Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Hii ameisema imetokana na kwamba mgombea urais Raila Odinga alichomoa wakati wa marudio, hivyo Aukot akabaki yeye kama mpinzani aliyepambana hadi mwisho. Thirdway Alliance presidential...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nilikuwa napenda kujua ni kwanini Bunge la Jamhuri ya nchi ya Kenya wanatumia Kiingereza kwenye dibeti zao?
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Kama tulivyo sikia siku ya Alhamis, raia wa jimbo la Catalonya wapiga kula ya kujitenga na Uhispania, sababu ziko nyingi. Vuguvugu hili lilianzishwa na viongozi wa jimbo hilo akiwemo rais wa...
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Wakenya wanasubiri kwa hamu mwongozo wa Kinara wa upinzani Baba Raila. Muungano mkuu wa upinzani nchini kenya NASA umekataa kutambua uchaguzi ambao uhuru kenyatta alichaguliwa kuwa rais mteule...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nadhani Uhuru Kenyatta na Wafuasi wake wa Jubilee wanajifariji tu na ushindi huu mkubwa wanaoupata katika uchaguzi huu wa kurudiwa. Nimetafakari sana, na kuona kuwa kuna uwezekano mkubwa sana wa...
3 Reactions
41 Replies
5K Views
Watch him destroy his country.
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Uhuru Kenyatta ndiye rais mteule wa taifa la Kenya baada ya kuzoa kura milioni 7.4 ya kura zote zilizopigwa kwenye uchaguzi mpya wa urais, ametangaza mwenyekiti wa tume ya IEBC, Wafula Chebukati...
1 Reactions
62 Replies
6K Views
Nimejaribu kufatilia taarifa za ushindi wa Kenyatta, hapa kwetu sijaona salamu za pongezi zikitoka kwa haraka kama ilivyokuwa uchaguzi uliopita, tukiachia hapa kwetu AU, pamoja na nchi za Jumuia...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Muungano wa upinzani wa National Super Alliance (NASA) unakusudia kutamtangaza Raila Odinga, kuwa Rais wa Kenya iwapo Rais Uhuru Kenyatta ataapishwa. NASA umetoa changamoto kwa Tume Huru ya...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Jeshi la Polisi linachunguza tukio la kuuawa kwa mzee mmoja wa miaka 60 na sehemu zake za siri kunyofolewa. Mwili wake wakutwa ukiwa umetupwa kando ya barabara ya Riruta Jijini Nairobi. Mpaka...
0 Reactions
0 Replies
780 Views
geza .... I really cant with this govt!! Tanzanias total rail cost 1.5bn$ to build same distance as Kenyas Rail Of the 4bn$ used to construct Mombasa Kenya Railway 2.3bn$ is unaccounted...
10 Reactions
54 Replies
3K Views
Declaration of interest. Binafsi namkubali sana mzee wetu EL ambaye ni chaguo la watanzania walio wengi.Kwa utulivu wake na jinsi anavyofanya maamuzi kwa uweledi uliotukuka. Ikumbukwe mh Lowasa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kenya goes for bond to rein in interest rates MONDAY OCTOBER 30 2017 By GEORGE KAMAU More by this Author The National Treasury of Kenya has for the third month in a row opted to raise money...
0 Reactions
3 Replies
897 Views
Wakenya wengi hawajui kucheza karata za kisiasa.Wakenya wengi wanataka kupenya kuingia Tanzania ila kikwazo kikubwa ni sheria Na Sera mbalimbali za Tanzania kama za ardhi,ajira,uhamiaji nk...
2 Reactions
65 Replies
7K Views
Hali maeneo ya ruaraka hapa nairobi,si shwari baada makabiliano makali kuibuka mitaani Kati ya vijana wa kundi haramu LA mungiki na wajaluo. Mwenzenu tangu niziskie hizi habari nimetulia mvunguni...
3 Reactions
118 Replies
13K Views
As you go for the re~run polls, I wish Uhuru Kenyatta the best. I just hope he will win the election for Kenyas presidential polls. The simple, yet very powerful move of accepting the re~run as...
6 Reactions
16 Replies
1K Views
Wakuu, Kwa niaba ya JF, nitahakikisha mnafahamu kinachojiri toka hapa Kenya ambapo uchaguzi Mkuu unatarajiwa kufanyika hapo kesho. Tayari Raila Odinga ametangaza kuwa Muungano wa NASA utakuwa...
6 Reactions
328 Replies
90K Views
Mshindi wa Uraisi Kenya kutangazwa saa 3:30 pm (saa 9:30) na IEBC Na maandalizi yashakamilika ikiwepo ulinzi wa kutosha MPAKA SASA KENYATTA ANAONGOZA KWA KURA 7 million ; ikiwa wazi ndo Raisi...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Kama mnavyo jua Raila alikuwa anapigania Kiti cha uongozi Kenya Haya He says he won round one but says he was cheated the seat Well i found abit not believable since my polling station was...
2 Reactions
66 Replies
6K Views
Back
Top Bottom