"Just before the polls, the newly set up Salaries and Remuneration Commission announced that President Mwai Kibaki's successor would be earning $14,465 (£9,592) a month, down from a monthly income...
Here is the list of governors for all 47 counties in the country, elected following March 4, 2013 general elections:
COUNTY
GOVERNOR
PARTY
1. MOMBASA
ALI HASSAN JOHO
ODM
2. KWALE
SALIM...
CORD appoints poll petition team
By Geoffrey Mosoku
NAIROBI; KENYA: The Coalition for Reforms and Democracy (CORD) has appointed a team of lawyers who will spearhead their petition to contest...
Heshima mbele,
Nimeshangazwa sana na maamuzi Wakenya waliyochukua, Naomba kuungana na jamii za kimataifa hususani Marekani ambayo tayari imetanabaisha kutoiunga mkono serikali ambayo Kenyatta...
I am taking a break from politics, says Karua
Updated Monday, March 11 2013 at 14:01 GMT+3
Narc-Kenya presidential candidate Martha Karua (right) addresses staff of her campaign secretariat...
Jamani Kenya chuma mnacho!!!
Huu mjengo ulikua reserved for The Governor of Nairobi lakini kwa kua Governor aliyeshinda ni Kedero (CORD) na
si Waititu wala Jimnah Mbaru (Jubilee) jamaa...
As March 4th quickly approaches there are things you might want to know about Uhuru Kenyatta that you probably never knew about. These little known facts about UK were compiled by #TeamUhuru on...
Source: BBC
Raila Odinga amekataa kukubali matokeo ya urais yaliyompa ushindi wa asilimia 50.03 mpinzani wake bwana Uhuru Kenyatta. Ameahidi kuwa atafikisha malalamiko yake mahakamani.
My take...
Hawa IEBC sijui watajitetea vipi na ishu kama hizi!
Endebess Constituency deputy Returning Officer opening the briefcase containing the disputed results at the OCPD office, Kitale.
In this...
Message From CORD COMMUNITY On Facebook:
Whether he (Raila Omollo Odinga) becomes a president or not, his achievements can't be erased in the history of Kenya.
One day, you will remember...
POLITICS
By XINHUA
Posted Sunday, March 10 2013 at 11:41
The South African government on Saturday urged all Kenyan parties to resolve their disputes legally following the General Election...
Mnaoshabikia ushindi wa Kenyatta, huku mkijua kwamba nchi ya Kenya ipo ndani ya EAC, sijui mnategemea nini? Fahamu kwamba Kenyatta ana kesi ya kujibu ICC na mataifa ya magharibi yalishatangaza...
MONDAY, OCTOBER 22, 2012 - 00:00 -- BY CHARLES KERICH
TNA presidential aspirant Uhuru Kenyatta and Justice minister Eugene Wamalwa met Tanzania President Jakaya Kikwete in Dar es Salaam...
muda mfupi kabla ya uchaguzi wa Kenya mtabiri maharufu mtoto wa Sheikh Yahya alitabiri kuwa raila Odinga atashinda uchaguzi wa Kenya kwa kishindo.na kuna rafiki yangu leo hii ameliwa dolla 5000...
Ninawapongeza wakenya..kwa kumchagua rais wanayemtaka...hakika wamevuka kikwazo cha ukabila ambacho kilikuwani wimbo wa taifa...kupata asilimia 50 tu ukizingatia wakikuyu hawazidi 30% ya wakenya...
Tangu kina Uhuru,Rutto na wenzao waliposhtakiwa huko The Hague nilishangaa sana...:Kwanza,kwanini hakukamatwa Mwai Kibaki ambaye ni sawa na Laurent Gbabo wa IvoryCoast aliyeiba kura waziwazi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.