Vikosi vya jeshi la Msumbiji vinasema kuwa vimemkamata kiongozi wa kijihadi, raia wa Tanzania, katika wilaya ya Nangade kaskazini mwa jimbo la Cabo Delgado
Kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 39...
Hapa inabidi kuwasifia Wanyarwanda, kainchi kadogo mithili ya mkoa lakini kanalambisha vumbi majitu makubwa Afrika, Rwandair imeshikilia namba saba, huku Kenya Airways ikiwa namba tatu, Ethiopia...
Haya madude ya kutumia ubongo huwa tunatusua balaa, tupo nyuma ya Afrika kusini na Mauritius pekee, wengine wote saizi yetu tumepitia juu kwa juu....
Hata Nigeria na Ghana tumetupa kuleeee.
Watani...
Cement supply exceeds demand by half
ONLINE REPORTER
15 November 2016
COUNTRY’S installed cement production has crossed 8.0 million tonnes per year surpassing aggregate demand by half, the...
This article doesn’t mean to spoil any country or nation put to prove the existence of witch craft in African.
According to research,there are 55 countries in Africa but not all could be found...
President Uhuru Kenyatta has announced that Kenya Airways and South African Airways will partner to form Pan-African Airline.
For the experts what does this mean in terms of advantages and...
Revealed: How Chris Kirubi Distributed His Ksh.20 Billion Wealth
By Ian Omondi For Citizen Digital
Published on: January 28, 2022 01:05 (EAT)
File image of late industrialist Chris Kirubi...
The report ranks Kenya at position 87 out of the 116 countries that were considered globally.
23% of Kenyans go to sleep on an empty stomach, according to the report.
More than 650,000 children...
Nchi imeendelea, nchi watu wake wameendelea wakati hakuna tajiri hata mmoja. Tulieni nyie mnaongoza kwa wizi na kujimilikisha ardhi tu siyo mambo mengine
Link...
Ubalozi wa Ufaransa nchini Kenya umeonya kuhusu tishio la shambulizi la kigaidi dhidi ya raia wa Magharibi wanaoishi nchini Kenya.
Katika tahadhari siku ya Alhamisi, ubalozi wa Ufaransa uliwaonya...
Wivu battalion ya TZ ilikuwa inasema kwamba kitendo cha Kenya kulipiza kisasi kwa kuzuia ndege za UAE kutua Kenya haijazaa matunda. Hio ni uongo kwa sababu UAE wameamua kuondoa marufuku waliyokuwa...
App ya kuomba mkopo, Silicon Savannah imetajwa kutumia vibaya taarifa za wateja hali inayofanya uhitaji wa sheria ya Udhibiti wa Taarifa
Mteja wa Mkopo anaposhindwa marejesho, app hiyo huvuna...
Kuna wakati Watanzania fulani hususan Geza Ulole alipinga vikali nilipomueleza kuwa Uganda watatumia port ya Mombasa kuingiza mizigo itakayotumika kujenga viwanda vya mafuta.
Vifaa vingi...
Tanzania: Heidelberg Cement has signed an agreement to acquire 68% of Tanga Cement shares. Upon closing the deal in early - mid-2022, the group plans to make a public tender offer for the...
Kenya Mwaka jana mwanzoni au Mwaka juzi walizindua mtaala wao mpya wa CBC yaani Competetive Based curriculum.
Huu mtaala wao mpya mtoto anapimwa kwa uwezo alio nao na si kwa uwezo wake wa...
Wasafiri kutoka Dubai wataruhusiwa kuingia nchini Kenya kuanzia leo baada ya nchi hiyo kuondoa marufuku iliyokuwa imeweka kwa ndege zote zinazoingia na za abiria kutoka taifa hilo la Mashariki ya...
MY TAKE: Mimi huwa nikifika Kenya huwa ninakosa Amani hadi siku ninavuka mpaka na kuingia Tanzania, huwa ninahisi wakati wowote ninaweza kuvamiwa na kuuliwa.
TANZANIA is Africa's third strongest exporter of food commodities to the rest of the world. The United Nations Conference on Trade and Development (UNCTAD) ranks the country third after Guinea and...
Tanzania produces what it consumes, it consumes what it produces.
Nchi nyingi za dunia ya tatu zinatatizo la kuzalisha wasichohitaji na kuagiza mahitaji Yao yote toka nje ya nchi, matokeo yake ni...