Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Kiongozi huyo wa chama cha muungano cha Azimio la Umoja One Kenya, anadai kwamba hatua ya hivi karibuni ya Rais William Ruto ya kuwateua majaji sita ambao walikataliwa na mtangulizi wake Uhuru...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakenya watalazimika kulipa pesa zaidi kutoka mifukoni mwao ili kukidhi ongezeko la gharama ya umeme. Hii ni baada ya kampuni ya Kenya Power kuanza kutekeleza ongezeko la asilimia 21 ya malipo ya...
4 Reactions
12 Replies
896 Views
Ndiritu Muriithi, Gavana wa zamani wa Kaunti ya Laikipia anaweza kupata adhabu ya kifungo cha hadi miezi 6 jela pamoja na wenzake 13 waliokuwa wafanyakazi wa Tume ya Utumishi wa kaunti hiyo kwa...
1 Reactions
1 Replies
827 Views
Mgombea wa Urais Nchini Kenya, William Ruto ameahidi kuwafukuza Wachina wote wanaofanya kazi zinazoweza kufanywa na wazawa, iwapo atashinda uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Agosti 9, 2022...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Hilo ndio swali huwa najiuliza maana mda mwingi wana entertain mambo ya dini ya kikristo na kuwatenga Waislamu. Kwa nini iko hivyo? Kama Wajaluo wamepigwa chini Urais, kwa Waislamu si ndiyo...
10 Reactions
115 Replies
6K Views
Kenya ni taifa katika mazingira halisi tuliyomo sisi. Hata hivyo taifa hili limepiga hatua kubwa sana kidemokrasia zenye kustahili kupigiwa mfano. Hizi tantarira za eti kuwa IEBC ni sawa tu na...
5 Reactions
7 Replies
773 Views
Japo sikukupigia kura, na binafsi haujanishawishi ila Wakenya walio wengi walifaulu kukuchagua, inabidi tukubali maamuzi ya wengi ila tulio wachache tusiklizwe pia. Nakumbuka kitambo nikiwa...
15 Reactions
51 Replies
3K Views
Big up kwa Kenya kuwa na Demokrasia kiwango cha juu kuzidi Tz lakini linapokuja swala la uraisi kuna utofauti mdogo sana kati ya Tz na Kenya . Kiti cha urais kina mamlaka makubwa sana, hii ni...
3 Reactions
8 Replies
750 Views
no Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
1 Reactions
6 Replies
667 Views
Aliyekuwa mgombea urais wa Kenya Raila Odinga amerejea nchini humo akitokea Zanzibar Raila amesema hakubaliani na uamuzi wa mahakama kushikilia ushindi wa Ruto na kusema mahakama ilifanya...
4 Reactions
34 Replies
2K Views
William Ruto rais aliyethibitishwa na mahakama baada ya mpinzani wake kugomea matokeo yuko hatarini kuangushwa kabla hata ya kumaliza kipindi chake cha kwanza. Ameanza na papara huku akijua fika...
8 Reactions
13 Replies
1K Views
Kiongozi wa muungano wa Azimio La Umoja Raila Odinga hatahudhuria hafla ya kuapishwa kwa Rais mteule William Ruto siku ya Jumanne. Katika taarifa yake siku ya Jumatatu, Odinga alikiri kuwa Ruto...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Rais Ruto amesema serikali yake itaachana na ruzuku ya mafuta ya petrol na diesel na badala yake itaimarisha kilimo cha mahindi kwa kuweka ruzuku kwenye mbolea Source: Dira ya Dunia, BBC
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Nawaambia Wananchi wa Kenya, mjindae, mfunge mikanda! Kwa dalili na maneno ninayosakia Mh William Rutto ni wazi kabisa anakuja kufanya kazi, kwanza hataki kabisa siasa za kinafiki, Rutto anakuja...
4 Reactions
29 Replies
2K Views
Kutoka uwanja wa Kasarani Septemba 13, 2022 Rigathi Gachagula - Naibu Rais Naibu Rais wa Kenya Rigathi Gachagula amesema kuwa nchi hiyo haitaingilia uhuru wa watu katika kuwasiliana. Amewataka...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Taarifa iliyotolewa na shirika hilo leo Septemba 14, 2022 ilisema abiria huyo alifariki alipokuwa akihudumiwa na wahudumu wa afya katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA)...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Anachokisahau tu ni kwamba Rais aliyemaliza muda wake ni Mafia hasa na karibia 95% ya System ya Kenya Iko Himayani Kwake. Rais Ruto aangalie sana yasiye Kujitokeza yale ya tarehe 17 Machi, 2021...
6 Reactions
32 Replies
2K Views
List of the 10 biggest slums in Africa by population 1. Kibera, Kenya [emoji1139]: 700,000 2. Mathare, Kenya [emoji1139]: 500,000 3. Ajegunle, Nigeria [emoji1184]: 500,000 4. Shomolu, Nigeria...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Niko nimeudhuria kuapishwa kwa rais wa Kenya hapa kasarani stadium, Ruto inauguration "bas naona nyimbo zinazopigwa ni hzi za kidini zaidi. Mfno Kama huu maarufu Sana eti ombee adui ako aishi...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…