ni mwalimu,alifariki 2004 na mirathi ilitoka mwaka 2005 kipindi hicho tulikuwa wadogo hatukuwa tunafaham sana kuhusu mirathi lakini aunt yetu ndo aliyekuwa msimamizi mama...
Habari za asubuhi wanajamii naomba ushauri wenu hasa wa kisheria,mie nafundisha katika chuo kimoja hapa nchini tz,katika tawi nililopo kiongozi wetu ameanzisha utaratibu wa kukata mshahara kwa...
Habari wana jamvi je ni kosa kisheria kupeperusha(kuweka) bendera ya taifa katika eneo lako la makazi (kuweka kama wanavyoweka katika mahoteli, ofisi za kiserikali n.k)?
Stori: Makongoro Oging'
SERIKALI imethibitisha kuwa kitendo alichokuwa akifanya babu wa Loliondo, Mchungaji Ambilikile Masapile, cha kutoa dawa ya kutibu magonjwa, ukiwemo Ukimwi aliyokuwa amedai...
Habari wakuu.
Naomba kufahamishwa kisheria yafuatayo;
1)Je mawasiliano ya simu yanaweza kutumika kama ushahidi kwa mtuhumiwa aliyetumia simu yake kufanya uhalifu eg kuiba,kutukana?
2)Sheria ipi...
Wakuu habari zenu.
Mimi nipo mjini lakini huwa nafanya biashara ya kununua mazao mashambani/vijijni kwa kutumia wadau wangu, naweka stock halafu baadaye nayauza. Sasa mwaka huu kuna baadhi ya...