Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Mapigano yanayoendelea katika wilaya ya Ngorongoro kati ya Wamasai na Wasonjo yamefikia sehemu mbaya, chanzo kikubwa ni kuuliwa kwa kijana wa kisonjo katika kijiji cha Sonjo na hivyo kuzua...
0 Reactions
14 Replies
8K Views
Wakuu wana JF wakati nikiwa natokea Mabwepande kumsabahi jamaa zangu mida ya saa 11:30 jioni nilikuta tingatinga likivunja nyumba za Watanzania ambao walivamia maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi Jamani Nisaidieni,Kwamba ndio njia ya kulazimisha Kujipatia Pesa au ndio staili gani? Wabunge Wetu,Mnasemaje kwenye hili mbona mko kimya? Ni Hivi sasa hivi kumezuka utaratibu mtu ukienda TRA...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Rais Jakaya Kikwete, amemteua Winfrida Beatrice Korosso, kuwa Katibu wa Tume ya Kurekebisha Sheria nchini. Taarifa iliyotolewa jana jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Chonde chonde vibaka msitufunguze usiku huu mkijifanya makarani wa sensa. Tutanyofoana firigisi hv hv. Maana wabongo bana, hawachelewi kujificha nyuma ya matukio halali kuwaliza wenzao. Mi nalala...
0 Reactions
0 Replies
870 Views
Kuna bomoa bomoa kubwa imefanyika kule salasala eneo la benaco...inasemekana wavamizi walivamia eneo hilo bila kuwa na vibali vya kulimiliki...wito wangu kwa watanzania wenzangu acheni kuvamia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sensa ya mwaka huu imejaa griba na ubabaishaji mwingi. leo hii yamebaki masaa machache ya kuanza zoezi lenyewe lakini cha ajabu vifaa bado havijakamilika, sehemu ya malipo ambayo makarani...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Haki za binadamu na haki za watoto zinaendelea kupiga hatua mbele. Mahakama ya Cologne nchini Ujerumani imehukumu kuwa kumtahiri mtoto wa kiume ni kukiuka haki za binadamu. Mahakama hiyo inasema...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waziri wa uchukuzi Dr Mwakyembe ameagiza kamati ndogo aliyoiunda ichunguze mikataba ya TICTS na bandari kuona kama bado ina tija kwa taifa au la. Kumbuka kuwa moja ya wanahisa na wamiliki wa TICTS...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa Dar imekuwa ni kawaida kwa waendesha pikipiki a.k.a.bodaboda kutokufuata maelekezo ya taa za barabarani, wao wanachomoka jinsi wanavyotaka, iwe taa zimeruhusu kwenda kwingine ama la mara na...
0 Reactions
0 Replies
941 Views
Waheshimiwa nimelazimika kufungua kesi ya katiba ambamo ninataka kuiomba mahakama kutoa fasiri kamili kuhusu sheria ya uchaguzi na matumizi ya Fomu namba 17. Fomu hii kwa mujibu wa Election...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Police warn agitators By The guardian team 25th August 2012 As Muslim sects circulate leaflets calling for boycotts On the eve of the national population and housing...
0 Reactions
0 Replies
820 Views
Wadau, huduma zetu hizi hapa:- 1. vifaa vya radio vya aina mbalimbali tunauza. 2. Ufundi wa vifaa vya radio. 3. ushauri wa kitalaamu juu ya kuanzisha radio. 4. Kusimamia mwanzo hadi mwisho...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Dada yangu ni fundi sanifu maabara (Lab. technician) katika hospitali ya Wilaya X, miezi sita iliyopita aligundulika kuwa na TB, alitibiwa na kupona, baada ya hapo alichukua hatua ya kudai fidia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naona kuna zengwe jingi na mikwara kibao, baina ya watawala na kundi fulani la kijamii kuhusu kuhesabiwa na kutohesabiwa. Naombeni ufafanuzi wadau, kuhusu sheria ya takwimu ya mwaka 2002, kama...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Na John Makambo, Tabora JESHI la Polisi mkoani Tabora, linamshikilia mkazi wa Kijiji cha Ilolangulu, Kata ya Ilolangulu Wilaya ya Uyui mkoani Tabora, kwa tuhuma za kukutwa na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mambo vipi wadau! naomba kuelimishwa juu ya uendeshaji wa kesi hapa nchini ambao vyombo vya habari haviruhusiwi kurush laivu kesi inapoendelea mahakamani. Kwani nimeona tv za nje zikilusha laivu...
0 Reactions
0 Replies
754 Views
Je ni sheria ipi ambayo inamzuia upande mmoja kwenye mkataba kuvunja mkataba pale ambapo upande mwingine hautendikadri ya makubaliano au wakala anapofanya jambo ambalo linanyanyasa wadau wako...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natanguliza shukrani. Naitaji kujua haki za mshtakiwa toka anapokamatwa mpaka anafikishwa mahakamani Naitaji kujua pamoja na chanzo cha hiyo haki utakayonijulisha ni ya chanzo kipi kama ni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu, Naomba kama kuna mwenye nakala ya hukumu za mashauri yafuatayo; 1. Shauri la Uchaguzi Igunga 2. Shauri la Uchaguzi Sumbawanga Mjini 3. Shauri baina ya Serikali na Walimu (hili la mgomo wa...
0 Reactions
1 Replies
994 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…