Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Ni moja ya maeneo ambayo katiba mpya inabidi iyaangalie kwa makini sana.Kamati izi kusema ukweli zimekuwa zikitumika visivyo.Kamati izi kwanza zimekuwa zinatumiwa na wajumbe au jamaa zao...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jumatatu, Agosti 27, 2012 06:33 Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam MWENYEKITI wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila, anatarajia kuhukumiwa leo mahakamani...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
..Guys,kupata LL.M udsm qualifctns ni 3.0 GPA kwa alomaliza LL.B ya pale UDSM,but 3.8 GPA kwa mwenye LL.B from other Universities! Does ths imply that a 3.0 GPA from UDSM SCHOOL OF LAW ni sawa na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Vigogo Bodi ya Mikopo (HESLB), wanakabiliwa na tuhuma nzito za ubadhilifu wa fedha kwa kujilipa mishahara minono na matumizi mabaya ya madaraka huku mmoja wao akidaiwa kuajiri ndugu zake 11...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwanamke mmoja wa nchini Afrika Kusini ametiwa mbaroni baada ya kuwasumbua majirani kwa muda mrefu akifanya mapenzi na mbwa wawili na pia akirekodi video akifanya mapenzi na mbwa hao. Mwanamke...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Hii nchi ni yetu na si nchi ya watawala.Kila mtu katika hii nchi anahaki ya kukutana na wenzake sehemu yoyote panapostahili hata kama jambo si la msingi.Watu wanahaki kutoa maoni kwa njia yeyote...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tue, Aug 28th, 2012 Tanzania | The census exercise went on smoothly in Kilimanjaro Region despite leaflets suspected to have been distributed by some members of Islamic extremist group...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna haja ya kuunda mahakama maalum(International Criminal Tribunal for Tanzania "ICTT") itakayosikiliza kesi mbalimbali za mauaji/kujeruhi na vitisho yaliyofanywa wakati wa Vuguvugu la mabadiliko...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
25th August 2012 Wananchi washiriki bila wasiwasi Watakaovuruga kukiona cha moto Jeshi la Polisi nchini limesema litapambana na kuwachukulia hatua kali watu watakaojihusisha kuvuruga...
0 Reactions
53 Replies
5K Views
Halo watanzania wenzangu Mimi ni mwalimu nafanyakazi mkoa wa Lindi tena wilaya ya Lindi vijijini nasikitika kwamba mwajiri wangu amenikata mshahara kwa sababu za mgomo wa walimu uliopita. Inaniuma...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Serikali yawaangukia Waislamu • Walimu 108 waenguliwa kwenye semina ya Sensa Dar na Waandishi wetu Tanzania Daima WAKATI shinikizo la baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu...
5 Reactions
300 Replies
24K Views
SATURDAY, AUGUST 25, 2012 SHEKH Yassin Bambala wa wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya amevuliwa wadhifa huo kwa kosa la kuhamasisha waumini wa dini ya Kiislam kususia zoezi la Sensa ya watu na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kumekuwa na mvutano wa maneno kutoka kwa viongozi wa serikali na viongozi wa kidini.... dini ya kiislamu, katika kijiji cha DONGOBESH mkoani manyara wilaya ya mbulu, watu wamekuwa wakitishiwa na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
nani aliekuwa anajuwa kama Picha iliobandikwa ktk magazeti ya TANZANIA DAIMA, NIPASHE NA UHURU kuhusu macahfuko ya Zanzibar ni propaganda? Mara tu baada ya picha hiyo kubandikwa, nilifungua redio...
3 Reactions
51 Replies
6K Views
Mauwaji ya kutisha yamefanyika katika kijiji cha Baranga wilaya ya musoma vijijini kata ya buswahili tarafa ya kiagata baada ya watoto wawili wa familia moja wakiwa na umri wa miaka 5 na 7...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
ISIWE HISANI YA TV/RADIO STATION/MAGAZETI KUTANGAZA WAGONJWA SUGU/WAJANE/ Nk BALI IWE WAJIBU WA WATZ WOTE KUPITIA SERIKALI.
0 Reactions
0 Replies
988 Views
Naomba kujuzwa ni details gani hasa zinaandikwa kwenye kitambulisho cha taifa?. Makarani wa sensa ambao kimsingi ndio makarani watakao andaa orodha ya wakazi wa mtaa orodha itakayotumika kuandaa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, leo watazungumzia hatua ilizofikia katika uchunguzi wa tukio la kutekwa, kuteswa na kutupwa katika Msitu wa Pande kwa kiongozi wa Jumuiya ya Madaktari...
1 Reactions
127 Replies
11K Views
Nina ndugu yangu aliolewa zaidi ya miaka 20 iliyopita. Mume hakuwa na hata senti pindi wanaoana. mwanamke alianza biashara ya mtumba ndipo wakapata mtaji mwanaume akaanzisha biashara sitaitaja ila...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kumekuwa na wimbi kubwa la watu kujiandaa kugombea sensa ya makazi na watu huku wangine wakisema kuwa haina tija kwa taifa na kwa yeye binafsi. Napenda kuwapa onyo kwa wote ambao wanampango wa...
0 Reactions
45 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…