Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Tupo mtaa wa Aggrey ni kuhusu uvamizi wa dealers wa samsung na nokia kwenye maduka yetu, ukijitokeza tuwekee harama zako kwenye email
0 Reactions
0 Replies
934 Views
huyu jamaa utajiri wa kufuru aliupata wapi? Mpaka kuwa na uwezo wa kujenga lami ndani ya empire yake yenye ukubwa zaidi ya hekari 50
1 Reactions
40 Replies
13K Views
21.-(1) A police officer or other person shall not, in the course of arresting a person, use more force or subject the person to greater indignity than is necessary to make the arrest or to...
15 Reactions
33 Replies
7K Views
Wadau hivi sheria au miongozo ya wizara ya utumishi inasema nini kuhusu mshahara wa mwajiliwa wa serikali pindi akipewa ruhusa na mwajili wake ili ahudhurie mafunzo ya muda mrefu shuleni?Je hana...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Wadau! Katika miaka ya hivi karibuni ilianzishwa bodi kwa ajili ya kuangalia mishahara sekta mbalimbali hapa nchini na kazi yao ya kwanza ilikuwa mwaka 2010. Tokea kipindi hicho mpaka leo mbali...
0 Reactions
0 Replies
847 Views
Usiku wa kuamkia leo, huko Iringa sehemu za Kihesa katika gesti fulani kuna mzee amekutwa na mtoto wa miaka 14. Wateja waliokuwa ndani ya gesti hiyo hawakupendezwa na kitendo hicho cha kinyama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu naomba nipate msaada wa kisheria inapotokea mtu kakaosa chuo wakati anasoifa na hapewi mkopo wakati anavigezo vyote vya kupata mkopo?Wakati nimetumia gharama nyingi kufanya maombi hayo na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Aeshy Hilaly Halphany amekata rufaa ya kupinga kuvuliwa ubunge wa Sumbawanga mjini (CCM) katika mahakama kuu jijini D'salaam badala ya Sumbawanga. Jana hukumu haikusomwa kutokana na mapungufu ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanajamii, Mimi ni mfanya biashara maeneo ya Arusha. Nimekuwa nikipewa vitisho vya kila aina hasa vya kupigwa risasi siku yeyote, nikariport police, ila nilichoambiwa kwa kweli kinakatisha tamaa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kesi ya "Lulu" Jaji awahoji Mawakili: "Mmeleta kesi hii Mahakama ya Rufani ili iweje?" 18/09/2012 Elizabeth Michael "Lulu" akiwa eneo la mahakama jana (picha: DarTalk.com) MAPITIO ya maombi ya...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wana jf kwa yeyote anayefahamu sheria au utaratibu wa parking, nauliza hivyo kwa sababu hapa Aarusha naona kuna watu wanalazimisha wizi wa mchana kwa kutoza parking kando ya highway yaani kando ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
sheria ipi ifuatwe pale MPANGAJI anapositishiwa MKATABA kwa matakwa ya mwenye nyumba
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naombeni mnisaidie nukta hizi 2:- 1) Ni kipi kisichotakiwa kwa vijana ambapo kimo katika katiba ya sasa 2) Ni kipi kiwemo ktk katiba ijayo chenye maslahi kwa vijana.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu wana JF, kila mtu hapa anafahamu fika kesi inayomkabili Samsom Mwigamba kuwachochea Polisi wasitii maagizo ya kijinga kutoka kwa wakuu wao, badala ya watu wenye akili timamu kumpongeza...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
WADAU, Mara baada ya mgomo wa madaktari, serikali iliwafutia usajili/vibali madaktari hao na hiyo kupelekea vijana kukosa kazi mahali popote pale. Hivi hili suala kisheria limekaaje? ina maana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MBUNGE wa Arumeru Mashariki, mkoani Arusha, kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bw. Joshua Nassari, ameshikilia msimamo wa kupiga marufuku Mwenge wa Uhuru kufika jimboni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
*Ni baada ya kushindwa kufika mahakamani *Anakabiliwa na shitaka la kufanya vurugu MAHAKAMA ya Wilaya Hai, mkoani Kilimanjaro, imetoa hati ya kukamatwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na...
0 Reactions
41 Replies
6K Views
Wana JF, NI uciku wa jana, rafiki yetu na ndugu yetu dereva wa pikipiki A.K.A. bodaboda, alitekwa na majambazi akanyang'anywa pikipiki yake, alipoenda kutoa taarifa kituo cha Polisi Mabatini...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
jamii ya kitanzania inatakiwakuelemishwa jinsi sheria zetu baadhi zinavyokinzana zenyewe, mfano katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania inampa mtanzania HAKI YA KUISHI ,ukirudi kwenye SHERIA...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Taarifa zisizo rasmi zinasema, mmiliki wa vyombo vya habari Tz ameamriwa kulipa Bilioni 5 za Tz,kwa kesi aliyomshitaki blogger huko UK, Taarifa bado ni za usiri sana, UPDATES: Tanzanian...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…