KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Katiba izuie uchama bungen wabunge wakichaguliwa wakishaingia bungen wacjitenge na kuanza kujidai mm wa chadema yy wa ccm yaan iwabane mpka waseme ndio vilevle ktk ziara za raic,mawazir n.K vyama...
0 Reactions
0 Replies
624 Views
Jamani naomba msaada wenu juu ya jeshi la magereza ni sehemu gani wameainishwa katika katiba mpya.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kurugenzi ya ikulu imekanusha kupokea maombi ya kuongeza posho kwa wajumbe wa bunge la katiba mpya,bali maombi yaliyopokelewa ni kubadilisha posho ya kujikimu kuwa ya kikao na ya kikao kuwa ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
WanaJF, Rais mstaafu wa JMT, ndugu Benjamin Mkapa, ametoa maoni hayo akiwa kwenye hafla fupi ya kuzindua vitabu vyenye hotuba zake zote za kipindi alichokuwa rais wa JMT. Ndugu Mkapa amesema...
1 Reactions
57 Replies
5K Views
Suala la kura ya wazi au ya siri limesumbua mjadala wa kanuni za bunge la katiba mpya: Mapungufu: Kamati ya Prof Mahalu imelirudisha suala hili kwa wajumbe bila kulichambua (kulitafuna) na...
0 Reactions
0 Replies
933 Views
Dodoma. Hofu imetanda kuhusu uwezekano wa kuvunjika kwa Bunge Maalumu la Katiba, kutokana na hatua ya CCM kutumia wingi wao kutaka kupitisha utaratibu wa kupiga kura za wazi. Baadhi ya wajumbe wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wajumbe wengi wa Bunge la Katiba wamesema kuwa wanamtaka Samwel Sitta kama Mwenyekiti wa Kudumu wa Bunge hilo. Wakizungumza nami kwa nyakati tofauti hapa Dodoma,Wajumbe hao waliojipachika jina la...
11 Reactions
61 Replies
8K Views
Hivi kweli jamani hawa ndio tunategemea watuletee katiba mpya? wameshindwa wote kwa pamoja kujua kuwa madhara ya kura ya wazi ni makubwa kuliko kura ya siri? Sasa hiyo katiba inayopendekezwa...
0 Reactions
0 Replies
788 Views
Taasisi ya isiyokuwa ya kiserikali ya Mwalimu Nyerere Ideology Conservatiom Society ya jijiniTanga,imefungua kesi mahakama kuu kupinga mchakato wa katiba mpya unaoendelea mijini Dodoma kwa sasa...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Fears are mounting over possible failure to get a credible new constitution as the Constituent Assembly gears up for take-off today, The Guardian on Sunday can reveal. In just two weeks since the...
0 Reactions
0 Replies
739 Views
Baada ya msuguano wa #Posho, Bunge letu maalum la Katiba limepoteza karibu wiki nyingine nzima kubishana kuhusu uamuzi wa kuwa na Kura ya Wazi au Kura ya Siri. Tayari wiki mbili zimepita la Bunge...
1 Reactions
3 Replies
989 Views
Taja waopenda siri na easiopenda. Gvt tatu ni lazima hata kwa kura za wazi
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu zangu watanzania, baadhi yetu hawana uelewa wa kutosha wa Bunge Maalum la Katiba litakalojadili na kupitisha Rasimu ya pili ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Nikiwa kama...
14 Reactions
24 Replies
7K Views
Taasisi hiyo inapinga mchakato huo wa Katiba kwa kile inachodai kuwa ni kasoro zilizojitokeza, ikiwamo wananchi kukosa uwakilishi uliotokana na ridhaa yao, posho kubwa wanayolipwa wajumbe na...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Wanaotaka kura za siri wajiorodheshe na wanaotaka za wazi vivyo hivyo zen wakati wa maamuzi zifanyike njia zote
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wabunge wa Bunge maalumu la katiba waweke interest zao na vyama vyao kando ili waandae katba itakayokidhi mahtaji ya watz.Wasipe makof ovyo
0 Reactions
2 Replies
775 Views
Alhamisi, Januari 16, 2014 08:04 Na Mwandishi Wetu, Zanzibar *Lengo ni kuhakikisha mfumo wa kuwa na Serikali Tatu haupiti CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimewapanga wabunge na...
0 Reactions
67 Replies
7K Views
nimeangalia bunge la katiba mara nyingi. kila mjumbe aliyekuwa anasimama nilimsikia hadi mwisho. nilichoona ni kama ifuatavyo;- 1. kila mbunge wa ccm aliyesimama alisapoti kura ya wazi, hata wale...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
wana jf,naomba kujuzwa kama kuna matangazo ya moja kwa moja ya bunge la katiba ijumaa hii.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Bunge la katika ni la wananchi sio la kikundi cha aina fulani :-)
0 Reactions
0 Replies
921 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…