Sina mengi ya kusema Ila huko kwa watani zetu wa jadi kiuchumi Kuna Kila dalili za KUTUELEWA maamuzi tuliyochukua.
Nasikia na wao wanatilia Masha rapid test za Corona na majibu yake.
Kwa mujibu...
Wizara ya Afya imetangaza ongezeko la visa 52 nchini humo baada ya sampuli 2,567 kupimwa ndani ya saa 24 zilizopita na jumla ya maambukizi hadi sasa ni 1,161
Waziri wa Afya, Mutahi Kagwe amesema...
Maabara mawili (mobile) ya kupima virusi vya COVID-19 yamewasili nchini Kenya leo hii kutoka Ujerumani. Maabara hayo yalikuwa yanangonjewa sana ili kurahisisha shughuli za kupima 'wageni' pale...
The so called mid sized economy , the best English speaking country, the most popular in the world, the land of Githeri and slams, the Land of great athletes, the Land Locusts and floods, Kenya...
Ni wazi kwamba Kenya haina dira katika mapambano dhidi ya Corona. Kenya kama zilivyo nchi nyingi za kiafrika, zimeamua kufuata njia ambazo hawajui zitawafikisha wapi, kinachotokea ni fujo na...
MY TAKE; Wakenya lazima wataingiza mikia yako katikati ya miguu na kuruhusu madereva wa Tanzania kupita bila masharti yoyote kama ilivyotokea kwa Zambia, ikumbukwe kwamba njaa haina shujaa, ukiwa...
Yes, you heard it correctly!
Mzungu mmoja katika moja ya video zilizopakiwa kwenye mtandao wa BBC anasema mahali kama Kenya watu wenye kuonesha akili nyingi na vipaji vya hali ya juu huwa...
President John Pombe Magufuli
Now that the world is slowly quietly opening up, ironically, before a vaccine or cure for Covid-19 has been found, we will surely look at each other with a little...
Muswada umepita kwenye bunge la kenya wafanyakazi wote wa sekta binafsi watakao athirika na janga hili kwa kutokuwa kazini wanaruhusiwa kuchukuwa sehemu ya peshion zao kutoka kwenye mifuko ya...
Congratulations to Kakamega Governor Oparanya for working for your people.
Mere governors in Kenya are building bigger and better projects than the entire national government of Tanzania.
Hii...
What do you desire in life?
A good family, beautiful wife, children you can take care of. Well to achieve all of this you need a little greed.Altruism is not an ultimate virtue, it forces you to...
The World Bank has approved a $1 billion loan for Kenya to help it close a gaping budget deficit and tackle the economic shocks from the coronavirus pandemic, both sides said on Wednesday.
The...
Rais Uhuru Kenyatta alifunga mipaka ya Somalia na Tanzania kwa sababu ya kuzuia maambukizi ya virusi vya Corona kuingia Kenya toka hizi nchi mbili. Ikumbukwe kwamba maambukizi mengi yamegundulika...
Hii ligi ya EAC inafurahisha sana!
Museveni ameona ujinga wa wenzake na kama kawaida ameegemea upande wa Rais Wa Africa Mhe. John Pombe Magufuli
Wenzetu tuendelee kujifukiza...
Hii ni baada ya kuona kwamba utalii wa Tanzania unazidi kuufunika utalii wa Kenya. Sekta ya utalii Kenya imesambaratishwa na nashambulizi ya kigaidi wakati utalii wa Tanzania ukiendelea kustawi...
Dr. Amoth, DG, MoH: Some of the challenges with rapid kits is that the test could come out as negative & change in 14 days making these false negatives. Sometimes common colds could test positive...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.