Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Mnaoendelea kupuuza na kukaidi ushauri wa tahadhari dhidi ya Corona mfahamu mnamtekenya simba na kucheza na masharubu yake, hiki kitu kinaua bila huruma, na ndio kinaendelea kupata kasi Afrika...
4 Reactions
25 Replies
3K Views
Serikali ya Kenya imetangaza visa vipya 59 vya maambukizi ya virusi vya corona. Hayo yalisemwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya nchini Kenya Dr. Mercy Mwangangi ambapo alifananua kuwa idadi hiyo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Serikali ya Jubilii inapanga kupitisha mchakato wa kukusanya Maoni ili kurejesha Nafasi ya Waziri mkuu. Ikumbukwe kuwa Baada ya Handshakes na BBI sasa ni Wazi Uhuru yupo Karibu na inaonesha wazi...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Kwa muda mrefu Wakenya wamekuwa wakitumia mwanya wa upole na ukarimu wa Tanzania kuwazunguka katika mambo mengi sana, ukizingatia Tanzania walikua wanaichukulia kenya kama taifa jirani na ndugu...
11 Reactions
32 Replies
3K Views
Kenya imenaswa kwenye mtego wa Corona. Wazungu wameamua kutumia COVID-19 Kama kitega uchumi. Wakikukopesha pesa wanakulazimisha uzitumie kupima COVID-19. Test kits ni za gharama Sana, Wana...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Ni dhahiri wazi Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya anatumia lockdown kuvunja nguvu ya hasimu wake mkubwa wa kisiasa William Ruto. Wafuasi wa Ruto ama yeyote mwenye mwelekeo wa kumpinga Rais Uhuru...
0 Reactions
2 Replies
982 Views
Utafiti pia unaonyesha asilimia 78 ya wakenya wanaona habari za corona zinawatisha na kuwachanganya. Wacha sasa waendelee kujifanya wajanja na vijitakwimu vyao vya kila siku, tuone mwisho wake.
0 Reactions
5 Replies
904 Views
5,000 COVID-19 samples yet to be tested as testing kits disappear - Health Director-General had acknowledged that the country was facing a shortage of the COVID-19 testing kits - The shortage...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Wenzetu hawa wanavyopenda kuchachamaa kuhusu ukabila kwetu utadhani kwao ni binguni hamna aina yoyote ya ubaguzi, ilhali mitandao ya kijamii huanika uozo wao haswa kwenye bunge ambapo mizuka ya...
4 Reactions
32 Replies
3K Views
Hivi karibuni, members wa JF kutoka Kenya walitucheka Tanzania kwa visa 100 vya wanafunzi kupata ujauzito kwa miezi mitatu ya kuwa nyumbani. Ni hatari hakika. Lakini Takwimu za DW swahili leo...
0 Reactions
4 Replies
953 Views
Mbona watu hawavai mask Wala kuobserve social distance, au corona imeisha huko?
2 Reactions
1 Replies
659 Views
Ndiye mkenya wa kwanza kukumbana na "Political assassination", damu yake imekua ndio laana kwa Kenya, hadi Leo mauaji ya kisiasa Kenya ni jambo la kawaida, na wanasiasa kujimilikisha ardhi na...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Six Kenyan Startups are among those selected for the fifth Cohort of the Google for Startups Accelerator Africa that is set to take place virtually for the next 3 months, starting on June 29 until...
2 Reactions
1 Replies
528 Views
Mke na Mume Katika Kijiji cha Kiaruhiu Kaunti ya Nyeri wamewashangaza wengi kwa kuamua kupeana watoto wao wawili, kwa yeyote yule, baada ya kile wanadai ni kushindwa kukimu gharama za malezi ya...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Viongozi wa Brazil walichukulia poa hiki kirusi, wakakaidi ushauri wa wataalam na kujichokea, leo idadi ya waathirika imegonga 960,309, ikizingatiwa hao ni waliopima ila kila mmoja wa hao...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Changamoto za mipakani mwa Kenya na Tanzania zatu…: Wahenga walisema "A hungry stomach can't fight", yaani tumbo lenye njaa haliwezi kupigana. Wakenya walijaribu kutingisha kibiriti kwa...
11 Reactions
54 Replies
5K Views
117 more people have tested positive for COVID-19 in Kenya bringing the total number of cases in the country to 4,374. Health CAS Rashid Aman said 112 of the new cases are Kenyans and five are...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
MY TAKE: A country with disputes with almost all its neighbors
2 Reactions
12 Replies
2K Views
MY TAKE: Kamwe JW halijawahi kushindwa vitu vidogo kama hivi, itawachukua masaa machache kyjamilisha hii kazi hapo Kesho. TPDF hoyeeeeee ======= Jeshi la Wananchi wa Tanzania limetuma timu ya...
14 Reactions
33 Replies
4K Views
MY TAKE: Lazima mtakuja kujifunza namna ya kuishi na kirusi bila kuwaletea madhara makubwa. "Kwa Magufuli, kila goti litapigwa". ======== Safaricom closes customer care shop after all 13...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom