Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Kama mtu amekopa kiasi flani cha hela na akaweka thamana kitu chochote kile na mkakubaliana kuwa arejeshe hela hiyo baada ya muda flani. Kama atashindwa kurejesha ndani ya muda mliowekeana, je ni...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
wAKUU MWENYE KANUNI ZA SHERTIA YA "THE COURTS (LAND DISPUTES SETTLEMENTS) ACT, 2002" (THE COURTS (LAND DISPUTES SETTLEMENTS) REGULATIONS 2003, KATIKA SOFT COPY. NaOMBa tafadhali adondoshea hapa...
0 Reactions
7 Replies
8K Views
Jamani wanajukwaa naomba kama yupo mwenye data cd ya kitabu cha laws of tanzania anipe au mwenye link ya bure (free download) ya laws of tanzania anitumie hiyo link au bookmark kwenye email box yangu.
1 Reactions
9 Replies
3K Views
habari wana jamii forum. kwa wale wanasheria naomba tafsiri ya kosa la kuaminiwa. ahsante
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau naomba msaada wa kisheria juu ya mtu anapokutuhumu mbele ya jamihi kwa kashfa kama ya wizi,ubadhirifu na uzembe wakati hana ushahidi,tuhuma hizo zimetolewa kwa maneno!je nikitaka kuanza...
0 Reactions
2 Replies
987 Views
kuna kipindi cha wanawake laivu niliona siku moja, kuna ushuhuda wa mama mmoja alihojiwa hadi kiria akatoa mchozi.....kwa wale walioona na kusikia watakumbuka hili, ndo nilijiuliza hawa madoctor...
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Ndugu wanajamii wenzangu wapenda haki, naombeni ushauri wenu kumsaidia mdogo wangu aliyenusurika kubakwa na vijana watatu. Kwa kifupi suala liko hivi, mdogo wangu alitumwa kwenda mashineni kusaga...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Law of Mother Earth sees Bolivia pilot new social and economic model based on protection of and respect for nature. Bolivia is to become the first country in the world to give nature...
0 Reactions
0 Replies
713 Views
Wana Bodi, Nahitaji msaada wa kisheria hasa kuhusu Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini. Kama wewe ni mzoefu/wakili ambaye umebobea kwenye eneo hili la migogoro kazini tafadhali ni-pm tuendelee.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu wanajukwaa, ardhi kwa Tanzania ni mali ya umma (yetu sote) na ipo chini ya usimamizi wa Rais. Mtu akipatiwa kipande cha ardhi, anapata haki ya kukitumia kwa muda usiozidi miaka 99. Nionavyo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakati Jairo, Msabaha, Karamagi na wengine wengi tu mpaka leo hii wanadundika mtaani na kula kuku kwa mrija.. Soma hii iliyotokea kenya. A Nairobi court has sentenced two former tourism...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
LEARNED BRO AND SISTERS! Ndugu zangu, katika miaka ya 1990 ilitokea kesi moja mkoani Rukwa ambapo kuna mbwa alikuwa anaitwa IMMIGRATION. Idara ya uhamiaji ilifungua kesi mahakamani kwamba idara...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
HAKIMU Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Pamela Kalala amepandishwa kizimbani kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa kutoka kwa mke wa mmoja wa washtakiwa aliokuwa akisikiliza kesi yao...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Eti wadau ukikutwa unaonesha picha za ngono ktk ukumbi na ukikamatwa utashtkiwa kwa kosa gani? plz help
0 Reactions
14 Replies
4K Views
The four Bulgarians accused of stealing money from Automated Teller Machines (ATM) were on Monday rearrested and sent to the Central Police Station. There was drama at the Buganda Road court...
0 Reactions
0 Replies
760 Views
15.09.2012 Akiwa na askari mwenzake na mgambo wawili, walikuwa kazini wakifanya msako maeneo ya KASOMERI SENGEREMA, waliibukia kwenye kundi la watu walikuwa wakiandaa na kunywa pombe ya moshi au...
2 Reactions
41 Replies
5K Views
Ni sheria gani zinazozuia Tanzania kupata access ya generic medicines? and then if there is a currently negotiation regarding intellectual property and their impact in access to medicines...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana jamvi nahitaji msaada wenu kwa hili. Jamaa yetu mmoja (mtingaji mgodini) leo hii kapata kisago kisa hakufika kazini kwa siku mbili. Kabla ya kujitetea alipigwa na kiongozi wake ambae ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
..Kamanda Kova kasema kuwa wako tayari kuilinda Bakwata na viongozi wake au taasisi yoyote ya dini au kisiasa. Hii ni kufuataia vuguvugu la kundi la Sheikh Ponda aliyetangaza kwenda kuvamia ofisi...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Wadau nahitaji msaada wa mawazo ya kisheria. Nina mtoto mmoja ambaye baba yake hatupo pamoja kwa sasa na hataki kukubaliana na ukweli,kila siku anakaa akijua ya kuwa tutakuwa wote for the sake of...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom