KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
natanguliza shukrani kwenu wanajf, shida yangu ni kutaka kuelewa mchakato wa katiba mpya.kwanza naomba nikubali nilikuwa nachukia sana siasa lakini baada ya kuelimishwa sasa napenda kufuatilia...
0 Reactions
0 Replies
543 Views
Watz wengi wanaongelea kuhusu Katiba mpya, lkn kitu muhimu kuliko vyoote ambacho wamekisahau au hawakukijua na walipaswa kukipigania kwa hali na mali ni kwamba Ni lazima iwekwe kisheria...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mahudhurio hafifu kwenye vikao vya kamati kwenye BMK ni akisi ya Tabia wanayoifanya kwenye Bunge lile la JMT. Wajumbe wasisingizie kushuka morali au kutokuwepo kwa UKAWA, hii ni tabia yao Sugu...
0 Reactions
2 Replies
973 Views
Yaani wandugu nawashangaa sana wale ambao walikuwa na tamaa kuwa kaimati za CCM zitaponda wajumbe wake wanaoshiriki Bunge la Katiba na kuuponda mchakato mzima hivyo kupendekeza uahirishwe hadi...
0 Reactions
1 Replies
921 Views
Baada ya chama tawala kubariki kuendelea kwa Kikao cha Bunge Maalum la Katiba, suala lililobaki kuendelea kujadiliwa ni uwepo au kukosekana kwa akidi ya kupitisha kifungu kwa kifungu Rasimu ya...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Sorry nimedelete mada hii!
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hapa itabidi nieleweshwe. Ni 2/3 ya wote au 2/3 ya walio piga kura. Kama mtu hataki kupiga kura ataunganishwa katika kwenye kukokotoa? Naomba nijue.
0 Reactions
1 Replies
950 Views
Ndugu wadau,kunajambo limenifanya niwe sensitive sana na uoga pia umeniingia. Jambo lenyewe ni hofu ya baadhi ya wananchi(hasa humu jamii forum nkiamini nkama sample inayowakilisha mtazamo wa...
0 Reactions
17 Replies
7K Views
Huo ni ushauri wangu kwa Wazanzibar wote, kama wakikubali Serikali mbili za CCM ambazo hata kwenye rasimu hazipo. Wasije kulia kutawaliwa na mafisadi wa Tanganyika, Maana Tanganyika wamefisadiwa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nape nauye amesema theluthi 2 ya zanzibar ipo.hakuna tatizo lolote litakolosimamisha bunge maalum la katiba sababu kisheria colum imetimia ila kuna tatizo kisiasa sababu pawe na maridhiano pande 2...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
WANANCHI wa Dar es Salaam wanapendelea zaidi Muungano wa Serikali Moja kuliko wananchi wengine wa Tanzania Bara na Zanzibar, imefahamika. Kwa mujibu wa utafiti wa karibuni zaidi maarufu kwa jina...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Katibu Mkuu wa CCM, Abrahman Kinana akitoa taarifa katika kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho, mjini Dodoma juzi. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Zanzibar, Rais Ali Mohamed Shein, Rais Jakaya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Makala ya Johnson Mbwambo wa Gazeti la Raia mwema Toleo la 366 13 Aug 2014 WIKI hizi nafarijika kwamba baadhi ya mambo niliyoyaandika huko nyuma katika safu hii na kupingwa vikali katika...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
BUNGE Maalum la Katiba linaoendelea Dodoma kwa mwendo wa kiguru cheche (kuchechema) sasa limegeuzwa na watu wengi wa Zanzibar kuwa mada kubwa ya kufanyiwa kila aina ya mzaha na dhihaka. Hii...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
... Baada Ya Maamuzi Ya Cc Ya Ccm Kuonyesha Hakuna Dalili Ya Kujali Maridhiano Kwa Manufaa Ya Wanainchi. Na Kwakuwa Hakuna Dalili Ya Kupata Katiba Nzuri Ya Wanainchi Bali Ya Chama Chao, Na Kwa...
0 Reactions
0 Replies
848 Views
Wanajamvi, Ni wazi kabisa wenzetu wa Lumumba sasa wanaumbuka kwani walichokikataa kwenye rasimu ya Warioba bado kinawasumbua kwenye muundo wa bunge,wengine wakisema pawepo na mabunge matatu la...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Kwa mtanzania yeyote makini, mjadala unao endelea sasa juu ya utungaji wa katiba mpya siyo tu kwamba unakatisha tamaa, bali pia unaonyesha ni kwa kiwango gani unafiki umekidhili hapa nchini...
1 Reactions
0 Replies
925 Views
It is arguably the key question facing Tanzanian politics in the short term: does CCM have the numbers? Can they ignore the opposition, and force their will upon the next draft of Tanzania's...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Baada ya kamati kuu ya halmashauri kuu ya CCM kubariki kuendelea kwa mchakato wa katiba bila maridhiano,huku wakitumia nafasi hiyo kutupilia mbali maoni na vilio vya wananchi vya muda mrefu kama...
6 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom