Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Monday, 08 November 2010 21:16 Tausi Ally UPELELEZI wa kesi mbili za kula njama, kuiba na kutakatisha fedha haramu ikiwemo yenye thamani ya Sh3.8 bilioni, inayomkabili Mhasibu wa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Eti waungwana sheria inasemaje kuhusu malipo ktoka kwa mwajiri wako, siku akikuachisha kazi?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Two people were on Friday sentenced to 20 years in jail each after the Bunda Resident Magistrate Court in Mara Region found them guilty of killing a zebra and for entering the game reserve...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwandishi wa habari wa Channel ten mkoani Iringa Daudi Mwangosi afariki dunia katika vurugu zilizojitokeza baada ya polisi kuingilia mkutano wa operesheni mabadiliko m4c ya CHADEMA. Chanzo ITV
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Assalam 'Alaykum. Leo napenda na mimi nizungumzie machache kuhusu ukweli juu ya SENSA iliyofanikiwa kwa kiasi kikubwa kama wasemavyo wengine (hata humu pia wamo). Mambo mengi ambayo yanayofanyika...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Zanzibar — WITH tourism developing into a big business in Zanzibar, residents near the beaches have raised concern over westerners and even Africans looking to get a bit of sunshine by resting...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nasikiliza sasa hivi hotuba ya Mh,Rais kuhusu mpaka kati ya Malawi na Tanzania ndipo nilipoingia kwenye google nilichokiona kimenishtua kidogo hebu chungulia na wewe urudishe hapa majibu.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu kuna mdau kanitonu ya kuwa Tundu anawasilisha/amewasilisha pepa kwenye mkutano wa mawakili huko Arusha. Kwa wadau walioko huko tunaomba mtujuze.
1 Reactions
38 Replies
4K Views
hivi jamani hawa traffic watakula hela zetu mpaka lini,kwann usitafutwe mfumo wa kuripa faini za barabarani kwa mfumo wa electronic,basi hata kama nifaini za papo kwa papo basi receipt ziwe...
0 Reactions
0 Replies
919 Views
Kuna jamaa kanipigia simu sasa hivi kuwa kuna jambazi anachomwa, maeneo ya Tegeta (mkanada).Kwa waliopo maeneo hayo naomba watujuze zaidi. Uptodate: Watu wa ITV washafika eneo la tukio...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Rais amewataka watu wote watakaoshindwa kuhesabiwa mpaka siku ya mwisho ya sensa, wapeleke taarifa zao kwa viongozi wa maeneo yao ndani ya siku saba ili taarifa zao zipelekwe panapohusika. Baada...
0 Reactions
58 Replies
5K Views
Kwa takribani kama siku tano hivi, maeneo mbali mbali wilayani kinondoni hasa mapori ya madale karibu na magereza ya boko, kulifanyika bomoabomoa ya wavamizi iliyosimamiwa na mkuu wa wilaya na RPC...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Latika habari jioni hii selikari yadai zoezi la sensa limefanikiwa asilimia 95, je kwa waliokubali kuhesabiwa tu? au kivipi? .Source itv
0 Reactions
11 Replies
2K Views
JESHI la Polisi limeingia katika kashfa nyingine tena, baada ya askari wake kuwaua kwa risasi watu wawili na kuwajeruhi wengine kadhaa katika vurugu zilizozuka wakati wa jaribio la kuwaondoa...
0 Reactions
1 Replies
997 Views
Wadau, Wote tunafahamu kua wapo watu ambao wamefikishwa mahakamani kwa kugoma kuhesabiwa. Pia wote tunafahamu kua muda wa kuhesabiana ulikua ni wiki moja (ambayo labda inaisha leo). sasa kama...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hauna maana.Kazi yetu ni kutuna tu na mabegi yaliyosheheni nyaraka za kulinda wezi. Hapa Arusha(kwenye mkutano wetu wa Mawakili) hakuna la maana tunalolizungumza zaidi ya kutambiana kwa matumizi...
5 Reactions
24 Replies
3K Views
Ndugu zangu WanaJF, Kwa siku za karibuni viongozi wengi wa CCM kuanzia wa Wilaya na mikoa mpaka Taifa wamekuwa wakitumia umiliki wa Freeman Mbowe ukumbi wa Bilicanas kama kete ya kuchafuana...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Naomba Mamlaka zinazohusika zifuatilie tabia ya Kampuni hii na nyinginezo ya kuendelea kukata malipo ya ku download muziki mfululizo kana kwamba maombi hayo ni ya kudumu. Huu ni wizi wa...
0 Reactions
1 Replies
895 Views
Naomba tu ufafanuzi kwenu wadau, Nchi yetu leo ina miaka 50 ya uhuru lakini bajeti yake inategemea misaada na haiwezi kujiendesha bila misaada toka nje. Angola wamepigana vita miaka ishiri leo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
SENSA YA WATU NA MAKAZI YAMWACHISHA KAZI SHEKH WA WILAYA YA MBARALI MKOANI MBEYA SHEKH Yassin Bambala wa wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya amevuliwa wadhifa huo kwa kosa la kuhamasisha...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom