Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

ndugu zangu naomba mnifafanulie sheria hii niweze nami kujua.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
breaking news.........Mahakama ya Arusha yatoa hati ya kukamatwa kwa askofu mkuu wa Angrikana dr valentino mokiwa kutokana na kukaidi amri ya mahakama ya kutomsimika askofu
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wana JF wenzangu. habarini. niliachishwa kazi na muajiri wangu kampuni binafsi 3yrs ago. hakuwa akiniwekea chochote NSSF japo alikuwa akinikata 10% ya mshahara wangu mda wote nikiwa ktk ajira...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
FORMER Vice-President Prof. Gilbert Bukenya was yesterday charged before the Anti-corruption Court over the botched Chogm 2007 car deal. He denied the charge. In the second case, however, his...
0 Reactions
0 Replies
949 Views
walinikamata hawakuninyanyasa hawakunipiga walakunifanyia kitendo kibaya chochote,walinilinda wakithamini uongoz wangu kwa taifa letu,alisema mbowe kwenye taharifa ya habar ya itv . jaman...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimekuwa nikifuatilia mjadala katika vikao vya bunge hasa la bajeti ambapo wabunge hupata nafasi ya kuchangia kwa dakika zisizopungua kumi kiukweli kuna wabunge wakisimama kuchangia hotuba na mimi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wanasheria jana nilikuwa sehemu na bugia maji ya ilala ukazuka ubishi meza ya jirani kuhusu neno original na genuine na pia kuhusu neno warrant na genuine. Original na genuine linaweza kuwa la...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
aliyekuwa mhadhiri katika chuo kikuu cha Arusha mpiganaji Dadi Igogo amefukuzwa kazi katika chuo kikuu cha arusha kwa kuhusishwa na siasa chuoni hapo.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mchungaji Rwakatare kuhojiwa kwa kushindwa kutangaza mali Na Agnes Mwaijega MBUNGE wa Viti Maaluma kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mchungaji Dkt. Getrude Rwakatare, anatarajiwa kuhojiwa leo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu habari za hivi punde Mahakama kuu kanda ya Arusha imetoa amri ya kukamatwa Askofu mkuu wa kanisa la kianglikana. Source ITV.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Baba Askofu, Bwana Asifiwe. Kama sikosei Mahakama kuu ya Tanzania, Arusha ilitoa amri kuwa Askofu Hotay asiwekwe wakfu mpaka hapo pingamizi lililowekwa na waumini wawili lipatiwe ufumbuzi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Bado ningali na kigugumizi na sintofahamu baada ya kampuni ya kimarekani symbion kununua mitambo ya dowans.Ninachofahamu,kwa mujibu wa utaratibu wa kimahakama,shauri lolote lililo mahakamani...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nimepita pale kwenye dula linalouza miswada mbali mbali iliyopitishwa na serikali na nimekuta karibu yote imeandikwa kwa kiingereza nilikuwa nina taka sana ile ya serikali za mitaa tena ambayo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu wana JFkuna ulazima wa kisheria kumtajia mtu umri wako,iwe ni askari au mahakama au mtu yeyote.sheria inasema nini kuhusu hilo.naomba kuwasilisha.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
By In2EastAfrica - Mon Jun 06, 3:22 pm Deputy Speaker Job Ndugai Parliament has declared that it cannot interfere with the powers of the judiciary following the arrest of the...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Nilikamatwa nikashitakiwa kwa tuhuma za kukutwa na nyala za serikali. Miaka minne ya kesi, mwaka 2008 mahakama ikatoa hukumu kuwa sikuwa na hatia, upande wa jamhuri haukutoa ushahidi wa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Je ni haki kwa mfanyakazi yoyote kufanya kazi kama kibarua kwa zaidi ya miezi 12? Je ni haki kwa mfanyakazi huyo huyo kufutiwa mkataba bila kupewa sababu? Je ni haki kwa mfanyakazi kuendelea...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Naombeni msaada wa uchambuzi wa mwongozo huu je upo safi kabisa?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi kwa mujibu wa sheria chama cha wanafunzi kinaweza kufutwa kwa kutumia Government Notice No. 178 of 12 June, 2009? Na inakuwaje juu ya University Act of 2005 section 42 (1)? Naombeni msaada...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jana ilikuwa ni siku ya kamata kamata kwa wale wote waliojihusisha na kusafirisha wanyama pori kupitia KIA. Sina uhakika na idadi ya watuhumiwa waliokamatwa ila uhakika nilionao ni kwamba wahusika...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…