Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

We can take this challenge as Kenyans from this Weekend to next weekend. We post as many positive news from Kenya as possible. Does not matter if they have been posted before... or when they...
2 Reactions
3 Replies
568 Views
MY TAKE: Soma "Comments" hapo chini jinsi wakenya walivyochoshwa na ujinga unaofanywa na viongozi wao, ukweli ni kwamba wakenya wengi wana uwezo mdogo sana wa akili. Sio kwamba wanafanya maamuzi...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Joyce Wairimu Kariuki (62) amhukumiwa kwenda jela miaka 35 baada ya kukuta na hatia ya ujambazi. Amekutwa na hatia ya kuhusika kupora vyombo vya moto kwa mwaka 2018 na 2019 Rekodi za Upelelezi wa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
 Treat them the same way you would treat your own mother, there is nothing like sibling rivalry, it's a cover-up for jealousy, never try to compete with someone who is older than you. They are...
0 Reactions
0 Replies
485 Views
======= Works on the first floating footbridge across the Likoni Ferry channel have started. The Sh1.7 billion bridge contracted to the China Road and Bridge Corporation is being erected at...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Gharama ya usafirishaji wa mizigo kwenye bandari ya Dar es Salaam yawa chache zaidi kuliko Mombasa Habari zinasema gharama ya kusafirisha mizigo kutoka bandari ya Dar es Salaam hadi Bujumbura...
4 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakenya mnapaswa kujua tofauti ya Mwafrika na mzungu ni rangi tu hivo msiwe mazezeta wa kusubiri wawaamulie kila jambo akati nanyi mna akili. Janga la Corona mpaka sasa halina tiba kamili dunia...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Jiji la Dar es Salaam ni la tano kwa wingi wa watu Afrika, na linakadiriwa kuwa na watu milioni 13.5 ifikapo mwaka 2035. Licha ya ukuaji huo, zaidi ya robo tatu ya wakazi wa Dar es Salaam wanaishi...
5 Reactions
149 Replies
12K Views
Dar port dangles cheaper cargo rates than Mombasa THURSDAY AUGUST 06 2020 port It costs $3.10 per kilometre per container to transport goods from the port of Mombasa (pictured) to Bujumbura...
8 Reactions
22 Replies
2K Views
Hatimae majibu ya Twaweza yameleta majibu haya. === The majority of Kenyans agree with the government view of the resumption of business as usual against the continuous spread of COVID-19...
0 Reactions
9 Replies
968 Views
Ma biashara yadondoka huko Kenya, Mall zqpigq mnada maduka kufuatiwa wapangaji kishindwa kulipa kodi. Tusiongee sana reporter wetu wapo hapa.
2 Reactions
0 Replies
684 Views
Pesa ya nchi kuwa na thamani kubwa ukilinganisha na fedha nyingine siyo kigezo cha nchi hiyo au wananchi wake kuwa na uchumi imara. Uchumi imara na jumuishi unaupata kwa kuangalia vitu vingi lkn...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Ugly Stampedes that have become a norm at the Kenya Ferry Crossing in Likoni will be a thing of the past once a floating bridge is erected across the channel . Authorities and Police officers...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Bunge limepitisha kuwa Wabunge Wastaafu wawe wanalipwa Kshs 100k kila mwezi. Kumbuka kuwa Kenya ndio Kati ya nchi zinaoongoza Duniani kwa Wabunge wake kulipwa mishahara mikubwa ukilinganisha na...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
We have mutual understanding among the EAC nations such as Uganda, Rwanda, Burundi and Tanzania and we would have achieved a lot including even a political federation if it were not for Tanzania...
15 Reactions
182 Replies
49K Views
Ni mwendo wa kupasua miamba, pasua anga. ======== The rehabilitated 240-kilometre Nairobi-Nanyuki metered gauge railway has commenced operations ahead of commissioning by President Uhuru...
0 Reactions
0 Replies
574 Views
The original report by the Commission for Revenue Allocation on the Third Basis for revenue sharing for the next five financial years has been amended many times. The original CRA report is not...
0 Reactions
0 Replies
505 Views
Tutaelewana tu, ngoja twende sawa. Corona inaua, pima sana, nawa maji tiririka na amphiphiro nyingi, suza kwa maji safi tiririka, vaa barakoa, kohoa kwa kuziba mdomo na mkono wako, tutakuwa salama.
8 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu, Yaani KQ, Shirika la taifa linanyimwa kandarasi ya kupeleka maua ya Kenya Ulaya😂😂😂 Hii nchi ni full confusion hadi raha😂😂 cc: joto la jiwe Geza Ulole ======== KQ protests as Kenya...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Ilijengeka dhana kwamba lazima KQ ndio isafirishe matunda yetu nje ya nchi na bila wao ni ngumu kwa Tanzania kuhudumia masoko ya nje. Lakini imekua kinyume na mentality ya wengi, licha ya kwamba...
17 Reactions
44 Replies
4K Views
Back
Top Bottom